Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
First ladt tafadhali rudisha
ile avatar yako,hii haifai........
jamani hii sredi mbona nimechelewa sana kuiona?
:rip::rip::rip:Wapenzi habari za kazi na weekend nisiwachoshe msinichoshe...leo nimekuja na mshangao kidogo..
Niliwahi kubandika hapa ile habari ya binti aliyempenda Kijana akashindwa kumwambia...
Bahati njema wamefanikiwa kuonana na kukaa pamoja kwa maongezi last weekend mambo yakaa hivi..
Kijana kamwambia Binti aliwahi kumuuliza mtu juu ya habari zake lakini aliambiwa ana B/F akaamua ku-give up .. asante umekuja maishani mwangu by Coincidence ila niko na G/F wa muda mrefu if u don't mind naweza kuwa na wewe time will tell... na kauli ya mwisho ya Mkaka ilikuwa " Make me what u want..:wave:
Binti kachanganyikiwa anadai itakuwaje amwambie make me what u want wakati tayari ana G/F wa muda mrefu...???:tape:
Safety is our number 1 value ..weekend njema
Ilichobaki wakazane tu. Hope sijaeleweka vibaya
Unaweza kunikonekti ya huyo dada?? Labda naweza kumbadilisha mawazo...:tongue:Mie mwenyewe hata sijui nisemeje hapa ..huyu mwanaume ni jamii ya Wakwale
Sioni ajabu kwani huyo bi dada kapewa choice kusuka ama kunyoa,so kama anataka kuwa spare tyre watu wale nyao wakitaka ama atafute mwingine aliye single aanze mojaWapenzi habari za kazi na weekend nisiwachoshe msinichoshe...leo nimekuja na mshangao kidogo..
Niliwahi kubandika hapa ile habari ya binti aliyempenda Kijana akashindwa kumwambia...
Bahati njema wamefanikiwa kuonana na kukaa pamoja kwa maongezi last weekend mambo yakaa hivi..
Kijana kamwambia Binti aliwahi kumuuliza mtu juu ya habari zake lakini aliambiwa ana B/F akaamua ku-give up .. asante umekuja maishani mwangu by Coincidence ila niko na G/F wa muda mrefu if u don't mind naweza kuwa na wewe time will tell... na kauli ya mwisho ya Mkaka ilikuwa " Make me what u want..:wave:
Binti kachanganyikiwa anadai itakuwaje amwambie make me what u want wakati tayari ana G/F wa muda mrefu...???:tape:
Safety is our number 1 value ..weekend njema
Watu hamuwezekani na wewe mbona unafanana na huyo kaka ?:help:Unaweza kunikonekti ya huyo dada?? Labda naweza kumbadilisha mawazo...:tongue:
Alitegemea kuambiwa nini wakati anajua jamaa Ana mtu?
Hiyo ni bahati kwa jamaa na yeye akaunganisha kuwa aliwahi kumuulizia.....ili aonekanwe nae amemuona mrembo!
Sioni ajabu kwani huyo bi dada kapewa choice kusuka ama kunyoa,so kama anataka kuwa spare tyre watu wale nyao wakitaka ama atafute mwingine aliye single aanze moja
Si unaona eh....msaada wangu muhimu hapa....twende pm basi...:hug:Watu hamuwezekani na wewe mbona unafanana na huyo kaka ?:help: