TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 28,186
- 15,549
Wakuu.... mimi nlishaacha kufuatilia matokeo ya urais pale nilipoona wanasema yasitangazwe sambamba na ya ubunge, with our african leadership experience... one would automatically know what is happening
Nimesikitika sana na rais anayetaka kuongoza kwa 80% bila kujali kwamba si sahihi... Ila nashukuru mungu saa ya ukombozi imefika kwani wabunge wa upinzani wanaoenda bungeni (CUF, CHADEMA, NCCR etc) watasaidia mapinduzi ya kweli
Lipumba is a puppet and we all know, Mbatia is a political cheerlady (na simuombi msamaha rafiki yangu yule)
Congratulations to all who won except JK, siwezi kushangilia mwizi wa aina yoyote ile hata kama awe papa ratsinger
Nimesikitika sana na rais anayetaka kuongoza kwa 80% bila kujali kwamba si sahihi... Ila nashukuru mungu saa ya ukombozi imefika kwani wabunge wa upinzani wanaoenda bungeni (CUF, CHADEMA, NCCR etc) watasaidia mapinduzi ya kweli
Lipumba is a puppet and we all know, Mbatia is a political cheerlady (na simuombi msamaha rafiki yangu yule)
Congratulations to all who won except JK, siwezi kushangilia mwizi wa aina yoyote ile hata kama awe papa ratsinger