Elections 2010 SECRET PLOT REVEALED: Kikwete aongoza, Lipumba wa pili, Slaa wa tatu

Wakuu.... mimi nlishaacha kufuatilia matokeo ya urais pale nilipoona wanasema yasitangazwe sambamba na ya ubunge, with our african leadership experience... one would automatically know what is happening

Nimesikitika sana na rais anayetaka kuongoza kwa 80% bila kujali kwamba si sahihi... Ila nashukuru mungu saa ya ukombozi imefika kwani wabunge wa upinzani wanaoenda bungeni (CUF, CHADEMA, NCCR etc) watasaidia mapinduzi ya kweli

Lipumba is a puppet and we all know, Mbatia is a political cheerlady (na simuombi msamaha rafiki yangu yule)

Congratulations to all who won except JK, siwezi kushangilia mwizi wa aina yoyote ile hata kama awe papa ratsinger
 
KILA JAMBO SIKU ZOTE LINA MWISHO I HATE KIKWETE NA UTAWALA WAKE :A S angry:
 
CCM watakuwa hawakupitia hesabu za kubalance chemical equation bse bara CHADEMA bara wanaongoza kuliko cuf kwa upande wa ubunge
Tatizo letu ni "UKUVI" (UKOSEFU WA KUMBUKUMBU VICHWANI) la si hivyo MAPENZI YETU YANAPITILIZA, napenda tusimame kwenye ukweli. uchaguzi uliopita CHADEMA ilipata kura laki sita na ushei ikapata wabunge 5 bara hakuna alielalamika kwamba CUF imepata kura milioni moja na ushei bara bila mbunge hata mmoja... HIVI HATA KAMA KUSOMA HAMJUI JE MNASHINDWA KUSOMA PICHA PIA:doh: mkiambiwa KATIBA IBADILIKE ninyi MNAWAZA KUKIMBIA KABLA YA KUTAMBAA:smile-big: au hamjui TUME inabadiishwa na katiba??
 
hata mungu anataka utete haki zako usiwe kimya wakati unapokonywa haki zako na ww unasema tuombe mungu
 
hata mungu anataka utete haki zako usiwe kimya wakati unapokonywa haki zako na ww unasema tuombe mungu

Ninachoshukuru sasa ni kuwa watu wanazidisha hasira kwa serikali ambayo hawakuichagua na kuelekea njia ileile waliyopitia wenzetu wa Kenya kama si leo basi tungojee siku ya siku
 

Msimamo mpaka jana usiku ndiyo huu hapa!!!!
 
Kwa kweli hata mimi jana nilikuwa na wazo kwamba huenda sisiem wameamua kuhamishia kura za CHADEMA walizochakachua kwa CUF ili kuua nguvu ya CHADEMA, lakini wajue kwamba hatudanganyiki. Sasa nazidi kufunguka macho...
 
 
CCM kutawala watu ambao wamewachoka ni kupoteza wakati bure. Hakutakuwa na support kwenu kwa miaka mitano!!. Dr. Slaa I can declare is the 5th President.
 
:smile-big: nimisema...... wao wanataka ya tu wanayoyataka yani apo:nono: heri mimi sijasema! (WAMESAHAU KULE VIJIJINI MPAKA LEO WANACHAGUA CHAMA CHA NYERERE NA NDIO KWENYE KURA NYINGI... jamani mbona mnashindwa kutofautisha kichuguu na mlima. (TUNAHITAJI MABADILIKO lakini tunahitaji KUJIPANGA. wengi wetu tumekuwa bendera fata upepo:A S angry: sijui ni uwezo wa kufikiri umefika ukomo???:A S angry::doh:
 
I hate JK na CCM!i hate those supporting these bunches!but i luv Tz!!
 
mmeshindwa jamani acheni kucook facts, hii forum inkuwa powed na upinzani nini, watanzania wenyewe kwa hiyari yao wamempa mkere acheni kutuyumbisha nyinyi, I call upon all Tanzanians to be one after the swearing party of the best man of our land.
 
HIVI IKIWA WATANZANIA HESABU NDOGO ZINZWASHINDA ZA KUJUMLISHA JE ZA KUZIDISHA??? Je mmeshasahau kuwa Profesa alishika nafasi ya pili kwa kura 1.2 je zote zilitoka Pemba? Kuna ajabu gani apo??? Je mmeshasahau kuwa Mbowe alipata Kura laki sita na akapata wabunge 5 bara!! au kumbukumbu yenu ni haba enyi wana wa kizazi hiki???:nono: UMATI WOTE ULE!!! JE KAMA TULITAKA KUMFAHAMU??? WENGI WA WANAOSEMA HAPA WAKO NJE YA NCHI:doh: SASA KURA HAWAKUPIGA NA WANAKUWA WA KWANZA KUKATAA MATOKEO. Nilipopigia kura tuliamini Slaa ameshinda, lakini mwisho wa matokeo yalitushangaza KINYUMENYUME bin KIZUNGUZUNGU. Kuna mambo mengi yametuangusha na yataangusha sana UPINZANI. lakini watu hawataki kutafakari. (hakuna anaejiuliza wakala alieshinda njaa alipelekewa chakula na nani? kwanini alisaini matokeo yasiokuwa. Leo mtu anakurupuka huko na kuleta "....UONGO hapa ACHENI kabisa... TENA MKOME.." Mkapa - Jangwani
 

naomba kabla ya kuchangia hoja hii tufanye utafiti kidogo. Nilisikia nec walitangaza matokeo ya uraisa kwa jimbo la hai kuwa kiwete kapata kura zaidi 30000 na dr slaa kama elfu na kitu, katika jimbo la mwenyekiti wa chadema ambapo ameshinda. Kama waliomchagua freemana mbowe pia walimchagua dr slaa nian amini kuwa kura za dr slaa zilipaswa kuwa nyingi zaidihii ni rahisi tunaomba mawakala wa freeman mbowe watufahamishe kwa mujibu wa takwimu zao dr slaa alipata kura ngapi katika jimbo hilo.

Pia ni vyema kama chadema ingetoa idadi ya kura za dr slaa kwa mujibu wa mawakala wao kama alivyofanya john mnyika ubungo. Ile ilisaidia sana kukabiliana uchakachuaji
.
 


Tatizo la kwanza tayari, inavyoonekana ni kama tupo kwenye mgawo wa umeme likely sababu ya ukame .....Maana umeme umekuwa ukikatika kwa muda mrefu bila maelezo yoyote. Nadhani wakishaapishana watadeclare kuwa kuna mgawo.
 
Their "CCM" ending is near, we're coming to kick them badly out of the magogoni house, coz we don't want the den of thieves in the big office anymore, we don't want the group of witches providing unseen security to the President anymore. These witches provide this service at the expense of Tanzanians tax, and this make us all witches what an insult, i'm saying Kikwete and his government of CCM are insulting Tanzanians and need to be kicked out of the big office.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…