"Secret Service" ni watu gani na majukumu yao ni yapi?

"Secret Service" ni watu gani na majukumu yao ni yapi?

Blood of Jesus

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2016
Posts
4,486
Reaction score
8,098
Baada ya tukio la kule U.S kumhusu mzee Trump, naomba kujua juu ya hawa wanaotajwatajwa kwa jina la "Secret Service". Huwa ni watu gani hawa, na majukumu yao ni yapi. Je, hapa kwetu Tanzania, wapo?
 
Secret service Hawa ni walinzi wa rahis...

Watu wa kawaida ila wana mafunzo ya kumlinda rahis..

Majukumu yao kumlinda rahis...

Wapo we ni mgeni na yale matamasha ambayo rahisi ana hutubia kwani..?

Uwonagi watu wamevaha suti nyeusi na miwani meusi..

Uwonagi watu wamevaa vi utambi utambi masikioni...?

Kama unawaonaga hawo ndo secretary service
 
Secret service Hawa ni walinzi wa rahis...

Watu wa kawaida ila wana mafunzo ya kumlinda rahis..

Majukumu yao kumlinda rahis...

Wapo we ni mgeni na yale matamasha ambayo rahisi ana hutubia kwani..?

Uwonagi watu wamevaha suti nyeusi na miwani meusi..

Uwonagi watu wamevaa vi utambi utambi masikioni...?

Kama unawaonaga hawo ndo secretary service
Sio ghali???
 
Secret service Hawa ni walinzi wa rahis...

Watu wa kawaida ila wana mafunzo ya kumlinda rahis..

Majukumu yao kumlinda rahis...

Wapo we ni mgeni na yale matamasha ambayo rahisi ana hutubia kwani..?

Uwonagi watu wamevaha suti nyeusi na miwani meusi..

Uwonagi watu wamevaa vi utambi utambi masikioni...?

Kama unawaonaga hawo ndo secretary service
Rais sio rahis.
 
Secret service Hawa ni walinzi wa rahis...

Watu wa kawaida ila wana mafunzo ya kumlinda rahis..

Majukumu yao kumlinda rahis...

Wapo we ni mgeni na yale matamasha ambayo rahisi ana hutubia kwani..?

Uwonagi watu wamevaha suti nyeusi na miwani meusi..

Uwonagi watu wamevaa vi utambi utambi masikioni...?

Kama unawaonaga hawo ndo secretary service
Sasa kama wanakuwa wamevaa suti wanakuwa na siri gani
 
Baada ya tukio la kule U.S kumhusu mzee Trump, naomba kujua juu ya hawa wanaotajwatajwa kwa jina la "Secret Service". Huwa ni watu gani hawa, na majukumu yao ni yapi. Je, hapa kwetu Tanzania, wapo?
Muulize LISU.
 
Back
Top Bottom