Haya mambo Kule Zanzibar ni ya kawaida sana huwezi kupata ajira SMZ kama sio mwanachama wa CCM naona wanataka kuyaleta na huku bara tuyakatae kwa nguvu xote Tanzania sio mali ya mtu binafsi ni yetu sote.
Haya mambo Kule Zanzibar ni ya kawaida sana huwezi kupata ajira SMZ kama sio mwanachama wa CCM naona wanataka kuyaleta na huku bara tuyakatae kwa nguvu xote Tanzania sio mali ya mtu binafsi ni yetu sote.
Wewe Kenge ndio umeamua kukimbia kile kijiwe Chenu cha Arsenyetoz kule ?
Nimekufuma pimbi wewe ,ngoja niwaalike wahuni waje kukupa dozi yako
Dozi iko pale pale ,rudi kule kwenye kijiwe Chenu cha kahawa tuwape nyundo zenu ,wabeba manati WA London