Anonymeous
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 275
- 484
Paschal wewe mwanasheria wa aina gani. Umeishutumu Marekani kwa taarifa za hisia. Na hili ni taifa kubwa ambalo uwezo wake wa kiintelijensia sio habari za kijiweni kwako. Umetumia kitu ambacho tunakiita STATEMENT OF FACT kisheria. Bw Mayala unaweza kudhibitisha pasipo shaka madai hayo. Usiingize taifa letu kwenye mgogolo wa kidiplomasia kwa sababu ya MATAMANIO yako ya uteuzi. Umepigania uteuz kwa mda mrefu.
Tulia siku itafika tu utakumbukwa. Yanayofanya na utawala wetu duniani tunaonekana. Acha tunyolewe. Waziri wa mambo ya nje wa Marekali ni wa pili kwa umaarufu na kimamlaka baada ya Raisi wao. In fact anasauti kuliko hata VC wao. POMPEO ni jausi bobezi na amekuwa mkurugenz wa mashirika ya ujasusi wa Marekani kwa mda mrefu. Sio mtu kukurupuka. Yajayo yataneemesha demokrasia ya Tanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
Tulia siku itafika tu utakumbukwa. Yanayofanya na utawala wetu duniani tunaonekana. Acha tunyolewe. Waziri wa mambo ya nje wa Marekali ni wa pili kwa umaarufu na kimamlaka baada ya Raisi wao. In fact anasauti kuliko hata VC wao. POMPEO ni jausi bobezi na amekuwa mkurugenz wa mashirika ya ujasusi wa Marekani kwa mda mrefu. Sio mtu kukurupuka. Yajayo yataneemesha demokrasia ya Tanzania
Sent using Jamii Forums mobile app