Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga kutu-Libya?

Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga kutu-Libya?

Makamu wa Rais ni Muislamu na Waziri Mkuu ni Muislamu lakini hawa ni mapoyoyo tu wala hawashiriki kwenye maamuzi mikubwa ya nchi. Maamuzi makubwa ya nchi ni 'One Man Show' sana sana anaweza shiriki Makonda au Palamagamba.

Kusema Serikali haina mfumo Kristu kwa sababu ya hawa Majaliwa na Samia ni changia la macho.
Sio kweli unajibu hoja kwa hisia. Nchi kubwa hii one man show haiwezekani.
 
Mtu unaishi hapo ubungo mataa eti ndio ujue mikakati ya Marekani.

Tanzania ni nini mbele ya Marekani to begin with, hata hilo jina kwao kulitamka tu linawapa shida.

Mapato ya kata moja tu huko Marekani kwa mwaka ndio sawa na mapato yoote ya TRA kwa mwaka hapa. Naona umeamua kuongeza idadi ya posts zako humu. Nothing more.
 
Kwanza unajikanyaga kanyaga nini hasa?
Hakuna cha security alert.Tunataka heshima ya nchi yetu irudi basi lazima tutiane adabu kidogo na maccm kisha ndo yatajua kuwa Watanzania sio wajika kama ilivyokuwa kwa kenya 2007 ndiyo na kwetu ikiwa hivyo basi adabu itarudi si unaona Kenya adabu ipo?
Haki ndio inaleta ustawi wa kitu chochote.Kama shina halitendi haki kwa baadhi ya matawi kwa kutopeleka chakula kisha mti huo kuonekana na mwenye mti kuwa haupo sawa kiafya,Mwenye mti akija anaufyeka huo mti na kuuza kuni au kuukausha kwa kukata shina kisha unabaki umekauka huku umesimama.Viongozi wa Tanzania ya Magufuli(sio Tanzania nnayoijua mimi)kama hawataacha dhuluma kwa baadhi ya raia basi kinachosubiri ni kukatwa au kukaushwa.Zimbabwe ishakaushwa,Libya ishakatwa.Tunajua nini kilifanyika Misri na Tunisia.Tuliombee taifa letu maana sio kila utawala unatoka kwa Mungu.Utawala huu sidhani kama unatoka kwa Mungu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ona ili nalo..
madini yamekuwaje?.
wakati wa tawala zingine Tanzania haikuwa na madini? kwanini hali hii iwe utawala huu tu?.

ebu nitajie kampuni hata moja tu ya Marekani inayojihusisha na madini Tanzania..

Mameee...
nipo tayali kuuza hata kuku wangu kumsapoti marekani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekaa kwenye sekta ya madini kwa muda wa kutosha tu kuweza kufahamu ya kutosha.

Una haki ya kubwabwaja unavyotaka. Karibu sana.
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la security alert lenye hoja 54 kati ya hoja hizo, hoja 33 ni maswali ya kiusalama kuhusu taifa letu Tanzania.

Angalizo Kuhusu Security Conscious
Ulinzi wa taifa sio jukumu la vyombo vya ulinzi na usalama pekee bali ni jukumu la kila Mtanzania Mzalendo wa taifa lake. Hakuna hujuma yoyote kama ugaidi, inaweza kupangwa na watu wa nje bila ushirikiano na watu wa ndani.

Security Conscious ni uwezo wa kuinusa hatari ya usalama wa taifa kwa mbali kabla haijatokea, hivyo hili ni bandiko la kizalendo la kutoa angalizo kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, kuwa kuna kitu hawa mabeberu wa Marekani wanakipanga kuhusu Tanzania kwa siku zijazo, sasa ili kukihalalisha, wanapenyeza watu wao kwa makini kabisa na very strategically kutafuta local collaborators ili muda muafaka wa kufanya yao ukifika, hao local collaborators ndio watatumiwa na kuonekana ni Watanzania wenyewe.

Mpango wenyewe uko hivi:
  1. Kuna mambo ya jinsi rais Magufuli anavyoendesha nchi, Wamarekani hawapendi.
  2. Wamarekani wanalazimisha modal yao ya demokrasia iwe ndio standard democratic modal kwa nchi zote, bila kuzingatia Tanzania tuna modal yetu ya demokrasia ambayo ni part of African Democracy, ambayo inaruhusu nchi ya vyama vingi, kufanya uchaguzi wa vyama vingi na chama kimoja kupata ushindi wa 99.9% na uchaguzi ukawa ni wa kidemokrasia, huru na wa haki kama ilivyo kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa. Wao mabeberu hawa wa Marekani hawataki kukubali hilo
  3. Kufuatia ushindi wa CCM wa kishindo cha asilimia 99.9% kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, na sasa ndicho kinachokwenda kutokea kwenye uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, ili hili lisitokee, Marekani itatumia fedha nyingi sana kufund political dissidents ili kuonyeshea dunia jinsi rais Magufuli anavyopingwa.
  4. Baada ya ushindi wa kishindo cha asilimia 90+% kwa rais Magufuli na CCM, kwa uchaguzi wa mwaka huu, kuna watu watapangwa kuleta chokochoko na vitendo vya kigaidi, hivyo kupitia mkataba wa ugaidi na Marekani, Marekani inaweza kuingia nchi yoyote kwa kisingizio cha kusaka magaidi ila lengo lao sio kusaka magaidi bali ku fund dissidents kum distabilize Magufuli.
  5. Pia Marekani inataka kulazimisha human rights records zake kuwa ndio standards records kitendo cha kumzui Makonda kuingia Marekani, mlengwa sio Makonda, Makonda ni chambo tuu, lengo ni kuichafua taswira ya nchi yetu kimataifa tuonekane tuna bad human rights records, wakati kiukweli Marekani ina worse human rights records kuliko sisi!.
  6. Katika utekelezaji wa nia hii ovu, Marekani kwa kutumia taasisi zake, imeanza kusambaza taarifa za uongo na uchochezi kwa kudai kuwa serikali ya rais Magufuli inaendeshwa kwa mfumo Kistu hivyo ku fund Muslim extremist na fundamentalists kuwa magaidi na kufanya vitendo vya kigaidi.
  7. Tayari baadhi ya Taasisi za Kimarekani zimeanza kuandika utabiri wa kuibuka kwa ugaidi Tanzania baada ya rais Magufuli kushinda.
  8. Mtanzania Mzalendo mwenye security conscious akisoma mahali na kubaini kuna kitu ambacho sio kizuri kinapangwa dhidi ya nchi yake, jukumu lake ni kusema tuu alichokisoma na anacho kiona.
  9. Ni jukumu la vyombo vyetu vya usalama, sio kuzingatia kila kinachosemwa mitandaoni kuhusu usalama wa taifa letu lakini pia wakisikia kitu sio kuzipuuzia.
  10. Mimi kama Mzalendo nimetimiza wajibu wangu, sasa niwapeleke kwenye makala yenyewe ya bandiko hili ambayo imetokana na bandiko hili la mwana jf dada yetu al maaruf kwa jina la Faiza Foxy USA yaendelea kuichimba Tanzania
  11. Hoja hizi 54, zenye maswali 33 ni maswali ya msingi sana, japo kuna hoja za urongo humu sio za kuzizingatia, lakini pia kuna hoja za ukweli, sio za kuzipuuzia
Jumatatu njema

Paskali
Mtanzania mzalendo ni yupi?
Siku hizi definition yake imebadilika kabisa.

Praise singers, walamba miguu ya wakubwa ndiyo wanaitwa Wazalendo.

Sijui unaongelea Wazalendo gani. Wa sasa? God forbid!
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la security alert lenye hoja 54 kati ya hoja hizo, hoja 33 ni maswali ya kiusalama kuhusu taifa letu Tanzania.

Angalizo Kuhusu Security Conscious
Ulinzi wa taifa sio jukumu la vyombo vya ulinzi na usalama pekee bali ni jukumu la kila Mtanzania Mzalendo wa taifa lake. Hakuna hujuma yoyote kama ugaidi, inaweza kupangwa na watu wa nje bila ushirikiano na watu wa ndani.

Security Conscious ni uwezo wa kuinusa hatari ya usalama wa taifa kwa mbali kabla haijatokea, hivyo hili ni bandiko la kizalendo la kutoa angalizo kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, kuwa kuna kitu hawa mabeberu wa Marekani wanakipanga kuhusu Tanzania kwa siku zijazo, sasa ili kukihalalisha, wanapenyeza watu wao kwa makini kabisa na very strategically kutafuta local collaborators ili muda muafaka wa kufanya yao ukifika, hao local collaborators ndio watatumiwa na kuonekana ni Watanzania wenyewe.

Mpango wenyewe uko hivi:
  1. Kuna mambo ya jinsi rais Magufuli anavyoendesha nchi, Wamarekani hawapendi.
  2. Wamarekani wanalazimisha modal yao ya demokrasia iwe ndio standard democratic modal kwa nchi zote, bila kuzingatia Tanzania tuna modal yetu ya demokrasia ambayo ni part of African Democracy, ambayo inaruhusu nchi ya vyama vingi, kufanya uchaguzi wa vyama vingi na chama kimoja kupata ushindi wa 99.9% na uchaguzi ukawa ni wa kidemokrasia, huru na wa haki kama ilivyo kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa. Wao mabeberu hawa wa Marekani hawataki kukubali hilo
  3. Kufuatia ushindi wa CCM wa kishindo cha asilimia 99.9% kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, na sasa ndicho kinachokwenda kutokea kwenye uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, ili hili lisitokee, Marekani itatumia fedha nyingi sana kufund political dissidents ili kuonyeshea dunia jinsi rais Magufuli anavyopingwa.
  4. Baada ya ushindi wa kishindo cha asilimia 90+% kwa rais Magufuli na CCM, kwa uchaguzi wa mwaka huu, kuna watu watapangwa kuleta chokochoko na vitendo vya kigaidi, hivyo kupitia mkataba wa ugaidi na Marekani, Marekani inaweza kuingia nchi yoyote kwa kisingizio cha kusaka magaidi ila lengo lao sio kusaka magaidi bali ku fund dissidents kum distabilize Magufuli.
  5. Pia Marekani inataka kulazimisha human rights records zake kuwa ndio standards records kitendo cha kumzui Makonda kuingia Marekani, mlengwa sio Makonda, Makonda ni chambo tuu, lengo ni kuichafua taswira ya nchi yetu kimataifa tuonekane tuna bad human rights records, wakati kiukweli Marekani ina worse human rights records kuliko sisi!.
  6. Katika utekelezaji wa nia hii ovu, Marekani kwa kutumia taasisi zake, imeanza kusambaza taarifa za uongo na uchochezi kwa kudai kuwa serikali ya rais Magufuli inaendeshwa kwa mfumo Kistu hivyo ku fund Muslim extremist na fundamentalists kuwa magaidi na kufanya vitendo vya kigaidi.
  7. Tayari baadhi ya Taasisi za Kimarekani zimeanza kuandika utabiri wa kuibuka kwa ugaidi Tanzania baada ya rais Magufuli kushinda.
  8. Mtanzania Mzalendo mwenye security conscious akisoma mahali na kubaini kuna kitu ambacho sio kizuri kinapangwa dhidi ya nchi yake, jukumu lake ni kusema tuu alichokisoma na anacho kiona.
  9. Ni jukumu la vyombo vyetu vya usalama, sio kuzingatia kila kinachosemwa mitandaoni kuhusu usalama wa taifa letu lakini pia wakisikia kitu sio kuzipuuzia.
  10. Mimi kama Mzalendo nimetimiza wajibu wangu, sasa niwapeleke kwenye makala yenyewe ya bandiko hili ambayo imetokana na bandiko hili la mwana jf dada yetu al maaruf kwa jina la Faiza Foxy USA yaendelea kuichimba Tanzania
  11. Hoja hizi 54, zenye maswali 33 ni maswali ya msingi sana, japo kuna hoja za urongo humu sio za kuzizingatia, lakini pia kuna hoja za ukweli, sio za kuzipuuzia
Jumatatu njema

Paskali
Mimi mpiga kura nishamaliza kazi yangu imebaki kwa haoo tuliowapigia kura waje kujibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Paskali; andiko lako limekuja wakati murua.

Marekani hapiganii vita ya kuwavuruga watu ndani ya ardhi yake; wanapigana nje ya ardhi yao.

Marekani wanajua Tanzania bara CCM itashinda maana upande wa pili hawana credible and strong candidate kuzunguka Tanzania nzima apate kuaminiwa kuwa CiC.

Zenji hapo kuna sintofahamu maana Dr. Shein anamaliza muda wake na hamna kiongozi mwenye ushawishi na kujulikana kuliko maalim.

Marekani kaumia sana kwa JPM kukomaa na mikataba ya madini kuwa reviewed na ile tabia ya kupiga magoti na kuomba vimisaada ambavyo kama tukiamua kusimama kwa miguu yetu, tunaweza kutoboa.

Spirit ya kujiamini na kutowatetemekea mabeberu, jambo hilo sio dogo kwao. Hivyo basi, baada ya mtu wao wa UNDP alie-plan kuharibu 2015 election kushindwa plan yake; bila shaka wana contingency plan.

Tanzania tukisimama kama Wataifa na wamoja tutatoboa. Changamoto kubwa kuna wenzetu wana passport mbilimbili na ndo hao wanachonga sana kwenye mitandao ya kijamii, wanakejeli kila kitu as if hamna jema linalofanyika.

Hata usalama wa kutembea; kuingia sokoni, kuwasiliana kwa uhuru, mambo hayo Congo, Rwanda, Northern Kenya, Northern Uganda sio shwari. Marekani ana nini na Tanzania?

Hataki umoja wa kitaifa na utulivu wetu. Kuna wanawake watoto wa wakibwa walisoma best schools wakilindwa wazazi wao; sasa hivi wana activate mimba ruksa kwa wanetu ili hao wenye mimba pia wasome.
Badala ya ku-deal na umasikini na ujinga; tuna wapiga debe wa kutetea wenye mimba wasome badala ya kusimama kama wataifa kukomaa kudhibiti vitendo vinavyoweza kusababisha mimba. Struggle zipo kwenye outcome badala ya ku-deal na source.

Wamarekani watatumia wenzetu na wanawatumia kutugawa. Wanajua a divided house can not stand still.

Mbona Congo DR uchaguzi Kabila aliuvuruga na wakala nae deal za kulinda maslahi yao. Toka lini chaguzi za Afrika zikawa kipaumbele cha Marekani?

Marekani anajua linchi hili lina utajiri na kuna wajinga wengi japo wana vyeti vya shahada za uzamili na uzamivu. Tamaa yao ni kama Esau; wako radhi kula dengu sasa at expense ya haki yao ya uzaliwa wa kwanza.

Umoja wetu ni kukubaliana kutokubaliana huku tukiendelea kuwa wana familia Watanzania.

Tukiruhusu kuwasikiza vibaraka na kuwapa nafasi, Marekani haitasita kutuvuruga.
Nyoka alimhadaa Eva kwa uongo na kweli; majasusi wa Marekani wanajua deception huwa ina work pale unapomhadaa Eva ili tokea hapo iwe rahisi kumfikia Adam. Adam akivurugikiwa tu; ndo tiketi ya kuondoka Eden inafika hapo hapo.

Libya wangejua; Iraq wangejua, wasingewasikiza Marekani.

Kwa mtu alisoma kitabu cha Robert Kaiyosaki mwanajeshi na rubani wa ndege za kivita aliepigana vita ya Vietnam, atakubalina kuwa CIA ni Capitals Invisible Army. Na mapepari wa kijeshi kama nzige. Wakitua kwako na ukawaruhusu...loh

Tanzania ni kubwa na tuna wajibu kuilinda kwa nguvu zetu na akili zetu zote.
Uzalendo ni pale hata kama hatujawa enlisted as men and officers in uniforms kupigana hata kwa kombeo kama la Daudi ili kumshinda Goliath baba la mabeberu na wanyonyaji.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mukipewa vichenji munakuwa mazuzu kabisa,muko tayari nchi iende hovyo kwa kupindisha ukweli,munawalaani wote wenye kutetea wanyonge kwa jina la kuingiliwa mambo ya ndani.
 
Nimekaa kwenye sekta ya madini kwa muda wa kutosha tu kuweza kufahamu ya kutosha.

Una haki ya kubwabwaja unavyotaka. Karibu sana.
sijauliza ulikuwa nani, na sihitaji kujua wewe ni nani,jibu nilichokuuliza.

Nyie ndo mmetufikisha hapa..
p*mbaf* sana wewe na timu yako NZIMA..
NCHI IMEWASHINDA SASA MNATAFUTA WA KUMUANGUSHIA JUMBA BOVU.
MNATAFUTA sympathy kwa wananchi vichwa maji ili muendelee kumega mkate kiulaini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la security alert lenye hoja 54 kati ya hoja hizo, hoja 33 ni maswali ya kiusalama kuhusu taifa letu Tanzania.

Angalizo Kuhusu Security Conscious
Ulinzi wa taifa sio jukumu la vyombo vya ulinzi na usalama pekee bali ni jukumu la kila Mtanzania Mzalendo wa taifa lake. Hakuna hujuma yoyote kama ugaidi, inaweza kupangwa na watu wa nje bila ushirikiano na watu wa ndani.

Security Conscious ni uwezo wa kuinusa hatari ya usalama wa taifa kwa mbali kabla haijatokea, hivyo hili ni bandiko la kizalendo la kutoa angalizo kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, kuwa kuna kitu hawa mabeberu wa Marekani wanakipanga kuhusu Tanzania kwa siku zijazo, sasa ili kukihalalisha, wanapenyeza watu wao kwa makini kabisa na very strategically kutafuta local collaborators ili muda muafaka wa kufanya yao ukifika, hao local collaborators ndio watatumiwa na kuonekana ni Watanzania wenyewe.

Mpango wenyewe uko hivi:
  1. Kuna mambo ya jinsi rais Magufuli anavyoendesha nchi, Wamarekani hawapendi.
  2. Wamarekani wanalazimisha modal yao ya demokrasia iwe ndio standard democratic modal kwa nchi zote, bila kuzingatia Tanzania tuna modal yetu ya demokrasia ambayo ni part of African Democracy, ambayo inaruhusu nchi ya vyama vingi, kufanya uchaguzi wa vyama vingi na chama kimoja kupata ushindi wa 99.9% na uchaguzi ukawa ni wa kidemokrasia, huru na wa haki kama ilivyo kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa. Wao mabeberu hawa wa Marekani hawataki kukubali hilo
  3. Kufuatia ushindi wa CCM wa kishindo cha asilimia 99.9% kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, na sasa ndicho kinachokwenda kutokea kwenye uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, ili hili lisitokee, Marekani itatumia fedha nyingi sana kufund political dissidents ili kuonyeshea dunia jinsi rais Magufuli anavyopingwa.
  4. Baada ya ushindi wa kishindo cha asilimia 90+% kwa rais Magufuli na CCM, kwa uchaguzi wa mwaka huu, kuna watu watapangwa kuleta chokochoko na vitendo vya kigaidi, hivyo kupitia mkataba wa ugaidi na Marekani, Marekani inaweza kuingia nchi yoyote kwa kisingizio cha kusaka magaidi ila lengo lao sio kusaka magaidi bali ku fund dissidents kum distabilize Magufuli.
  5. Pia Marekani inataka kulazimisha human rights records zake kuwa ndio standards records kitendo cha kumzui Makonda kuingia Marekani, mlengwa sio Makonda, Makonda ni chambo tuu, lengo ni kuichafua taswira ya nchi yetu kimataifa tuonekane tuna bad human rights records, wakati kiukweli Marekani ina worse human rights records kuliko sisi!.
  6. Katika utekelezaji wa nia hii ovu, Marekani kwa kutumia taasisi zake, imeanza kusambaza taarifa za uongo na uchochezi kwa kudai kuwa serikali ya rais Magufuli inaendeshwa kwa mfumo Kistu hivyo ku fund Muslim extremist na fundamentalists kuwa magaidi na kufanya vitendo vya kigaidi.
  7. Tayari baadhi ya Taasisi za Kimarekani zimeanza kuandika utabiri wa kuibuka kwa ugaidi Tanzania baada ya rais Magufuli kushinda.
  8. Mtanzania Mzalendo mwenye security conscious akisoma mahali na kubaini kuna kitu ambacho sio kizuri kinapangwa dhidi ya nchi yake, jukumu lake ni kusema tuu alichokisoma na anacho kiona.
  9. Ni jukumu la vyombo vyetu vya usalama, sio kuzingatia kila kinachosemwa mitandaoni kuhusu usalama wa taifa letu lakini pia wakisikia kitu sio kuzipuuzia.
  10. Mimi kama Mzalendo nimetimiza wajibu wangu, sasa niwapeleke kwenye makala yenyewe ya bandiko hili ambayo imetokana na bandiko hili la mwana jf dada yetu al maaruf kwa jina la Faiza Foxy USA yaendelea kuichimba Tanzania
  11. Hoja hizi 54, zenye maswali 33 ni maswali ya msingi sana, japo kuna hoja za urongo humu sio za kuzizingatia, lakini pia kuna hoja za ukweli, sio za kuzipuuzia
Jumatatu njema

Paskali
Umeandika vizuri mkuu ushindi wa asilimia 99.9 hata wakati wa chama kushika hatamu haukuwahi kupatikana. Kama marekani lengo lao ni kuing'oa ccm na kuiondoa hii democrasia inayohubiriwa na ccm,mie nipo upande wa Marekani
 
Inawezekana hoja zao zina ukweli maana hadi sasa kuna MASHEKHE wa UAMSHO wapo ndani kwa tuhuma za UGAIDI na inafika mwaka wa nane sasa, ni wazi kwamba Tanzania kuna viashiria vya ugaidi, ni wakati sasa kwa Serikali kuwaruhusu Marekani kuja nchini kufanya upelelezi kuhusu ugaidi maana inonekana nchi yetu haina uwezo wa kutosha wa kufuatilia mambo ya ugaidi. Kama tuna uwezo wa kuchunguza issue za kigaidi iweje mwaka wa nane sasa hakuna taarifa yoyote ikiyotolewa kuwahusu UAMSHO??
 
Back
Top Bottom