Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga kutu-Libya?

Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga kutu-Libya?

Wanabodi,

Hili ni bandiko la security alert lenye hoja 54 kati ya hoja hizo, hoja 33 ni maswali ya kiusalama kuhusu taifa letu Tanzania.

Angalizo Kuhusu Security Conscious
Ulinzi wa taifa sio jukumu la vyombo vya ulinzi na usalama pekee bali ni jukumu la kila Mtanzania Mzalendo wa taifa lake. Hakuna hujuma yoyote kama ugaidi, inaweza kupangwa na watu wa nje bila ushirikiano na watu wa ndani.

Security Conscious ni uwezo wa kuinusa hatari ya usalama wa taifa kwa mbali kabla haijatokea, hivyo hili ni bandiko la kizalendo la kutoa angalizo kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, kuwa kuna kitu hawa mabeberu wa Marekani wanakipanga kuhusu Tanzania kwa siku zijazo, sasa ili kukihalalisha, wanapenyeza watu wao kwa makini kabisa na very strategically kutafuta local collaborators ili muda muafaka wa kufanya yao ukifika, hao local collaborators ndio watatumiwa na kuonekana ni Watanzania wenyewe.

Mpango wenyewe uko hivi:
  1. Kuna mambo ya jinsi rais Magufuli anavyoendesha nchi, Wamarekani hawapendi.
  2. Wamarekani wanalazimisha modal yao ya demokrasia iwe ndio standard democratic modal kwa nchi zote, bila kuzingatia Tanzania tuna modal yetu ya demokrasia ambayo ni part of African Democracy, ambayo inaruhusu nchi ya vyama vingi, kufanya uchaguzi wa vyama vingi na chama kimoja kupata ushindi wa 99.9% na uchaguzi ukawa ni wa kidemokrasia, huru na wa haki kama ilivyo kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa. Wao mabeberu hawa wa Marekani hawataki kukubali hilo
  3. Kufuatia ushindi wa CCM wa kishindo cha asilimia 99.9% kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, na sasa ndicho kinachokwenda kutokea kwenye uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, ili hili lisitokee, Marekani itatumia fedha nyingi sana kufund political dissidents ili kuonyeshea dunia jinsi rais Magufuli anavyopingwa.
  4. Baada ya ushindi wa kishindo cha asilimia 90+% kwa rais Magufuli na CCM, kwa uchaguzi wa mwaka huu, kuna watu watapangwa kuleta chokochoko na vitendo vya kigaidi, hivyo kupitia mkataba wa ugaidi na Marekani, Marekani inaweza kuingia nchi yoyote kwa kisingizio cha kusaka magaidi ila lengo lao sio kusaka magaidi bali ku fund dissidents kum distabilize Magufuli.
  5. Pia Marekani inataka kulazimisha human rights records zake kuwa ndio standards records kitendo cha kumzui Makonda kuingia Marekani, mlengwa sio Makonda, Makonda ni chambo tuu, lengo ni kuichafua taswira ya nchi yetu kimataifa tuonekane tuna bad human rights records, wakati kiukweli Marekani ina worse human rights records kuliko sisi!.
  6. Katika utekelezaji wa nia hii ovu, Marekani kwa kutumia taasisi zake, imeanza kusambaza taarifa za uongo na uchochezi kwa kudai kuwa serikali ya rais Magufuli inaendeshwa kwa mfumo Kistu hivyo ku fund Muslim extremist na fundamentalists kuwa magaidi na kufanya vitendo vya kigaidi.
  7. Tayari baadhi ya Taasisi za Kimarekani zimeanza kuandika utabiri wa kuibuka kwa ugaidi Tanzania baada ya rais Magufuli kushinda.
  8. Mtanzania Mzalendo mwenye security conscious akisoma mahali na kubaini kuna kitu ambacho sio kizuri kinapangwa dhidi ya nchi yake, jukumu lake ni kusema tuu alichokisoma na anacho kiona.
  9. Ni jukumu la vyombo vyetu vya usalama, sio kuzingatia kila kinachosemwa mitandaoni kuhusu usalama wa taifa letu lakini pia wakisikia kitu sio kuzipuuzia.
  10. Mimi kama Mzalendo nimetimiza wajibu wangu, sasa niwapeleke kwenye makala yenyewe ya bandiko hili ambayo imetokana na bandiko hili la mwana jf dada yetu al maaruf kwa jina la Faiza Foxy USA yaendelea kuichimba Tanzania
  11. Hoja hizi 54, zenye maswali 33 ni maswali ya msingi sana, japo kuna hoja za urongo humu sio za kuzizingatia, lakini pia kuna hoja za ukweli, sio za kuzipuuzia
Jumatatu njema

Paskali
Kwa kweli watusaidie tu huyu mfugaji aondoke arudi kwenye zizi lake kule Burigi
 
Nasikia NYUMBU nao wako safarini kupelekwa IKULU ,je ni kweli?

Sent using Jamii Forums mobile app
Marekani naiomba iaact as a catalyst ili tufikie hatua ya kushikana mashati, tukianza kushikana mashati na kila upande ukaona unaweza kuadhirika,naamini tutafikia conclusion if sote ni nyumbu au sote ni binadamu na baada ya hapo ujinga huu utapotea
 
Basi Paschal inabidi kuanzia leo mjomba akupe kitengo cha kuwaadaa wananchi...Ili aya ulioandika ni Security Sabotage Techniques mkuu
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la security alert lenye hoja 54 kati ya hoja hizo, hoja 33 ni maswali ya kiusalama kuhusu taifa letu Tanzania.

Angalizo Kuhusu Security Conscious
Ulinzi wa taifa sio jukumu la vyombo vya ulinzi na usalama pekee bali ni jukumu la kila Mtanzania Mzalendo wa taifa lake. Hakuna hujuma yoyote kama ugaidi, inaweza kupangwa na watu wa nje bila ushirikiano na watu wa ndani.

Security Conscious ni uwezo wa kuinusa hatari ya usalama wa taifa kwa mbali kabla haijatokea, hivyo hili ni bandiko la kizalendo la kutoa angalizo kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, kuwa kuna kitu hawa mabeberu wa Marekani wanakipanga kuhusu Tanzania kwa siku zijazo, sasa ili kukihalalisha, wanapenyeza watu wao kwa makini kabisa na very strategically kutafuta local collaborators ili muda muafaka wa kufanya yao ukifika, hao local collaborators ndio watatumiwa na kuonekana ni Watanzania wenyewe.

Mpango wenyewe uko hivi:
  1. Kuna mambo ya jinsi rais Magufuli anavyoendesha nchi, Wamarekani hawapendi.
  2. Wamarekani wanalazimisha modal yao ya demokrasia iwe ndio standard democratic modal kwa nchi zote, bila kuzingatia Tanzania tuna modal yetu ya demokrasia ambayo ni part of African Democracy, ambayo inaruhusu nchi ya vyama vingi, kufanya uchaguzi wa vyama vingi na chama kimoja kupata ushindi wa 99.9% na uchaguzi ukawa ni wa kidemokrasia, huru na wa haki kama ilivyo kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa. Wao mabeberu hawa wa Marekani hawataki kukubali hilo
  3. Kufuatia ushindi wa CCM wa kishindo cha asilimia 99.9% kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, na sasa ndicho kinachokwenda kutokea kwenye uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, ili hili lisitokee, Marekani itatumia fedha nyingi sana kufund political dissidents ili kuonyeshea dunia jinsi rais Magufuli anavyopingwa.
  4. Baada ya ushindi wa kishindo cha asilimia 90+% kwa rais Magufuli na CCM, kwa uchaguzi wa mwaka huu, kuna watu watapangwa kuleta chokochoko na vitendo vya kigaidi, hivyo kupitia mkataba wa ugaidi na Marekani, Marekani inaweza kuingia nchi yoyote kwa kisingizio cha kusaka magaidi ila lengo lao sio kusaka magaidi bali ku fund dissidents kum distabilize Magufuli.
  5. Pia Marekani inataka kulazimisha human rights records zake kuwa ndio standards records kitendo cha kumzui Makonda kuingia Marekani, mlengwa sio Makonda, Makonda ni chambo tuu, lengo ni kuichafua taswira ya nchi yetu kimataifa tuonekane tuna bad human rights records, wakati kiukweli Marekani ina worse human rights records kuliko sisi!.
  6. Katika utekelezaji wa nia hii ovu, Marekani kwa kutumia taasisi zake, imeanza kusambaza taarifa za uongo na uchochezi kwa kudai kuwa serikali ya rais Magufuli inaendeshwa kwa mfumo Kistu hivyo ku fund Muslim extremist na fundamentalists kuwa magaidi na kufanya vitendo vya kigaidi.
  7. Tayari baadhi ya Taasisi za Kimarekani zimeanza kuandika utabiri wa kuibuka kwa ugaidi Tanzania baada ya rais Magufuli kushinda.
  8. Mtanzania Mzalendo mwenye security conscious akisoma mahali na kubaini kuna kitu ambacho sio kizuri kinapangwa dhidi ya nchi yake, jukumu lake ni kusema tuu alichokisoma na anacho kiona.
  9. Ni jukumu la vyombo vyetu vya usalama, sio kuzingatia kila kinachosemwa mitandaoni kuhusu usalama wa taifa letu lakini pia wakisikia kitu sio kuzipuuzia.
  10. Mimi kama Mzalendo nimetimiza wajibu wangu, sasa niwapeleke kwenye makala yenyewe ya bandiko hili ambayo imetokana na bandiko hili la mwana jf dada yetu al maaruf kwa jina la Faiza Foxy USA yaendelea kuichimba Tanzania
  11. Hoja hizi 54, zenye maswali 33 ni maswali ya msingi sana, japo kuna hoja za urongo humu sio za kuzizingatia, lakini pia kuna hoja za ukweli, sio za kuzipuuzia
Jumatatu njema

Paskali
Haya ni kweli kuna kila dalili ndio yanayotengenezwa
2017 niliandika post km hii ingawa sikuiweka vizuri km hii ya kwako
 
Binafsi Waandishi wa habari wenye upande kama huyu Pascal Mayala sikubaliani nao na ni watu hatari sana kwa Taifa.
Waandishi wa namna hii watatufikisha mahali pabaya.
Serikali inawakumbatia watu wa aina hii sababu tu wapo upande wa serikali, wakikosoa wanawapa kesi za uhujumu UCHUMI kama E. Kabendera.
Sasa mambo haya huanza taaratibu kama hivi.

Huyu anaandaa andiko lake na kuita wamarekani Mabeberu, huku akisifia ushindi wa asilimia 99.9% ni halali.
Hivi mtu yeyote mwenye akili timamu hili linaingia akilini?
Nchi ina mfumo wa vyama vingi, yaani katika asilimia 100, kuna sehemu ya asilimia ni upinzani, sasa iweje ushinde kwa asilimia 99.9?? Hilo wala hamfikirii na mnajiita wasomi wa PhD. Halafu unasifia kabisa ulikuwa uchaguzi huru na wa haki, huku vyama vya kisiasa vikisusia na kutoa malalamiko lukuki yenye ushahidi.
Marekani anaye wafadhili katika mambo mengi ya bajeti zenu anapowahoji na kuwapa tahadhari kwa matumizi mabovu ya fedha na mikopo yake, mnakaza shingo na kumuita Beberu.

Badala ya kuishauri serikali yako ijitathimini na kurekebisha mapungufu, unaleta kusifia. Hivi umeshajiuliza kuna malalamiko kiasi gani kila kona? Kuanzia watumishi na vyama vyao vya wafanyakazi sauti zimezimwa, vyama vya upinzani kesi kila mahali, hali ya UCHUMI mbovu, watu wanatekwa kila siku na watu wasiojulikana, mahakama zimekosa usawa watuhumiwa tu wananyimwa haki zao za dhamana na kulazimishwa kuomba misamaha ili hali ni mahabusu, wewe unaleta Usukuma tu.

Aina ya waandishi wa habari kama wwe (Pascal Mayala) walikuwepo Rwanda na walichangia kwa kiasi kikubwa yaliyokuja kutokea.
Sasa ushauri wangu kwako, endelea tu kuwa bora wa hicho unachokiamini, lazima kitakuja kutoa majibu Chanya kwako na hasi kwa walio wengi.

Jaribu kurudi katika enzi zako za Muandishi mdadisi na mchambuzi wa mambo kwa kina, bila kuwa na upande tena waziwazi.
Chambua habari acha ushabiki, jambo hilo ni hatari kubwa kwa nchi yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mitanzania mijinga sana yaani hata kujifunza kwa waloharibiwa nchi zao kwa hila ka hizi(Libya) .. Endeleeni kushadadia tuu ujinga mkidhani marekani anajali hii nchi..
Nyie ngojeni tuuu si mnajifanya wajingA

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani magufuli anaijenga nchi yetu au anaiharibu ?Kama ni kutekwa na kuuwawa hata utawala huu tunauwawa,kama ni umasikini, watanzania wengi maisha yetu ni afadhali ya jana kwa ujumla tuliowengi hatuna cha kupoteza kama wewe mkuu
 
Nikupongeze Kaka Pascal kwa mawazo mazuri,binafsi nakuwa interested sana kusoma post zako kila ninapoona umeandika. Mimi Nilikuwa na Jambo moja ambalo nataka nishauri kwa hicho ulichokiandika

Kwamba suala uliloshauri Ni very sensitive Sana kwa usalama wa nchi yetu, na pia huenda umeenda deep katka focusing ya ki intellijensia.Serikali ingeweka utaratibu wa kukusanya maoni Kama haya ambayo yanahusu usalama wa nchi kwa usiri mkubwa ili kutotoa mianya ya mijadala mikubwa katika mambo yanayohusu usalama.Kwasababi katika ulimwengu was Sasa kuendelea kujadili mawazo chanya kama haya katika mitandao ya kijamii Ni kuweka exposure ya usalama wa Nchi kwa hao tunaowaona hawana Nia njema na sisi

Kwahiyo nikuombe Kaka Pascal Next time usiweke hapa hoja ambayo Ni sensitive hiv inayohusu usalama wa Taifa letu ila tafuta namna ya kuwasilisha kwa wahusika wakubwa ili Kama linafaa walifanyie kazi .

Ni mawazo huru tu ndg zanguni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani we @ Pascal Mayalla hiki ulicho kiandika hapa ni utashi wako tu kwa jinsi unavyodhani !
Hivi mtanzania mwenye akili zake nzuri anaweza kubaliana na wewe! Haiwezekani hata siku moja, vitendo ambavyo Serikali hii ya Magufuri inavyovifanya haviendani kabisa na utamaduni wa kitanzania.
Utekaji, mauwaji,kubambikiwa kesi, uhuru wa vyombo vya habari, uhuru wa kutoa mawazo kwa mtu mmoja mmoja, uhuru wa vyama vya kisiasa kufanya mikutano na mengine mengi tu.
Lakini unasema Siri kali hii iko sawa!
Uchaguzi wa serikali za mitaa haukuwa wa haki hata kidogo, yaani ccm na Serikali yake waliamua kuiba MCHAKATO mzima wa uchaguzi wakihofu nini! Kama si hofu ya kushindwa! Eti walishinda 99.9% ya wizi wa mchakato!
Wewe ni mwandishi ndiyo,kama unashindwa kupaza sauti kwa kutumia taaluma yako kuwatetea wenzio!
Hufai kabisa, wamekupa kiasi gani mpaka kuwa msariti! Haukuwa hivi MAYALA!
Hicho ulichoandika hapa ni upotoshaji mkubwa wamarekani wanajua kila kitu.
Wanabodi,

Hili ni bandiko la security alert lenye hoja 54 kati ya hoja hizo, hoja 33 ni maswali ya kiusalama kuhusu taifa letu Tanzania.

Angalizo Kuhusu Security Conscious
Ulinzi wa taifa sio jukumu la vyombo vya ulinzi na usalama pekee bali ni jukumu la kila Mtanzania Mzalendo wa taifa lake. Hakuna hujuma yoyote kama ugaidi, inaweza kupangwa na watu wa nje bila ushirikiano na watu wa ndani.

Security Conscious ni uwezo wa kuinusa hatari ya usalama wa taifa kwa mbali kabla haijatokea, hivyo hili ni bandiko la kizalendo la kutoa angalizo kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, kuwa kuna kitu hawa mabeberu wa Marekani wanakipanga kuhusu Tanzania kwa siku zijazo, sasa ili kukihalalisha, wanapenyeza watu wao kwa makini kabisa na very strategically kutafuta local collaborators ili muda muafaka wa kufanya yao ukifika, hao local collaborators ndio watatumiwa na kuonekana ni Watanzania wenyewe.

Mpango wenyewe uko hivi:
  1. Kuna mambo ya jinsi rais Magufuli anavyoendesha nchi, Wamarekani hawapendi.
  2. Wamarekani wanalazimisha modal yao ya demokrasia iwe ndio standard democratic modal kwa nchi zote, bila kuzingatia Tanzania tuna modal yetu ya demokrasia ambayo ni part of African Democracy, ambayo inaruhusu nchi ya vyama vingi, kufanya uchaguzi wa vyama vingi na chama kimoja kupata ushindi wa 99.9% na uchaguzi ukawa ni wa kidemokrasia, huru na wa haki kama ilivyo kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa. Wao mabeberu hawa wa Marekani hawataki kukubali hilo
  3. Kufuatia ushindi wa CCM wa kishindo cha asilimia 99.9% kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, na sasa ndicho kinachokwenda kutokea kwenye uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, ili hili lisitokee, Marekani itatumia fedha nyingi sana kufund political dissidents ili kuonyeshea dunia jinsi rais Magufuli anavyopingwa.
  4. Baada ya ushindi wa kishindo cha asilimia 90+% kwa rais Magufuli na CCM, kwa uchaguzi wa mwaka huu, kuna watu watapangwa kuleta chokochoko na vitendo vya kigaidi, hivyo kupitia mkataba wa ugaidi na Marekani, Marekani inaweza kuingia nchi yoyote kwa kisingizio cha kusaka magaidi ila lengo lao sio kusaka magaidi bali ku fund dissidents kum distabilize Magufuli.
  5. Pia Marekani inataka kulazimisha human rights records zake kuwa ndio standards records kitendo cha kumzui Makonda kuingia Marekani, mlengwa sio Makonda, Makonda ni chambo tuu, lengo ni kuichafua taswira ya nchi yetu kimataifa tuonekane tuna bad human rights records, wakati kiukweli Marekani ina worse human rights records kuliko sisi!.
  6. Katika utekelezaji wa nia hii ovu, Marekani kwa kutumia taasisi zake, imeanza kusambaza taarifa za uongo na uchochezi kwa kudai kuwa serikali ya rais Magufuli inaendeshwa kwa mfumo Kistu hivyo ku fund Muslim extremist na fundamentalists kuwa magaidi na kufanya vitendo vya kigaidi.
  7. Tayari baadhi ya Taasisi za Kimarekani zimeanza kuandika utabiri wa kuibuka kwa ugaidi Tanzania baada ya rais Magufuli kushinda.
  8. Mtanzania Mzalendo mwenye security conscious akisoma mahali na kubaini kuna kitu ambacho sio kizuri kinapangwa dhidi ya nchi yake, jukumu lake ni kusema tuu alichokisoma na anacho kiona.
  9. Ni jukumu la vyombo vyetu vya usalama, sio kuzingatia kila kinachosemwa mitandaoni kuhusu usalama wa taifa letu lakini pia wakisikia kitu sio kuzipuuzia.
  10. Mimi kama Mzalendo nimetimiza wajibu wangu, sasa niwapeleke kwenye makala yenyewe ya bandiko hili ambayo imetokana na bandiko hili la mwana jf dada yetu al maaruf kwa jina la Faiza Foxy USA yaendelea kuichimba Tanzania
  11. Hoja hizi 54, zenye maswali 33 ni maswali ya msingi sana, japo kuna hoja za urongo humu sio za kuzizingatia, lakini pia kuna hoja za ukweli, sio za kuzipuuzia
Jumatatu njema

Paskali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kweli unajibu hoja kwa hisia. Nchi kubwa hii one man show haiwezekani.
Toa mfano wa maamuzi ambayo wamewahi kufanya na yanayoakisi uzito wa nafasi zao!! Ungejua kuwa wamewahi ku -attempt kuresign usingethubutu kubisha.

Chukua mfano wa Majaliwa alipoleta wanunuzi wa korosho aliambiwaje mbele ya vyombo vya habari. Kungekuwa na Team Work asingetoa ile kauli ya "Tutapiga mpaka shangazi zako"
 
Kama ni kweli watanzania hawavutiwi na mfumo wa uendeshaji wa serikali yetu mbona katika uchaguzi wa serikali za mitaa CCM imepata ushindi wa 99%??

Tanzania tuna akiba ya dola bilioni 4 zinazoweza kuendesha nchi kwa miezi minne.Marekani hatuwezi.Sisi ni donor country.
Unastahili kuwa hospital wewe. Nchi hii imezaa wasomi uchwara mno, moja wao ni wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la security alert lenye hoja 54 kati ya hoja hizo, hoja 33 ni maswali ya kiusalama kuhusu taifa letu Tanzania.

Angalizo Kuhusu Security Conscious
Ulinzi wa taifa sio jukumu la vyombo vya ulinzi na usalama pekee bali ni jukumu la kila Mtanzania Mzalendo wa taifa lake. Hakuna hujuma yoyote kama ugaidi, inaweza kupangwa na watu wa nje bila ushirikiano na watu wa ndani.

Security Conscious ni uwezo wa kuinusa hatari ya usalama wa taifa kwa mbali kabla haijatokea, hivyo hili ni bandiko la kizalendo la kutoa angalizo kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, kuwa kuna kitu hawa mabeberu wa Marekani wanakipanga kuhusu Tanzania kwa siku zijazo, sasa ili kukihalalisha, wanapenyeza watu wao kwa makini kabisa na very strategically kutafuta local collaborators ili muda muafaka wa kufanya yao ukifika, hao local collaborators ndio watatumiwa na kuonekana ni Watanzania wenyewe.

Mpango wenyewe uko hivi:
  1. Kuna mambo ya jinsi rais Magufuli anavyoendesha nchi, Wamarekani hawapendi.
  2. Wamarekani wanalazimisha modal yao ya demokrasia iwe ndio standard democratic modal kwa nchi zote, bila kuzingatia Tanzania tuna modal yetu ya demokrasia ambayo ni part of African Democracy, ambayo inaruhusu nchi ya vyama vingi, kufanya uchaguzi wa vyama vingi na chama kimoja kupata ushindi wa 99.9% na uchaguzi ukawa ni wa kidemokrasia, huru na wa haki kama ilivyo kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa. Wao mabeberu hawa wa Marekani hawataki kukubali hilo
  3. Kufuatia ushindi wa CCM wa kishindo cha asilimia 99.9% kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, na sasa ndicho kinachokwenda kutokea kwenye uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, ili hili lisitokee, Marekani itatumia fedha nyingi sana kufund political dissidents ili kuonyeshea dunia jinsi rais Magufuli anavyopingwa.
  4. Baada ya ushindi wa kishindo cha asilimia 90+% kwa rais Magufuli na CCM, kwa uchaguzi wa mwaka huu, kuna watu watapangwa kuleta chokochoko na vitendo vya kigaidi, hivyo kupitia mkataba wa ugaidi na Marekani, Marekani inaweza kuingia nchi yoyote kwa kisingizio cha kusaka magaidi ila lengo lao sio kusaka magaidi bali ku fund dissidents kum distabilize Magufuli.
  5. Pia Marekani inataka kulazimisha human rights records zake kuwa ndio standards records kitendo cha kumzui Makonda kuingia Marekani, mlengwa sio Makonda, Makonda ni chambo tuu, lengo ni kuichafua taswira ya nchi yetu kimataifa tuonekane tuna bad human rights records, wakati kiukweli Marekani ina worse human rights records kuliko sisi!.
  6. Katika utekelezaji wa nia hii ovu, Marekani kwa kutumia taasisi zake, imeanza kusambaza taarifa za uongo na uchochezi kwa kudai kuwa serikali ya rais Magufuli inaendeshwa kwa mfumo Kistu hivyo ku fund Muslim extremist na fundamentalists kuwa magaidi na kufanya vitendo vya kigaidi.
  7. Tayari baadhi ya Taasisi za Kimarekani zimeanza kuandika utabiri wa kuibuka kwa ugaidi Tanzania baada ya rais Magufuli kushinda.
  8. Mtanzania Mzalendo mwenye security conscious akisoma mahali na kubaini kuna kitu ambacho sio kizuri kinapangwa dhidi ya nchi yake, jukumu lake ni kusema tuu alichokisoma na anacho kiona.
  9. Ni jukumu la vyombo vyetu vya usalama, sio kuzingatia kila kinachosemwa mitandaoni kuhusu usalama wa taifa letu lakini pia wakisikia kitu sio kuzipuuzia.
  10. Mimi kama Mzalendo nimetimiza wajibu wangu, sasa niwapeleke kwenye makala yenyewe ya bandiko hili ambayo imetokana na bandiko hili la mwana jf dada yetu al maaruf kwa jina la Faiza Foxy USA yaendelea kuichimba Tanzania
  11. Hoja hizi 54, zenye maswali 33 ni maswali ya msingi sana, japo kuna hoja za urongo humu sio za kuzizingatia, lakini pia kuna hoja za ukweli, sio za kuzipuuzia
Jumatatu njema

Paskali
Hapa Paskali watanzania wazalendo unataka kututwisha jukumu lisilo letu na kututafutia ubaya na watawala wetu. Ukumbuke kwanza hawataki kukosolewa na pia wanaamini kila wanachofanya ni sawa kitu ambacho hata nafsi yako inakusuta kabisa, ukweli usio na shaka sie watanzania tunamaswali zaidi ya hayo 33.

Bado hamjatujibu wenzetu waliopotea mmewapeleka wapi na mmewafanya nini miaka inaenda.

Tunalalamika kuhusu vipaumbele vya serikali yetu na uhusiano wa uchumi wetu, tunaumia hali ngumu watawala wetu watuonee huruma. kwa wenzetu serikali inalipa watu wake japo kidogo lakini hawa wetu wameweka masikio pamba.

Tumeuliza kuhusu pension zetu hasa fao la kujitoa, NSSF hawalipi na ajira hakuna.

Mmeulizwa wakina nani wamempiga risasi Tundu Lissu mpaka leo mmekauka.

Sie wazalendo mnataka tulinde nchi, Vipi uhuru wa kukusanyika na kujieleza?? ni Polepole na Bashiri peke yao wenye haki hiyo?? Vitambulisho vya taifa na pasport nchi hii kupata ni bahati ila wateule wao wako navyo kitambo.

Kiukweli maswali yetu wazalendo wa nchii ni mengi kuliko hayo ya USA, tupeni nafasi tuulize. Wamarekani/mabeberu hawawezi kuwa na nia ovu kwetu sisi, sie ndio tunawahitaji zaidi kuliko wao wanavyotuhitaji, watawala wetu ndio nia yao inamashaka na kuleta maswali. viongozi wa nchi hawazungumzii kiwango cha unemployment kwa watu wake wao ni SGR, Midege, wanyama na stigler kila kukicha tu.
 
Paskali, nakushangaa sana unaposema "Kufuatia ushindi wa CCM wa kishindo cha asilimia 99.9% kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, na sasa ndicho kinachokwenda kutokea kwenye uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, ......." Kweli unataka tukuamini kuwa wewe umetimiza wajibu wako kama mzalendo kwa haya maneno? Vitendo vilivyofanyika ktk kile kinachoitwa uchaguzi wa serekali za mitaa siyo cha kupongezwa na mzalendo yoyote, maana ni mbegu hatari ya kuchochea hicho mabeberu wanachotabiri.
 
Back
Top Bottom