Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga kutu-Libya?

Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga kutu-Libya?

It all depends upon the size of your gray matter in the skull. If you are low capacity brain it's really nonsense, but if you areloaded with brains there is a lot of sense in Pascal Mayalla post.

Post ambayo ina pumba haivuki posts 40, wakati thread hii iko 180+. Wengine hamstahili kusoma hizi nyuzi kwa vile zina doze kubwa kuliko uwezo wenu. Bakini tu kule Chit chat au udaku
Huo anaouita ushindi wa 99.9% kwenye uchunguzi wa serikali za mitaa 2019,ni ushindi wa namna gani,CCM ilishindana na nani?,kwa kuwa na wewe ni idiot hulitafakari hilo unashabikia tu kama punguani,ona ulivyokariri kwamba thread ikichangiwa na watu wachache inakuwa imeandikwa pumba,huwezi tafakari kwamba watu hawachangii kwenye thread fulani kutokana na kutokuwa interested na thread hiyo na si kwamba ni pumba na thread inaweza ikawa pumba na ikachangiwa na watu kwa wingi mfano ile thread ya kupeana likes ni pumba lakini angalia ilivyosheheni wachangiaji
 
Wamarekani ni mabeberu namba moja duniani. Kuna watu hawaelewi ubeberu ni nini. Ubeberu ni mfumo wa kibepari uliyokomaa ndani ya nchi hadi unatafuta maeneo ya kuwekeza nje ya nchi. Katika mbinu za kuwekeza nchi za nje wanakua na mbinu mbalimbali. Ndio utawaona kwenye sura kama wahisani wakopeshaji na sura kama ile waliyoonyesha acacia ndio kawaida yao. Mumesikia jinsi trump alivyokashifu afrika na viongozi wake na pia waziri mkuu wa istael alikwisha toaga lugha kama hizo kuidharau afrika na viongozi wake na kututukana waafrika.
Sasa jiulize anapotokea kiongozi kama magufuli kupambana na rushwa na udhaifu kama alivyodai trump na rafiki yake netanhyahu kwa nini wanahamaki na kuanza kuiundia njama na hila mbaya tanzania?
Watanzania lazima tutambue hakuna njia rahisi kupata maendeleo ya kweli kwa nchi yetu. Lazima tushikamane katika umoja mtakatifu ili tusonge mbele. Upinzani nchini kwetu uwe na lengo moja kwa ajili ya maendeleo wala wasijiuze kwa mabeberu. Isijalishe nani anaongaza la maana kama tuko kwenye njia sahihi.
 
Kama mbway na iwe mbway sisemi hivi kwa kuonesha kuwa napenda au nataka vita, ila miaka zaidi ya 50 watanzania hawana chakujivunia zaidi umaskini kwa karne hii ya sayansi na tec..

Kama ingewezekana tanzania tungerudi karne ya 19 maana hii ya 21 tuwaachie mataifa yalioendelea
We ulishapigana vita? Au ulikuwepo mwanza wakati wa vita vya kagera? Mig 21 tu ikipita chini unaweza kuzimia. Vita isikie kwa mwenzako. Tatizo ushabiki
 
Ukweli wa nini kilichokua kinaendelea Kibiti hakuna anaefahamu.
Mfano mzuri mzee alieniuzia shamba maeneo hayo kijiji flani mzee alichukuliwa alfajir na wajeda tangu 2015 ila hadi leo hii haijulikani walimpeleka wapi maana si gerezani wala mahabusu hakuna taarifa za mzee, vijana wake walifutilia sana mpaka wakaamua kuacha tu.
 
Kila kitu kina kiasi. Hata mmarekani sio kila kitu wanachotaka wanapata.
Yes, hatuwezi kupigana vita na marekani. Ila kuna mambo ni kuamua tu sisi kama sisi tutafika.
Mmarekani hajawahi kupenda mtu mwingine zaidi ya yeye mwenyewe.
Ulizeni NATO wana hali gani baada ya Trump. Tusikate tamaa. Tusonge mbele. Tukiona siku mmarekani anatupigia ngoma na vigelegele lazima tujue tutakuwa tumeharibu.
Beautiful things in life are earned...and not given for free
 
Hawa jamaa hawwlakubaliani na ushenzi ushenzi wanaolazimishwa watu wa Tanzania. Wanaona kila kitu wanachovumilia watanzania na wanataka kuja kuwaokoa kwenye ubwege wa kiutawlala.

Hata tujitajidi vipi kufunika uongozi wa mabavu na ukatili wa Magu na CCM lakni wapenda haki duniani wanaona. Na wamechoka! Hivi hao akina Mugabe na akina Gaddafi waliojifanya mwamba waliishia wapi?

Tanzania ni nchi nzuri. Lakini utawala wa CCM na Magu unaharibu sana. Wacha tuminywe kidogo labda huu upuuzi utapungua na kuwa funzo kwa vizazi vijavyo.

Common US, come and get him...
Ulivyo mjinga unamtolea mfano gadaf wakat hata wazungu wenyewe wanasema hakuna watu wajinga dunian kama walibya Leo hii wanao nufaika na vita ni wale wale waasi walio mtoa madarakan gadaf pamoja na wamarekani kwa kupora Mali za wananch ambao sasaiv kila siku wanakufa baarin wakijitaid kukimbia kwao kwa sababu ya maisha magum Sasa ivi Libya Madada wanataman hata wapate mabwana kutoka buza ilimrad tu watoke kule motoni na mpaka sasaiv hawana jibu la kujibu ukiwauliza kwamba demokrasia mlikua mnaitaka mpaka mkamtoa gadaf mmeipata au ndio mmepoteza matumain yani siasa za waafrica zinafanya niamin mzungu alitufanya watumwa apo awali sababu tulipenda wenyewe Tena inaonekana tuliwaita mana sio kwa ujinga huu tunao ufanya


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa hawa jamaa wanatafta kuhararisha kwamba watakuja kuwatafta maghaidi kama ilivyo kwa somalia,kongo iraq ili kuja kuiba uranium na madin mengine
 
Pascali ni mzoefu wa uandishi wakufikisha ujumbe kwa wa lengwa kwa kutumia diplomasia ya hali ya juu. Hongera sana PM wamekusoma wamekusikia wasikupuuze wanfayie ushauri wako kazi kwa faida ya nchi.
 
Hakuna hofu hio USA siku hizi ashambulii nchi nzima kajifunza madhara Iraq na libya kwamba ukianzisha vikundi vidogo utazalisha magaidi check ISIS na utasababisha mfumuko wa wakimbizi ulaya pia ni gharama kubwa Sana kugharamia vita na kuijenga nchi pia.Wanatumia technology ya kuponda nyoka kichwa kama walivyofanya Iran wanapiga walengwa wasababishi wachache waletao vurugu wanakuwa chakula cha drones wanawaishwa kuzimu hii Ina faida kwanza uepusha kuuwa wengi wasio na hatia,kuharibu nchi,kuzalisha vikundi vya magaidi,kupunguza gharama za kugharamia vita ili kuwaondoa wawatakao,kuepusha vifo vya askari wao.Hawahitaji kutumia njia hizo kwetu ni kulazimisha tu uchaguzi uwe huru na haki chini ya usimamizi wa jumuia za kimataifa hadi kwenye kuhesabu kura hapa tayari watakuwa wameshawaondoa wasiowataka.Ukitaka kuiuwa ccm ni kuomba tume huru na uchaguzi huru tu
 
Bro utakuwa script writer wa MUSIBA siyo bure...🧐

Aisee kwa huo uandishi....

Everyday is Saturday...............😎
 
Huo anaouita ushindi wa 99.9% kwenye uchunguzi wa serikali za mitaa 2019,ni ushindi wa namna gani,CCM ilishindana na nani?,kwa kuwa na wewe ni idiot hulitafakari hilo unashabikia tu kama punguani,ona ulivyokariri kwamba thread ikichangiwa na watu wachache inakuwa imeandikwa pumba,huwezi tafakari kwamba watu hawachangii kwenye thread fulani kutokana na kutokuwa interested na thread hiyo na si kwamba ni pumba na thread inaweza ikawa pumba na ikachangiwa na watu kwa wingi mfano ile thread ya kupeana likes ni pumba lakini angalia ilivyosheheni wachangiaji
If you can participate in commenting on a dialogue that you call "nonsense", then you are really a nondescript
 
Jiwe ndiye tatizo la Tanzania. Kavuruga umoja wa kitaifa na wala usiwasingizie Marekani.
Mkuu Paskali; andiko lako limekuja wakati murua.

Marekani hapiganii vita ya kuwavuruga watu ndani ya ardhi yake; wanapigana nje ya ardhi yao.

Marekani wanajua Tanzania bara CCM itashinda maana upande wa pili hawana credible and strong candidate kuzunguka Tanzania nzima apate kuaminiwa kuwa CiC.

Zenji hapo kuna sintofahamu maana Dr. Shein anamaliza muda wake na hamna kiongozi mwenye ushawishi na kujulikana kuliko maalim.

Marekani kaumia sana kwa JPM kukomaa na mikataba ya madini kuwa reviewed na ile tabia ya kupiga magoti na kuomba vimisaada ambavyo kama tukiamua kusimama kwa miguu yetu, tunaweza kutoboa.

Spirit ya kujiamini na kutowatetemekea mabeberu, jambo hilo sio dogo kwao. Hivyo basi, baada ya mtu wao wa UNDP alie-plan kuharibu 2015 election kushindwa plan yake; bila shaka wana contingency plan.

Tanzania tukisimama kama Wataifa na wamoja tutatoboa. Changamoto kubwa kuna wenzetu wana passport mbilimbili na ndo hao wanachonga sana kwenye mitandao ya kijamii, wanakejeli kila kitu as if hamna jema linalofanyika.

Hata usalama wa kutembea; kuingia sokoni, kuwasiliana kwa uhuru, mambo hayo Congo, Rwanda, Northern Kenya, Northern Uganda sio shwari. Marekani ana nini na Tanzania?

Hataki umoja wa kitaifa na utulivu wetu. Kuna wanawake watoto wa wakibwa walisoma best schools wakilindwa wazazi wao; sasa hivi wana activate mimba ruksa kwa wanetu ili hao wenye mimba pia wasome.
Badala ya ku-deal na umasikini na ujinga; tuna wapiga debe wa kutetea wenye mimba wasome badala ya kusimama kama wataifa kukomaa kudhibiti vitendo vinavyoweza kusababisha mimba. Struggle zipo kwenye outcome badala ya ku-deal na source.

Wamarekani watatumia wenzetu na wanawatumia kutugawa. Wanajua a divided house can not stand still.

Mbona Congo DR uchaguzi Kabila aliuvuruga na wakala nae deal za kulinda maslahi yao. Toka lini chaguzi za Afrika zikawa kipaumbele cha Marekani?

Marekani anajua linchi hili lina utajiri na kuna wajinga wengi japo wana vyeti vya shahada za uzamili na uzamivu. Tamaa yao ni kama Esau; wako radhi kula dengu sasa at expense ya haki yao ya uzaliwa wa kwanza.

Umoja wetu ni kukubaliana kutokubaliana huku tukiendelea kuwa wana familia Watanzania.

Tukiruhusu kuwasikiza vibaraka na kuwapa nafasi, Marekani haitasita kutuvuruga.
Nyoka alimhadaa Eva kwa uongo na kweli; majasusi wa Marekani wanajua deception huwa ina work pale unapomhadaa Eva ili tokea hapo iwe rahisi kumfikia Adam. Adam akivurugikiwa tu; ndo tiketi ya kuondoka Eden inafika hapo hapo.

Libya wangejua; Iraq wangejua, wasingewasikiza Marekani.

Kwa mtu alisoma kitabu cha Robert Kaiyosaki mwanajeshi na rubani wa ndege za kivita aliepigana vita ya Vietnam, atakubalina kuwa CIA ni Capitals Invisible Army. Na mapepari wa kijeshi kama nzige. Wakitua kwako na ukawaruhusu...loh

Tanzania ni kubwa na tuna wajibu kuilinda kwa nguvu zetu na akili zetu zote.
Uzalendo ni pale hata kama hatujawa enlisted as men and officers in uniforms kupigana hata kwa kombeo kama la Daudi ili kumshinda Goliath baba la mabeberu na wanyonyaji.


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni bora mara elfu na elfu kuingia mgogoro na mataifa makubwa kwa masuala ya kibiashara.
Linapokuja suala la kuruhusu migogoro kwa sababu za kisiasa na demokrasia dhidi ya taifa ambalo hata hujapakana nalo...... ni ujinga na ushamba mkubwa sana.

Kuna watu wanaheshimika sana kutokana na kazi zao hasa uandishi. Bahati mbaya kati yao hawaamini hata katika maandishi yao wenyewe.

Kuingiza mjadala wa matokeo ya uchaguzi serikali za mtaa ni dhahiri unataka watu kuwa spotted.

Kuanzia # 46 hadi 54 naona ni janga kubwa kuliko tunavyolichukulia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maneno mazuri sana ila muwe mnamshauri anko magu apunguze ubabe maana sio Kila muda mnakuwa watu wa kusifia tu
Mnamsifia sana mpk mnaboa wote nyie mtu gani unapenda kusifiwa tu
Asifiwe na mke wake sisi wengine hatuwezi
 
Nitajie hao Waislamu 2 Majaliwa na Samia nini wamewahi kufanya au ku-influence? Hao ni danganya toto tu, kukubwa wanachofanya ni kuhudhuria mkutano ya nje ya Tanzania ambayo yeye haendi. Kimsingi Makonda na Kabudi wana nguvu ya maamuzi kuliko Waziri Mkuu na Makamu.
Nipe mfano wa maamuzi ya Makonda na Kabudi yaliyofanywa kwa level ya serikali ya JMT?

Kama Samia na Majaliwa Ni danganya Toto was kulaumiwa nani? Japo pia sikubaliani na hoja yako. Maamuzi ya nchi ielekee wapi yafanywe na Makonda kweli? Mnampa umaarufu hata yy mwenyewe hakuwahi kuutarajia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom