mistari4G
JF-Expert Member
- Feb 10, 2019
- 554
- 652
Dah...
Aibu kubwa sana
Unajarbu kututahadharisha kuhusu Marekani kweli?
Ni mbali sana toka hapa tulipo,yote haya umeyajuaje bro?
Kwann hukufaham kuhusu mtawala ajae hatazorotesha imani ya waTz
Una imani na kusadiki juu ya bandiko lako,wakat mtu anayeongoza ameshindwa kutoa msaada wa tetemeko
Kiongozi atawachapa vp shangazi wa majaliwa?
Yawezekana usemalo ni kweli lkn ni utawala umeleta janga juu ya janga
Awamu ya 5 ni shetani mkuu
Ujue ya wao kutuletea shida,usijue waliompiga risasi lissu
Wapi binti mrembo Akwilina
Ubani wa 80m haufuti dhambi
Unachojaribu kutuambia ni namna mzee baba kayakoroga sasa anahanya
Amewapa sababu mwenyewe
Ni upuuzi wa madaraka
Upuuzi wa katiba
Upuuzi wa dola
Chama tawala hakina tija na maisha
Chaguzi mbovu
Raia hawana heshima na nchi yao
Kura yetu ndo kula ya kamati ya ulinzi na usalama wa nchi
Mwisho tusimame kama waTz kushinda ajae kutuvuruga
Baraka juu yetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Aibu kubwa sana
Unajarbu kututahadharisha kuhusu Marekani kweli?
Ni mbali sana toka hapa tulipo,yote haya umeyajuaje bro?
Kwann hukufaham kuhusu mtawala ajae hatazorotesha imani ya waTz
Una imani na kusadiki juu ya bandiko lako,wakat mtu anayeongoza ameshindwa kutoa msaada wa tetemeko
Kiongozi atawachapa vp shangazi wa majaliwa?
Yawezekana usemalo ni kweli lkn ni utawala umeleta janga juu ya janga
Awamu ya 5 ni shetani mkuu
Ujue ya wao kutuletea shida,usijue waliompiga risasi lissu
Wapi binti mrembo Akwilina
Ubani wa 80m haufuti dhambi
Unachojaribu kutuambia ni namna mzee baba kayakoroga sasa anahanya
Amewapa sababu mwenyewe
Ni upuuzi wa madaraka
Upuuzi wa katiba
Upuuzi wa dola
Chama tawala hakina tija na maisha
Chaguzi mbovu
Raia hawana heshima na nchi yao
Kura yetu ndo kula ya kamati ya ulinzi na usalama wa nchi
Mwisho tusimame kama waTz kushinda ajae kutuvuruga
Baraka juu yetu
Sent using Jamii Forums mobile app