Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga kutu-Libya?

Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga kutu-Libya?

Mkuu Paskali;
Kama uamuzi wa kuchagua kiongozi unafanywa kwakuangalia flyover basi bado uko katika zama za ujima.Mimi binafisi naamini kwamba Uongozi una mambo mengi ya kutazamwa besides-Midege.Hebu ondoa hio midege na Madaraja halafu Umpime bila hio the uniambie kama anafaa kuwa kiongozi wetu.na kwa sababu zipi ndipo utaelewa.
Paskali huwa anaongea kinyume nyume....kama umezoea kusoma kutoka kushoto kwenda kulia utapata naye shida, soma kulia kwenda kushoto kama waarabu...[emoji3]
 
Mkuu andoza , ama kweli tuna watu wana macho lakini hawaoni, na masikio lakini hawasikii!, hivi maendeleo yote haya yanayofanyika na yaliyofikiwa hadi Tanzania kuingia nchi ya uchumi wa kati hautaoni?!.
Hebu panda gari pita Ubungo uone mambo!.
Uchaguzi 2020 - Je, Unaweza kupita Ubungo Interchange usiseme asante Magufuli? Mtakubaliana na mimi, asante stahiki ni kura zote kwa Magufuli
midege ile hujaona?
SGR?, Stigler?, etc, etc
P
Pascal mchumia tumboo wew labda kam hufanyi biasharaa
 
hakuna wakati Tanzania imekuwa kwenye mpasuko kama wakati huu wa awamu ya tano.
Nchi ina mgawanyiko wa kikanda, kikabila, kiuchumi, kidini, kisiasa, yaani kwa kila kigezo nchi imepasuka simply kwa kuwa yupo mtu anayeamini upande aliopo ndio sahihi na wengine ni maadui.

Kama ingetokea vita nyingine ya Kagera watu wangetumia huo mwanya kuchora mipaka upya.

Yanayotokea sasa siyo ya kupuuza, kashkashi iliyopo kaskazini mwa Msumbiji, kwamba Tundu Lisu ndiye mgombea urais kupitia chama pinzani plus imani ya wananchi kwa kila mgombea urais kunatosha kumwambia mtu ni kitu gani kinafuata.
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la security alert lenye hoja 54 kati ya hoja hizo, hoja 33 ni maswali ya kiusalama kuhusu taifa letu Tanzania.

Angalizo Kuhusu Security Conscious
Ulinzi wa taifa sio jukumu la vyombo vya ulinzi na usalama pekee bali ni jukumu la kila Mtanzania Mzalendo wa taifa lake. Hakuna hujuma yoyote kama ugaidi, inaweza kupangwa na watu wa nje bila ushirikiano na watu wa ndani.

Security Conscious ni uwezo wa kuinusa hatari ya usalama wa taifa kwa mbali kabla haijatokea, hivyo hili ni bandiko la kizalendo la kutoa angalizo kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, kuwa kuna kitu hawa mabeberu wa Marekani wanakipanga kuhusu Tanzania kwa siku zijazo, sasa ili kukihalalisha, wanapenyeza watu wao kwa makini kabisa na very strategically kutafuta local collaborators ili muda muafaka wa kufanya yao ukifika, hao local collaborators ndio watatumiwa na kuonekana ni Watanzania wenyewe.

Mpango wenyewe uko hivi:
  1. Kuna mambo ya jinsi rais Magufuli anavyoendesha nchi, Wamarekani hawapendi.
  2. Wamarekani wanalazimisha modal yao ya demokrasia iwe ndio standard democratic modal kwa nchi zote, bila kuzingatia Tanzania tuna modal yetu ya demokrasia ambayo ni part of African Democracy, ambayo inaruhusu nchi ya vyama vingi, kufanya uchaguzi wa vyama vingi na chama kimoja kupata ushindi wa 99.9% na uchaguzi ukawa ni wa kidemokrasia, huru na wa haki kama ilivyo kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa. Wao mabeberu hawa wa Marekani hawataki kukubali hilo
  3. Kufuatia ushindi wa CCM wa kishindo cha asilimia 99.9% kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, na sasa ndicho kinachokwenda kutokea kwenye uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, ili hili lisitokee, Marekani itatumia fedha nyingi sana kufund political dissidents ili kuonyeshea dunia jinsi rais Magufuli anavyopingwa.
  4. Baada ya ushindi wa kishindo cha asilimia 90+% kwa rais Magufuli na CCM, kwa uchaguzi wa mwaka huu, kuna watu watapangwa kuleta chokochoko na vitendo vya kigaidi, hivyo kupitia mkataba wa ugaidi na Marekani, Marekani inaweza kuingia nchi yoyote kwa kisingizio cha kusaka magaidi ila lengo lao sio kusaka magaidi bali ku fund dissidents kum distabilize Magufuli.
  5. Pia Marekani inataka kulazimisha human rights records zake kuwa ndio standards records kitendo cha kumzui Makonda kuingia Marekani, mlengwa sio Makonda, Makonda ni chambo tuu, lengo ni kuichafua taswira ya nchi yetu kimataifa tuonekane tuna bad human rights records, wakati kiukweli Marekani ina worse human rights records kuliko sisi!.
  6. Katika utekelezaji wa nia hii ovu, Marekani kwa kutumia taasisi zake, imeanza kusambaza taarifa za uongo na uchochezi kwa kudai kuwa serikali ya rais Magufuli inaendeshwa kwa mfumo Kistu hivyo ku fund Muslim extremist na fundamentalists kuwa magaidi na kufanya vitendo vya kigaidi.
  7. Tayari baadhi ya Taasisi za Kimarekani zimeanza kuandika utabiri wa kuibuka kwa ugaidi Tanzania baada ya rais Magufuli kushinda.
  8. Mtanzania Mzalendo mwenye security conscious akisoma mahali na kubaini kuna kitu ambacho sio kizuri kinapangwa dhidi ya nchi yake, jukumu lake ni kusema tuu alichokisoma na anacho kiona.
  9. Ni jukumu la vyombo vyetu vya usalama, sio kuzingatia kila kinachosemwa mitandaoni kuhusu usalama wa taifa letu lakini pia wakisikia kitu sio kuzipuuzia.
  10. Mimi kama Mzalendo nimetimiza wajibu wangu, sasa niwapeleke kwenye makala yenyewe ya bandiko hili ambayo imetokana na bandiko hili la mwana jf dada yetu al maaruf kwa jina la Faiza Foxy USA yaendelea kuichimba Tanzania
  11. Hoja hizi 54, zenye maswali 33 ni maswali ya msingi sana, japo kuna hoja za urongo humu sio za kuzizingatia, lakini pia kuna hoja za ukweli, sio za kuzipuuzia
Jumatatu njema

Paskali
Eti ushindi wa 99.9% wa serikali za mitaa kwenye uchaguzi wa huru na haki😋😋😋

When we die the money we can't keep but we probably spend it all cause the pain ain't cheap

POOR PASCAL
 
Asante kwa bandiko la kizalendo, ni jukumu la serikali jinsi ya kula na hawa mabeberu, jamaa hawashindwi kitu.

Tushishangae Marekani ikatangaza Tanzania ndio mfadhili wa magaidi hivyo wanatuma kikosi kuja kuwasaka kumbe ndio wanakuja kuwafundisha mbinu za kivita..

Serikali ijifunze lugha ya kidiplomasia, sio kuropoka ropoka majukwaani bila kutafakari.

Ukiangalia sababu nyingi zimechangiwa na kauli za viongozi wetu na sio vitedo vyao..

Samaki ambaye haachamiachimi mdomo hanaswi na ndoano.
Tutatumia dola kubaki Madarakani😜😜😜😜
 
Mkuu andoza , ama kweli tuna watu wana macho lakini hawaoni, na masikio lakini hawasikii!, hivi maendeleo yote haya yanayofanyika na yaliyofikiwa hadi Tanzania kuingia nchi ya uchumi wa kati hautaoni?!.
Hebu panda gari pita Ubungo uone mambo!.
Uchaguzi 2020 - Je, Unaweza kupita Ubungo Interchange usiseme asante Magufuli? Mtakubaliana na mimi, asante stahiki ni kura zote kwa Magufuli
midege ile hujaona?
SGR?, Stigler?, etc, etc
P
Kwani midege mimi wa huku namanyere ambako maji hakuna,shuleni hakna madawati na walimu.!!midege inanisaidia nini.!!

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
hakuna wakati Tanzania imekuwa kwenye mpasuko kama wakati huu wa awamu ya tano.
Nchi ina mgawanyiko wa kikanda, kikabila, kiuchumi, kidini, kisiasa, yaani kwa kila kigezo nchi imepasuka simply kwa kuwa yupo mtu anayeamini upande aliopo ndio sahihi na wengine ni maadui.

Kama ingetokea vita nyingine ya Kagera watu wangetumia huo mwanya kuchora mipaka upya.

Yanayotokea sasa siyo ya kupuuza, kashkashi iliyopo kaskazini mwa Msumbiji, kwamba Tundu Lisu ndiye mgombea urais kupitia chama pinzani plus imani ya wananchi kwa kila mgombea urais kunatosha kumwambia mtu ni kitu gani kinafuata.
Ndo madhara ya kutokumsikiliza mama mzazi alionya
 


Naunga mkono hoja hii
Tanzania is a Sovereign State, kamwe tusikubali kuingiliwa mambo yetu ya ndani.
Uchaguzi ni mambo ya ndani

P

Hata uwe Mwandishi wa Habari nguli namna gani au una PhD ya jalalani au msomi wa Chuo mashuhuri duniani, tatizo la Usukuma hata bila njaa linabaki palepale. Pascal Mayalla (Njaa) ni homeboy anasaka uteuzi akipata tumekwisha, wachaguliwa na wateuliwa tele na PhD zao wanaunga tu mkono juhudi, wasomi wa Vyuo mashuhuri wanatumia elimu yao nzuri kusaini mikataba mibovu kwa manufaa yao. Tanzania ina wanajeshi wa kulinda amani katika nchi Huru (sovereign) kadhaa ambazo hazikuvamiwa na majeshi ya nchi nyingine bali ni wananchi wao kwa wao, kwa sababu mbalimbali ikiwa ni pamoja na uongozi mbaya, wanapigana. Uongozi mbaya mara nyingi hutokana na Uchaguzi mbaya ambao hufanyika bila kufuata Sheria, taratibu na Kanuni walizojiwekea wenyewe ambazo zinapindishwa kunufaisha wachache kama Wasukuma au WanaCCM au Waumini wa dini fulani. Wahanga wa Uongozi mbaya huwa ni wananchi walio wengi ambao kwa kutojua au kwa kushawishiwa na vishawishi mbalimbali, ikiwa ni pamoja na teuzi na rushwa, ndo waliowaweka hao viongozi wabaya madarakani. Katika hali hiyo nchi jirani au za dunia haziwezi kukaa kimya kabila moja, kwa mfano, la Wasukuma linanyanyasa makabila 120 eti sababu hii nchi ni Huru lakini wananchi wasio na kosa wanatekwa, wanateswa, wanauawa na wananyimwa haki zao za msingi. Wanajeshi wetu wanaolinda amani nchi za nje hawana manufaa makubwa kwa nchi yao kuliko kama wangekuwa nyumbani na nchi zinazochangia kuwepo wanajeshi wetu huko hawatapenda siku moja wachangie majeshi ya kulinda amani Tanzania.
 


Naunga mkono hoja hii
Tanzania is a Sovereign State, kamwe tusikubali kuingiliwa mambo yetu ya ndani.
Uchaguzi ni mambo ya ndani

P

ETI TUSIKUBALI MAREKANI ISITUINGILIE??? PASKALI UPO SAWA KWELI...WATU WAENDELEE KUUAWA TU, MAGUFULI AENDELEE KUNYANYASA WATU WANAOENDA KINYUME CHAKE? HIVI WASUKUMA MNA SHIDA GANI?
 
Mkuu Paskali;
Kama uamuzi wa kuchagua kiongozi unafanywa kwakuangalia flyover basi bado uko katika zama za ujima.Mimi binafisi naamini kwamba Uongozi una mambo mengi ya kutazamwa besides-Midege.Hebu ondoa hio midege na Madaraja halafu Umpime bila hio the uniambie kama anafaa kuwa kiongozi wetu.na kwa sababu zipi ndipo utaelewa.
Paskali ameacha akili nyumbani. Toka awe kada wa CCM amekuwa wa ajabu. Ile impartiality aliyokuwanayo toka atoke kwenye njaa imeshatoweka.
 
Back
Top Bottom