Seduce kupigwa kwenye gwaride la heshima kama siyo habari hivi?

Seduce kupigwa kwenye gwaride la heshima kama siyo habari hivi?

playboy babu

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2015
Posts
2,648
Reaction score
1,566
Ingekuwa wale wazee wa "KIKI" Kila upande taarifa ingekuwa hiyo...nimesubiri kwa muda mrefu nione nani atamfunga paka kengele, mnachunia ili baadae domo akifanya kitu kidogo mke mtupigie kelele, KING IS KING ALL THE TIME.

Screenshot_2020-07-30-11-17-35.jpg

 
Amewakataza waandishi kuongelea kuhusu hilo kwa sababu yeye hapendi show off ndio maana hata jana aliperform kwenye msiba baada ya waandishi wa habari kuondoka na alilia zaidi ya yule mmakonde wa chitohori
Unasema baada ya waandishi wa habari kuondoka akalia weeee kwamba hapendi show off duuu 😂🤣 Nalog off
 
Nani anayetakiwa kuipa kipaumbele?

Kama yeye mwenyewe hajitangazi, usitegemee mtu baki atakutangaza.

Huu siyo ulimwengu wa kizuri chajiuza, siku hizi vyote vizuri na vibaya vinajitembeza.
Wabongo tunapenda kuonewa huruma,mpaka pasipo hitaji huruma,watu wakikukaushia lawama zinaanza,wakati kitu ulikuwa na uwezo kukipush ww mwenyewe.
 
Ifike hatua tuwe waelewa hakuna cha ajabu hapo.. hicho ni kitengo cha burudani tu hakuna la kushtukiza Wala msiwe kivile mnamind mnataka kila siku wawe wanapiga nyimbo za huzuni let them support na kutoa burudani inapowezekana..
 
Ifike hatua tuwe waelewa hakuna cha ajabu hapo.. hicho ni kitengo cha burudani tu hakuna la kushtukiza Wala msiwe kivile mnamind mnataka kila siku wawe wanapiga nyimbo za huzuni let them support na kutoa burudani inapowezekana..
 
Labda sababu ya bifu asilimia kubwa ya team roho kwanini hampendi kurusha nyuzi za harmo
Habari zake zipi ? juzi Mondi alipost album ya Konde kama kuipromoti mkaponda humu "mnafiki ,anajipendekeza.." ww ukiwa mmoja wapo,kijana wa watu kakaa kimya mnasema "ana roho mbaya" (sasa sijui afanyeje) ,pili mbona hata airtime anapata Wasafi fm na tv,tena naona kwa Tz ndio msanii anayepewa airtime ya kutosha kwenye radio zote kubwa,kuliko wasanii wote including wasanii wa WCB.

Kwanza hiyo show ilikuwa kabla ya Harmo hajatoka WCB ,ila sasa ametoka manake amemalizana na WCB na anajitegemea mwenyewe na ana timu yake,kazi inabaki kwao kumpush mtu wao,kwa hiyo hata akitetereka WCB hawana lawama wao wana deal na projects zao (wasanii wao).

Mbona mondi anajipost sana yy mwenyewe kwenye accounts zake,endapo akisifiwa na ikulu tena mara nyingi na mnaponda "lijamaa linapenda sifa" ,ila mwenzenu kishaji promote.

Sawa sawa sasa hivi umlaumu Don Jazz kwa nini hapost habari za Tiwa Savage,wakati sasa hivi Tiwa hayupo chini yake huu ulimwengu wa biashara nipe ni kupe,kama huwezi push mwenyewe kazi zako na watu wako platforms zipo kibao.
 
Back
Top Bottom