Royal Warrior
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 1,166
- 2,143
habari zenu wadau..
sijawahi kuanzisha thread yoyote kwenye jukwaa hili ila leo imenibidi nianzishe tu maana uvumilivu umenishinda.
Hili hit song la sedume me aloimba Ali Kiba sio level za nchi hii. Kila nikilisikiliza ndio nazidi kuwa addicted nalo. Pia producer Man Walter kafanya great work kuandaa lile beat.
Ali kiba au sijui nimwite King Kiba, huyu jamaa kwa kweli anajua anachofanya. Talented !
Tangia litoke hili song limekua trending on #1 spot hadi muda huu naandika hii thread with more than 1.2 Million views ndani ya siku moja na masaa kadhaa.
kweli King Kiba is Unstoppable .
sijawahi kuanzisha thread yoyote kwenye jukwaa hili ila leo imenibidi nianzishe tu maana uvumilivu umenishinda.
Hili hit song la sedume me aloimba Ali Kiba sio level za nchi hii. Kila nikilisikiliza ndio nazidi kuwa addicted nalo. Pia producer Man Walter kafanya great work kuandaa lile beat.
Ali kiba au sijui nimwite King Kiba, huyu jamaa kwa kweli anajua anachofanya. Talented !
Tangia litoke hili song limekua trending on #1 spot hadi muda huu naandika hii thread with more than 1.2 Million views ndani ya siku moja na masaa kadhaa.
kweli King Kiba is Unstoppable .