Segerea: Wabunge wa CHADEMA Ester Bulaya, Ester Matiko na Halima Mdee waachiwa. Wasema sasa ni saa ya ukombozi Tanzania

Hiyo iliku
Hiyo ilikuwa ni slogan ya the famous Mtikila. Saa ya ukombozi ni sasa! Leo hii tena hao akina Halima wanaidandia!

huu ni mwaka wa uchaguzi boss.Kila mbunge anajidai kujitambua.
 
Tatizo la wazembe hawa, wanadhani kifungo ni mtaji. Sijui kama watamfikia Mtikila. Je alifanikiwa?
 
Sijashangaa na majibu ya hoja yangu kwa kuwa hujitambui kufuata maneno na matendo ya wanasiasa wachumia tumbo. Watu kama wewe mnatumika kufanikisha agenda na malengo yao.

Karibu viongozi wote waliohukumiwa na kuwekwa gerezani ni wabunge ambao wana mishahara na malupulupu kibao ya kuwwawezesha kulipa faini zao. Kuchangisha ili walipiwe ni mbinu za siasa uchwara huku wakiwaumiza kiuchumi wanachama na wafuasi wao, ambao wamekuwa wakidai Serikali haiwajali, hadi vyuma vimekaza.
 

Kwa hoja hii nimegundua ww una siasa za bendera fuata upepo. Kimsingi hao wabunge wamechangiwa na wapenzi na washabiki wao kwa hiari, na hilo ni jambo la kawaida sana kutokana na hulka za kibinadamu. Hilo halijalishi kama hao wabunge wana mishahara au la. Mbona huko makanisani waumini masikini wanatoa sadaka, huku viongozi wa hayo makanisa wakiwa na hali nzuri kuliko hao waumini watoa sadaka?

Ungelikuwa na hoja iwapo wachangaji wangekuwa wamelazimishwa kufanya hivyo bila ridhaa yao, tena wakipangiwa na kuwango. Hata Nyerere alichangiwa na masikini kwenda kudai uhuru. Hayo ni mambo ya kawaida sana kwenye jamii. Sio mara moja au mbili tunaenda kwenye misiba ya matajiri na tunatoa rambirambi kwa ridhaa yetu. Kwenye harusi pia tunachangia mpaka matajiri, itakuwa hao watu wenye hisia zetu?

Ngoja nikupe ya mwisho ujue kuwa ww ni bendera fuata upepo na huna lolote ujualo zaidi ya kupiga siasa mfu. Hawa viongozi wetu wote wana mishahara mizuri na vipato vikubwa, lakini wakiugua wote wanatibiwa kwa gharama za kodi za wananchi masikini, kwanini wasijitibu na mishahara yao? Mfano mrahisi Ndugai alienda kutibiwa India, kwa mabilioni ya shilingi kwa fedha za umma, kwani asitoe kwenye mshahara wake, na hiyo pesa wakaenda kutibiwa masikini?
 
Yani mi nikimuona mdeee na Burayaa napata kinyaa! Hao siniwasagiaji?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…