The Elephant
JF-Expert Member
- Dec 18, 2014
- 4,342
- 4,614
Ikipatikana angalau ya mwingine atoke Heche kwanza, Mbowe mpaka kesho itakuwa imekamilika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiwe kamuona ndugu yake tu, kasahau kuwa kwa cheo chake watanzania wote ni ndugu zake.Huyo ni talented tofauti na Jiwe.
Tena kasukumwa na sababu za kisiasa na si za kibinadamu kumlipia kama kweli amelipa.Jiwe kamuona ndugu yake tu.
Mchungaji mwema wa kondoo hukaa mbele ya kundi la wanakondoo.....lakini mchunga mbuzi hukaa nyuma."Anzeni na wanawake..kwani vitani tuna okoa kwanza wanawake na watoto". Freeman Aikael Mbowe.
Hii ni kauli ya kishujaa ya Mhe. Freeman Mbowe Mwenyekiti wa Chadema Taifa aliyoitoa juzi akiwa gerezani Segerea alipopewa taarifa ya kiasi kilichopatikana kuwa hakitoshi kuwatoa wote.
Baada ya kauli hiyo ndipo malipo ya Halima Mdee, Ester Bulaya na Ester Matiko yalipofanyika.
Kwangu binafsi ni kauli ya kamanda halisi anayejali anaowaongoza, angeweza kusema nitoeni mimi kwanza ili nikaratibu michango, hata captain wa meli huwa wa mwisho kutoka pindi meli inapokumbwa na dhoruba.
Mbowe umeonyesha uongozi uliotukuka.
Hii formula yako sijui umeitoa kitabu gani?Mchungaji mwema wa kondoo hukaa mbele ya kundi la wanakondoo.....lakini mchunga mbuzi hukaa nyuma.
Kwahiyo Mbowe anasubiri akachangishiwe na akina Easter?!
Kwahiyo ulitaka atoke awaache kina Ester jela.Mchungaji mwema wa kondoo hukaa mbele ya kundi la wanakondoo.....lakini mchunga mbuzi hukaa nyuma.
Kwahiyo Mbowe anasubiri akachangishiwe na akina Easter?!
Yeye sio shetani kama nyie msio na aibu. Hebu mpaka Leo bado mmesimamia eti Rais ndio kamlipia Msigwa faini! Kisa mmekamata redio na magazeti yote yanatangaza mpendayo.Alijua faini yake ni kubwa kuliko wote,angekuwa anatakiwa kutoa mil 2 angeanza yeye wengine wakafuata
Yeye sio shetani kama nyie msio na aibu. Hebu mpaka Leo bado mmesimamia eti Rais ndio kamlipia Msigwa faini! Kisa mmekamata redio na magazeti yote yanatangaza mpendayo.
Lakini msichojua ni kuwa hata vijijini sasa smartphone zipo na watu wanaujua ukweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani hao akina Easter hawajawahi kukaa jela?Kwahiyo ulitaka atoke awaache kina Ester jela.
Wewe unajua wangapi waliotoa mil 38?Unafahamu mashetani wangapi wanaoweza kutoa mil 38 hapa duniani
Kutoa zao za mfukoni au za hazina kwa kumtumia mpwa?Unafahamu mashetani wangapi wanaoweza kutoa mil 38 hapa duniani
Kushinda aliyetoa mil.38 peke yake.Cadema ni mabepari bhana!
Hahahaaaaa....... Kuchunga mbuzi ni kazi kubwa wanapenda kukimbilia kwenye hatari.
Hata huo undugu ni wa kulazimisha tu , eti mtoto wa dada sijui kaolewa na nani ! huo undugu wa wapi aiseee ?Jiwe kamuona ndugu yake tu, kasahau kuwa kwa cheo chake watanzania wote ni ndugu zake.
Mbowe amalizie hiyo faini yake amlipie na Heche!Kushinda aliyetoa mil.38 peke yake.