Segerea: Wabunge wa CHADEMA Ester Bulaya, Ester Matiko na Halima Mdee waachiwa. Wasema sasa ni saa ya ukombozi Tanzania

Segerea: Wabunge wa CHADEMA Ester Bulaya, Ester Matiko na Halima Mdee waachiwa. Wasema sasa ni saa ya ukombozi Tanzania

Duh, hivi tumefika huku kufungiana hadi account za bank? sasa ataishije
This's sickening
 
Haya maswali ungemuuliza chakubanga
Wabunge watatu (3) wa CHADEMA walioachiwa kutoka gerezani wamesikika wakidai kuwa sasa ni saa ya ukombozi na wananchi waliowachangia faini ya mahakama wamedhirisha hilo. Wasikilize kwenye YouTube links hapa chini.





Swali la msingi Je, Tanzania tunahitaji Sera na Mikakati ya kujikomboa kisiasa (demokrasia/uhuru/haki) au mageuzi ya kiuchumi?

TUJADILI
 
Kama za mbowe walizuia si zingetumika za kwako au msigwa?au wote mnaweka hela kwa mbowe?
 
Haya maswali ungemuuliza chakubanga

Hivi mwengeso utaacha lini kutetea siasa za kitoto za jiwe? Kila siku huwa unasema namshambulia jiwe, nadhani ww na dunia umejiridhisha kiwango cha ujinga ambao huwa nasema huyo jamaa anao. Hata maamuzi ya hizo kesi za kukomoa wapinzani huko mahakamani nadhani sasa umejua kuwa huwa nani anaagiza. Toka nje ya box, vinginevyo unaonyesha unashabikia utoto bila kujitambua.
 
Kuna nchi kwa sasa imejaa ushetani na roho mbaya sana. Unafunga akaunti ya mtu, sasa ataishi maisha gani? Watanzania tunafanyiana hivi?

Halafu Vodacom ni watu wabaya sana! Mlizimaga simu ya Kabendera ili akitekwa asipate msaada, sasa mmefunga M-Pesa ya Mbowe!😳 nyinyi ni zaidi ya kima, mapimbi kabisa. Sitakuja kuwa mteja wenu mashetani nyinyi.
 
Hivi mwengeso utaacha lini kutetea siasa za kitoto za jiwe? Kila siku huwa unasema namshambulia jiwe, nadhani ww na dunia umejiridhisha kiwango cha ujinga ambao huwa nasema huyo jamaa anao. Hata maamuzi ya hizo kesi za kukomoa wapinzani huko mahakamani nadhani sasa umejua kuwa huwa nani anaagiza. Toka nje ya box, vinginevyo unaonyesha unashabikia utoto bila kujitambua.
Kwamba unatumia lugha ya vijiweni kujibu hoja inadhahirisha ni jinsi gani akili yako ifanyavyo kazi.

Kitendo cha viongozi wa CHADEMA, kuendesha harambee kupitia vyombo vya habari na mitandao ya kijamii, pia ni uthibitisho tosha ya madai kuwa pesa ya RUZUKU inatumika vibaya kiasi hata Makao Makuu ya Chama Kikuu cha Upinzani hayana ofisi yenye sifa hiyo.

Jitambue, Jikubali, Chukua Hatua, WAKATI NDIO HUU.
 
Kwani hakukuwa na njia nyingine ya kufanya zaidi ya hiyo ya kuandamana bila kibali?? Angalia sasa vitendo vyao vimegharimu maisha ya binti asiyekuwa na hatia. Hamlioni hilo??
Mkuu,ebu shauri wewe unafikiri wangetumia njia gani wakati muda ulikua tayari ni SAA 12jioni na kesho yake ni uchaguzi?
 
Kwamba unatumia lugha ya vijiweni kujibu hoja inadhahirisha ni jinsi gani akili yako ifanyavyo kazi.

Kitendo cha viongozi wa CHADEMA, kuendesha harambee kupitia vyombo vya habari na mitandao ya kijamii, pia ni uthibitisho tosha ya madai kuwa pesa ya RUZUKU inatumika vibaya kiasi hata Makao Makuu ya Chama Kikuu cha Upinzani hayana ofisi yenye sifa hiyo.

Jitambue, Jikubali, Chukua Hatua, WAKATI NDIO HUU.

Huna hoja zaidi ya kutetea siasa za kipuuzi, ruzuku ya chama kutokutumika kuwalipia hao waliohukumiwa kwa uoneve, ndio udhibitisho kuwa inatumika vibaya? Kutokuwa na ofisi yenye hadhi ya cdm hilo ni kweli, lakini mada hii haihusiani na ubora wa ofisi ya cdm. Hii ni dalili kuwa umeishiwa hoja, hivyo unarukia jambo lolote ili kuufanya utetezi wako wa uovu uonekane una hoja za msingi. Sijaanza kujitambua jana wala leo, bali niko vizuri sana kwenye eneo hilo.
 
"Anzeni na wanawake..kwani vitani tuna okoa kwanza wanawake na watoto". Freeman Aikael Mbowe.

Hii ni kauli ya kishujaa ya Mhe. Freeman Mbowe Mwenyekiti wa Chadema Taifa aliyoitoa juzi akiwa gerezani Segerea alipopewa taarifa ya kiasi kilichopatikana kuwa hakitoshi kuwatoa wote.

Baada ya kauli hiyo ndipo malipo ya Halima Mdee, Ester Bulaya na Ester Matiko yalipofanyika.

Kwangu binafsi ni kauli ya kamanda halisi anayejali anaowaongoza, angeweza kusema nitoeni mimi kwanza ili nikaratibu michango, hata captain wa meli huwa wa mwisho kutoka pindi meli inapokumbwa na dhoruba.

Mbowe umeonyesha uongozi uliotukuka.
 
Back
Top Bottom