Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,926
- 6,422
Kwa hasira asijezifungia line ongezeni speed ya michango watoke haraka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu Halima anajitafutia kukamatwa tena!
Lumumba hakukaliki leo,Huyu Halima anajitafutia kukamatwa tena!
Hahahaaaaa........ Msigwa kalipiwa 80m!Lumumba hakukaliki leo,
Umecheck control noHahahaaaaa........ Msigwa kalipiwa 80m!
Control no moja haitumiki Mara mbiliHahahaaaaa........ Msigwa kalipiwa 80m!
Huu ugoro utakuwa wa Tanga tu, harufu yake ilivyo kali!!!Kama anachokisema huyu single girl ni cha ukweli nadhani sitakuwa nimemtendea haki aliyetoa amri hiyo endapo sitamuita kilaza tena wa nguvu
Kiongozi na mwenyekiti wa chama cha siasa anakosaje kuwa mwanasiasa?Serikali imejivua nguo. Mh. Magufuli unashauriwa vibaya, wewe sio mwana siasa, wanasiasa matapeli (polepole & co.) Wanakufanya uonekane mbabaishaji (kitu ambacho sio hulka yako) jikite kwenye uchapaji kazi. Watanzania walikufahamu kupitia kazi sio siasa. Siasa zinakuharibia sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu Halima anajitafutia kukamatwa tena!
Wana roho mbaya sana!
Ikiwemo MPesa yake, hawa Vodacom vipi.
Ikulu imeongeza adhabu kinyume cha utaratibu, ngoja tusubiri mahakama itasema nini kwa jinsi ilivyojidharaulisha kwa kutoa Control number 2 kwa malipo ya faini moja.Hahahaaaaa........ Msigwa kalipiwa 80m!
Hapana.