Segerea: Wabunge wa CHADEMA Ester Bulaya, Ester Matiko na Halima Mdee waachiwa. Wasema sasa ni saa ya ukombozi Tanzania

Segerea: Wabunge wa CHADEMA Ester Bulaya, Ester Matiko na Halima Mdee waachiwa. Wasema sasa ni saa ya ukombozi Tanzania

Baada ya Esther Bulaya,Esther Matiku,Halima Mdee kutolewa jana leo Msigwa katolewa na familia yake akiwemo "Sanji" wake JPM.

Ningeshauri Chadema waache propaganda na wawekeze nguvu kuwatoa Mbowe,Mnyika na Salum Mwalimu.

Je Mnyika ni bora kuliko hao wengine?mbona Chadema mnakuwa wepesi kuhadaika?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya Esther Bulaya,Esther Matiku,Halima Mdee kutolewa jana leo Msigwa katolewa na familia yake akiwemo "Sanji" wake JPM.

Ningeshauri Chadema waache propaganda na wawekeze nguvu kuwatoa Mbowe,Mnyika na Salum Mwalimu.

Je Mnyika ni bora kuliko hao wengine?mbona Chadema mnakuwa wepesi kuhadaika?

Sent using Jamii Forums mobile app
akili mandazi hizi.
CHADEMA wameshamlipia Msigwa, Mnyika na Mwalimu na tayari slip imeshaoneshwa na CHADEMA wenyewe.

Mwambie mwenyekiti wako wa CCM asante kwa kushiriki kwa kuwa tayari tumeshamlipia Msigwa kitambooo.
 
Wmaesha lipiwa
Baada ya Esther Bulaya,Esther Matiku,Halima Mdee kutolewa jana leo Msigwa katolewa na familia yake akiwemo "Sanji" wake JPM.

Ningeshauri Chadema waache propaganda na wawekeze nguvu kuwatoa Mbowe,Mnyika na Salum Mwalimu.

Je Mnyika ni bora kuliko hao wengine?mbona Chadema mnakuwa wepesi kuhadaika?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani haujaona risiti ya malipo ya msigwa,Mnyika,Mwalimu wakiwa wamelipiwa na chadema?

Sent using Jamii Forums mobile app
Unamsikiliza huyo kilaza Wakudadavuwa? Wrong timing ya Magu na watu wake. Wanapeleka fedha kujifanya kumlipia Msigwa wakati tayari Chadema kesha lipa.
Kama ilivyo ada, Kamanda mkuu lazima awe wa mwisho kutoka kiroho safi kabisa. Na hata kama unahela hakuna kujilipia na kuwaacha wenzako. Hiyo ndio Chadema.
IMG_20200312_170759.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya Esther Bulaya,Esther Matiku,Halima Mdee kutolewa jana leo Msigwa katolewa na familia yake akiwemo "Sanji" wake JPM.

Ningeshauri Chadema waache propaganda na wawekeze nguvu kuwatoa Mbowe,Mnyika na Salum Mwalimu.

Je Mnyika ni bora kuliko hao wengine?mbona Chadema mnakuwa wepesi kuhadaika?

Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa mnakurupuka kuandika nyuzi mwisho wa siku mnaumbuka!Ona sasa ulivyoumbuka,shwain!
 
Wacha ibume maana ndiyo sherehe zenu dadeeki
Hivi jamani michango kwa ajili ya kumalizia kuwatoa kina mbowe imefikia sh ngapi mpaka leo? Au ndo ngoma imebuma?

In God we Trust
 
Kwa nini Mbowe hajajitoa mwenyewe? Si ana mahela mengi....au hana siku hizi?

..wanadai Mbowe account zake zimekuwa frozen na serikali.

..pia inawezekana CDM wanataka wai-drag hii process as long as they can ili kupata political milage.

..Mimi kwa mtizamo wangu, looking at how things have unfolded, nadhani Magufuli alitakiwa awatoe wote kwa msamaha wa Raisi.

..The whole thing seem to have backfired. Ni aibu na fedheha haswa kuwaona wabunge wanawake wanasindikizwa kwa silaha.

..Magufuli angewaachia na kufungua UKURASA MPYA wa siasa hapa nchini.
 
..wanadai Mbowe account zake zimekuwa frozen na serikali.

..pia inawezekana CDM wanataka wai-drag hii process as long as they can ili kupata political milage.

..Mimi kwa mtizamo wangu, looking at how things have unfolded, nadhani Magufuli alitakiwa awatoe wote kwa msamaha wa Raisi.

..The whole thing seem to have backfired. Ni aibu na fedheha haswa kuwaona wabunge wanawake wanasindikizwa kwa silaha.

..Magufuli angewaachia na kufungua UKURASA MPYA wa siasa hapa nchini.

I’ll go even further.

Sikuona hata sababu moja ya kuhalalisha wao kukamatwa, achilia mbali kufunguliwa mashtaka na kupatikana na hatia.

Serikali ya Magufuli iache kuhangaika na vitu kama hivyo.
 
I’ll go even further.

Sikuona hata sababu moja ya kuhalalisha wao kukamatwa, achilia mbali kufunguliwa mashtaka na kupatikana na hatia.

Serikali ya Magufuli iache kuhangaika na vitu kama hivyo.

Siasa inamalizwa kwenye majukwaa ya siasa sio mahakamani na mitutu ya bunduki!

This nigga gets the whole thing wrong!

Ndio maan Mkwere alikua anasumbua kama Michael Jordan,siasa alikua anazimaliza jukwaani na alikua anapata A kila siku!

Huyu mwenzangu ndio anazidi kuwapa mileage opposition,and this makes the whole thing even more interesting!
 
I’ll go even further.

Sikuona hata sababu moja ya kuhalalisha wao kukamatwa, achilia mbali kufunguliwa mashtaka na kupatikana na hatia.

Serikali ya Magufuli iache kuhangaika na vitu kama hivyo.
Kwa ushauri wa Polepole? Magufuli alipokubali washauri wakuu wawe Makonda na Polepole ndo kushindwa kwake kulipoanzia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I’ll go even further.

Sikuona hata sababu moja ya kuhalalisha wao kukamatwa, achilia mbali kufunguliwa mashtaka na kupatikana na hatia.

Serikali ya Magufuli iache kuhangaika na vitu kama hivyo.

..sasa huyu si msukuma mwenzako?

..kwanini usimtumie ticket aje huku kupumzika hata wiki moja halafu umfungulie TV aone Trump anavyokosolewa / "anavyotukanwa. "?😂😂

..huenda atakaporudi Bongo atakuwa amebadilika.
 
..sasa huyu si msukuma mwenzako?

..kwanini usimtumie ticket aje huku kupumzika hata wiki moja halafu umfungulie TV aone Trump anavyokosolewa / "anavyotukanwa. "?😂😂

..huenda atakaporudi Bongo atakuwa amebadilika.

Ishu wala siyo Usukuma bana.

Wasukuma hawako monolithic.

Tatizo kubwa lililopo, kwa mtazamo wangu, ni la kikatiba.

Tukiondokana na urais wa kifalme [imperial presidency], nadhani hali itakuwa bora zaidi ya ilivyo sasa.

Haya mambo hayajaanza jana wala leo.

Hivi unakumbuka Mchungaji Mtikila alikamatwa na kufungwa mara ngapi? Na Mtikila hajawahi kuwepo kwenye utawala wa Magufuli.

Unakumbuka hata mke wa Dkt. Slaa aliwahi kupigwa virungu na kutolewa ngeu na polisi?
 
Back
Top Bottom