Segerea: Wabunge wa CHADEMA Ester Bulaya, Ester Matiko na Halima Mdee waachiwa. Wasema sasa ni saa ya ukombozi Tanzania

Segerea: Wabunge wa CHADEMA Ester Bulaya, Ester Matiko na Halima Mdee waachiwa. Wasema sasa ni saa ya ukombozi Tanzania

UPDATE YA MICHANGO YA KUWAKOMBOA KINA MBOWE

Wanajanvi naomba kujua update juu ya michango ya kuwakomboa kina Mbowe mpaka alhamisi hii. Zimefikia sh ngapi? Je wameweza kupata mil. 350? Msaada tafadhali
 
Akwelina ni matokeo ya makosa yaliyofanywa na hao waliotoka leo.

Wasingeandamana bila kibali, Who knows binti wa watu angekuwa keshamaliza masomo yake anafaidi matunda ya elimu yake.
usikute wewe ndiyo uliyempiga risasi!

na kwanini waume zako wasitende haki kutawala mpaka watu waandamane?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani hakukuwa na njia nyingine ya kufanya zaidi ya hiyo ya kuandamana bila kibali?? Angalia sasa vitendo vyao vimegharimu maisha ya binti asiyekuwa na hatia. Hamlioni hilo??
kwani hakukuwa na njia nyingne ya kuzuia maandamano zaidi ya kumtwanga risasi Akwilina?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ili ufanyeje. Tumempa Mbowe kwa hiari yake akanywee bia akitaka ahonge. Hata wewe ukitaka nenda akuhonge. Hela za wanaume wenzio roho inataka kukutoka. Tafuta zako. Au sema uchangiwe
Nasikia kumbe mmewakamua wabunge wenu. Mlitaka kick kwamba umma unasuport lakini mmekwama.Watanzania sio wajinga.
 
Leo kuna mzushi mmoja eti anajifanya kumlipia Msigwa faini !
 
Sasa wajifunze kutii sheria bila sheria bila shuruti sio kuandamana bila mpango!
Vipi yule Mkurugenzi aliyewanyima mawakala wa chadema viapo vyao.

Kama angetimiza wajibu wake haya yote yasingetokea,

Vip Polisi aliyefyatua risasi iliyomuua aqwilina( R.I.P) bila Mkurugenzi kuzuia vile viapo yote hayo yasingetokea,

Ukiwa katila Ofisi za Umma itumikie jamii yote kwa hekima na busara bila ubaguzi huu vyama utaepusha mambo mengi.
 
Na wakome! Wajifunze kuwa wazalendo na waache kutumiwa na mabeberu kuvuruga amani ya nchi kwa kisingizio cha Democrasia na wingi wa watu katika kutenda uhalifu wakidhani mkono wa sheria utawaogopa!

Wakirudia wataadhibiwa kwa adhabu kali ili akili ziwakae kichwani! Badala ya kujenga hoja wananchi tuwaelewe wanaazisha vurugu za maandamano?
The epic of lunacy.
 
Na wakome! Wajifunze kuwa wazalendo na waache kutumiwa na mabeberu kuvuruga amani ya nchi kwa kisingizio cha Democrasia na wingi wa watu katika kutenda uhalifu wakidhani mkono wa sheria utawaogopa!

Wakirudia wataadhibiwa kwa adhabu kali ili akili ziwakae kichwani! Badala ya kujenga hoja wananchi tuwaelewe wanaazisha vurugu za maandamano?
Unasadifu akili za vijana wengi wa Lumumba,

Vipi ulishawahi kuwaza kuhusu yule mkurugenzi aliyewanyima Mawakala wa Chadema viapo vyao,

Unaelewa zile ni ofisi za Umma ,alipaswa kutimiza majukumu yake ipasavyo na kuweka tofauti za kiitikadi pembeni.
 
Ninafuatilia kinachoendelea,najiuliza,"WHO is PLAYING WHO?
 
Kuna muda nikipitia JF napata hasira sana sijui hata nifanyaje maana kuna watu hawana utu kabisa na bado hujiita wazalendo hv UZALENDO N KUWA CCM AU CHADEMA
ukwel acha tu nizime fegi yangu nikae kimya maana nahasira sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akwelina ni matokeo ya makosa yaliyofanywa na hao waliotoka leo.

Wasingeandamana bila kibali, Who knows binti wa watu angekuwa keshamaliza masomo yake anafaidi matunda ya elimu yake.
Kufanya kazi bila weredi ndiko kumesababisha upotevu wa maisha wa binti huyo mdogo.
Mshitakiwa wa kwanza...Aliyekuwa msimamizi wa Uchaguzi Kinondoni
Mshitakiwa wa Pili ,,, Jeshi la Police

Utafyatuaje risasi ya moto kwenye kamati wa watu zaidi ya 1000 tena wasio na silaha yoyote ile.
 
Back
Top Bottom