Mkuu kwa nini unadhalilisha karai???!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kwa nini unadhalilisha karai???!!!
Hivi iyo press kuna mahali imeonyeshwa?? naona hizi online tv millard alijaribu akala kona nyingine chali,Akwelina alikua anaandamana?
Hilo jitu siliombeo n'go.
Walibeep wakaachiaWamewablock kivipi mkuu weka taarifa timilifu
Wewe ndo Akili huna, kila Siku watu wanaandamana njiani wakitoka mpirani uwanja Wa taifa, vibali wanapata wapi?Hapo tunapata somo la kutofanya maandamano bila kibali.
Tumeandamana ktk michango tangu juzi usiku mpaka mda huu bado tunaandamana ili kumuonyesha bashiru kama dula sio kitu ktk nguvu ya ummaSasa wajifunze kutii sheria bila sheria bila shuruti sio kuandamana bila mpango!
Watu kama wale mungu huwapa umri mrefu ili waje waone mabadiliko yanapotoke ktk nchiHivi halijafa
Kama ccm inavonunua wapinzani kwa pesa ya faini ya mahakamaHapo tunapata somo la kutofanya maandamano bila kibali.
Kwahiyo na yule lisu unataka kuniambia pia aliandamana pale Dodoma??Kwani hakukuwa na njia nyingine ya kufanya zaidi ya hiyo ya kuandamana bila kibali?? Angalia sasa vitendo vyao vimegharimu maisha ya binti asiyekuwa na hatia. Hamlioni hilo??
Nimecheka kwa sauti............Kitakachofuata ni kutunga sheria kuhusu michango.... [emoji853][emoji853]
Hawa askari kuwepo sio shida, tatizo kubwa ndo wanakuwa waanzisha vurugu badala ya kulinda usalama.hili jeshi linahitaji kufanyiwa marekebisho makubwa sana...
siajapata taarifa bado mkuu.Hivi iyo press kuna mahali imeonyeshwa?? naona hizi online tv millard alijaribu akala kona nyingine chali,
Ofisi ya mkurugenzi inafahamika ilipo haipo hao mkwajuni .
Ukute wkt unatype huu ushuzi hata mswaki hujapigaHawaendi kwanza makwao kuoga?
Jifunze kuandika we mbwigaSasa wajifunze kutii sheria bila sheria bila shuruti sio kuandamana bila mpango!
Yap!!Ladies First!
CHADEMA huwa wananifurahisha sana!
Wananchi tumechanga, guess what,
These niggas will die on themselves aisee!