Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Akwelina alikua anaandamana?Hapo tunapata somo la kutofanya maandamano bila kibali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akwelina alikua anaandamana?Hapo tunapata somo la kutofanya maandamano bila kibali.
Hapo tunapata somo la kutofanya maandamano bila kibali.
Akwelina ni matokeo ya makosa yaliyofanywa na hao waliotoka leo.Akwelina alikua anaandamana???
hapo watawalazimisha waende majumbani kwao moja kwa moja na sio kwenye ofisi za Chama.Polisi wamewablock viongozi wa CHADEMA Mheshimiwa Halima Mdee, Ester Matiko na Ester Bulaya mda Mfupi baada ya kutoka Gerezani Segerea baada ya kulipa Faini iliyotakiwa na Mahakama. [emoji44][emoji44][emoji44]naona tunataka kuiga Siasa za Uganda sasa
Jr[emoji769]
Hayo maandamano ni matokeo ya nini?Akwelina ni matokeo ya makosa yaliyofanywa na hao waliotoka leo.
Wasingeandamana bila kibali, Who knows binti wa watu angekuwa keshamaliza masomo yake anafaidi matunda ya elimu yake.
Kwani hakukuwa na njia nyingine ya kufanya zaidi ya hiyo ya kuandamana bila kibali?? Angalia sasa vitendo vyao vimegharimu maisha ya binti asiyekuwa na hatia. Hamlioni hilo??Kiongozi walikua wamenyimwa haki yao ya kikatiba,mkurugenzi hayupo ofsini siku mbili uchaguzi kesho yake na kampeni wamepiga kwa gharama hawana mawakala maana hawajaapishwa kisheria wangefanyaje????????mbona hatuangalii chanzo cha wao kuandamana??????
Kwanini hawakufuata utaratibu wa kuandamana??Hayo maandamano ni matokeo ya nini?
kwa nini chadema waliandamana??
Aliyefyatua risasi na kumuua Akwilina yuko wapi sasa hivi je amechukuliwa hatua gani!!Akwelina ni matokeo ya makosa yaliyofanywa na hao waliotoka leo.
Wasingeandamana bila kibali, Who knows binti wa watu angekuwa keshamaliza masomo yake anafaidi matunda ya elimu yake.
Hivi hofu yao ninini?hapo watawalazimisha waende majumbani kwao moja kwa moja na sio kwenye ofisi za Chama.
CCM wanahaha mno kuona hii hukumu inawapa Chadema credits.
Ili ufanyeje. Tumempa Mbowe kwa hiari yake akanywee bia akitaka ahonge. Hata wewe ukitaka nenda akuhonge. Hela za wanaume wenzio roho inataka kukutoka. Tafuta zako. Au sema uchangiweTunahitaji mrejesho wa mzigo uliozidi(uwazi na ukweli)
Ahsante kwa taarifa.
Msisahau kuomba kibali bwashee.
Halafu kesho kuna jitu litasema mniombee,shubaamiti!
Wewe ni karai mkuuAkwelina ni matokeo ya makosa yaliyofanywa na hao waliotoka leo.
Wasingeandamana bila kibali, Who knows binti wa watu angekuwa keshamaliza masomo yake anafaidi matunda ya elimu yake.
Umenena mkuu, hii inatia moyo na kuonyesha kuwa hawa viongozi wanajua wafanyalo.Mkuu
Mbowe and his team are playing chess!
This junta government is stunned!
Maccm are dummies!
fear of unknown inawatesa CCM na vijibwa vyake.Hivi hofu yao ninini?
Jr[emoji769]
Kiongozi walikua wamenyimwa haki yao ya kikatiba,mkurugenzi hayupo ofsini siku mbili uchaguzi kesho yake na kampeni wamepiga kwa gharama hawana mawakala maana hawajaapishwa kisheria wangefanyaje? mbona hatuangalii chanzo cha wao kuandamana?
Yaa Simultaneous equations will solve the political difficulties!!Things are moving simultaneously
Jr[emoji769]
unahaha kama kuku aliyekatwa kichwa.Kwanini hawakufuata utaratibu wa kuandamana??