coockie monster
JF-Expert Member
- May 2, 2015
- 373
- 724
Wazee kibunda kipo na nishafika Moro,ntalala hapa Ili kesho mchana niondoke kuja dar sasa nawaza hiki kibunda changu nikitumie wapi?
Nipo na girlfriend wangu.
Nipo na girlfriend wangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sote tumetokea mwanzaGirlfriend wako hajui sehemu
Ipo maeneo Gani?Njoo masika hapa
Budget yangu Leo ni 100k to 150k,hapo ni kula,kunywa na usafiri na mizunguko mingine. Sio kibunda kikubwa kawaida tuKilete hicho kibunda mie tawapikia supu.
Asante mkuu,hivi wapo mpaka saa 3 usiku? Maana baada ya kukosa majibu ya uhakika nikaja hapa nguzo campsite . Kuna mazingira tulivu,yakuburudika na uoto Asili na kuna mto japo Kwa sasa kiangazi umekauka maji yapo kimfereji. Hii sehemu nzuri sana mpaka Shemeji yenu kafurahia sana sana.Ulizia uhamiaj nyama choma nyuma ya msamv stand
Enjoy your day
SafiiThis is our room,cost us 30,000Tsh. For real i would recommend this place,it's worth every penny. the tranquility,nature, weather and serenity of this place is meditative. For y'all nature's lover it's 10/10 place.
View attachment 2367867
Nbona bill moja tu kibunda kinakata mkuu, subir kuku wa ndoo Luna urudi ugegede mzigo!!!Budget yangu Leo ni 100k to 150k,hapo ni kula,kunywa na usafiri na mizunguko mingine. Sio kibunda kikubwa kawaida tu
Nimecheka maana nipo hapa kwa rasta nangoja vichwa na miguuNbona bill moja tu kibunda kinakata mkuu, subir kuku wa ndoo Luna urudi ugegede mzigo!!!
Tahazari usije ukatutumia na zile pcha za secreti angle!Asante mkuu,hivi wapo mpaka saa 3 usiku? Maana baada ya kukosa majibu ya uhakika nikaja hapa nguzo campsite . Kuna mazingira tulivu,yakuburudika na uoto Asili na kuna mto japo Kwa sasa kiangazi umekauka maji yapo kimfereji. Hii sehemu nzuri sana mpaka Shemeji yenu kafurahia sana sana.
View attachment 2367856View attachment 2367858
View attachment 2367860
Our room in nguzo camp
Hapana mkuu nawasaidia wengine Kwa kuwapa experience niliyoipata kama nilivouliza swali kwenye heading ya Uzi huu. Hivyo Kwa kushiriki kuchangia experience yangu kutawasaidia wengine. Asante pia picha zote zimezingatia faragha yetu.Inakoelekea huko...usiku unaweza kutoonyesha tusivyopaswa kuviona maana mhhhh.