Sehemu gani ya Dar es Salaam huwezi kwenda kupanga nyumba ya kuishi?

Sehemu gani ya Dar es Salaam huwezi kwenda kupanga nyumba ya kuishi?

Karibu Pugu Ariana

Karibu sana tutasali wote pale Pugu kanisani (sec)
Tutaishi kajiungeni
Matembezi tutafanya kisarawe
Upepo mzuri wa kizimzumbwi
Tutakula mahindi na nyama choma good life🙏🌹
Ooh tena hivi karibuni tulkkua na zamu ya kusafisha Groto la bikira maria na mama zetu WAWATA sikupata nafasi kuja...
Naskia tena kuna Pugu Marathon wanataka kuja huko...
Ni maeneo yq Pugu Boys??
 
Ooh tena hivi karibuni tulkkua na zamu ya kusafisha Groto la bikira maria na mama zetu WAWATA sikupata nafasi kuja...
Naskia tena kuna Pugu Marathon wanataka kuja huko...
Ni maeneo yq Pugu Boys??
Definitely jumamosi trh 18 kutakuwa na marathon ya kuchangia ujenzi wa kituo Cha Hija hapa Pugu boys ukifika tutafurahia sana
 
Kwa wadada wa mjini wanependa sana sehemu tunazoita za "Mikululo" yaani watu shazi maana hapo wanakula vichwa kama vinyozi ila kwa watu wenye familia sehemu kama hizo hazifai kuishi.

Sinza,Tabata,Magomeni,manzese,tandale,kinondoni hapafai kuishi kama una familia.

Sehemu nzuri kuishi na familia ni za nje ya mji ,watoto wanakua na maadili mema ,sio kukua sehemu ambao kila baada ya nyumba bar au kila bar kuna chimbo "la Mwamposa".
Kwaio mkuu Kama tumejenga huku pia tuhame😨 tukakae mbweni🤗
 
Back
Top Bottom