miviga
JF-Expert Member
- Jan 27, 2024
- 1,721
- 6,037
Nyauuuuuuuuuuuuuuuu
We ni kilaza, acha shobo na wanaume
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyauuuuuuuuuuuuuuuu
[emoji38]Acha dharau, kupanga ni kuchagua huku tumeanza na kiwanda cha magari, barabara zitafuata.⁸
Kiga barabara mahandaki matupu,barabara zinaongezwa viraka zimekuwa kama kichwa cha mwendawazimu kilichokuwa darasa la kujifunzia[emoji2957]
Hahaha 🤣😆View attachment 2992001
We ni kilaza, acha shobo na wanaume
Mpigi magoe hata nkipewa nyumba Bure siwezi kuishi periodSehemu gani ya Dar huwezi Kwenda kupanga nyumba ya kuishi? Tupia maoni yako tujuane mapema tu.
Mikocheni maji yanazengua sana.Siwezi popote nje ya Kijitonyama, Makumbusho na Mikocheni.
Muhindii😍🤤Wilaya ya ilala na temeke kwakweli kwa ujumla hapana. Mburahati, kigogo, tandale napo hapana.
Masaki na Oysterbay hata bure siwezi kupanga, maeneo haya yana usalama mdogo sana pia hayana ujirani wa wakazi wake, ukivamiwa mchana chauri yako. Ukiishiwa chumvi labda ukachote maji ya bahari utumie.Sehemu gani ya Dar huwezi Kwenda kupanga nyumba ya kuishi? Tupia maoni yako tujuane mapema tu.
Joowzey 🙂Muhindii😍🤤
We mtu kumbe upo nmekumiss sanaJoowzey 🙂
Nipo nimejaa teleWe mtu kumbe upo nmekumiss sana