Huu uzi ungebamba zaid kama ungeandikaSehemu gani ya Dar huwezi Kwenda kupanga nyumba ya kuishi? Tupia maoni yako tujuane mapema tu.
Karibu sana tutasali wote pale Pugu kanisani (sec)Asanteee
Kigogo, Sinza,Tandale,GobaSehemu gani ya Dar huwezi Kwenda kupanga nyumba ya kuishi? Tupia maoni yako tujuane mapema tu.
Karibu Pugu Ariana
Ooh tena hivi karibuni tulkkua na zamu ya kusafisha Groto la bikira maria na mama zetu WAWATA sikupata nafasi kuja...Karibu sana tutasali wote pale Pugu kanisani (sec)
Tutaishi kajiungeni
Matembezi tutafanya kisarawe
Upepo mzuri wa kizimzumbwi
Tutakula mahindi na nyama choma good life🙏🌹
Tabata kuna shida gani nyoko wewe? [emoji848]Kinondoni ,Magomeni,Tabata na Sinza.
Definitely jumamosi trh 18 kutakuwa na marathon ya kuchangia ujenzi wa kituo Cha Hija hapa Pugu boys ukifika tutafurahia sanaOoh tena hivi karibuni tulkkua na zamu ya kusafisha Groto la bikira maria na mama zetu WAWATA sikupata nafasi kuja...
Naskia tena kuna Pugu Marathon wanataka kuja huko...
Ni maeneo yq Pugu Boys??
Jumamosi hii?Definitely jumamosi trh 18 kutakuwa na marathon ya kuchangia ujenzi wa kituo Cha Hija hapa Pugu boys ukifika tutafurahia sana
Yap kuanzia saa mbili kamili asubuhi mgeni rasmi PM Majaliwa na Jerry Slaa plus viongozi wengineJumamosi hii?
Goba ndugu yangu hukawii kujikuta uko serena hotelSehemu gani ya Dar huwezi Kwenda kupanga nyumba ya kuishi? Tupia maoni yako tujuane mapema tu.
Weeeh itakua poa sanaYap kuanzia saa mbili kamili asubuhi mgeni rasmi PM Majaliwa na Jerry Slaa plus viongozi wengine
Itakuwa nzuri maana pia kutakuwa na umisseta Pugu boys Soko kajiungeni n.k
Nawe Tupe mwongozo wako love!
Mimi popote kambi...Nawe Tupe mwongozo wako love!
Kwaio mkuu Kama tumejenga huku pia tuhame😨 tukakae mbweni🤗Kwa wadada wa mjini wanependa sana sehemu tunazoita za "Mikululo" yaani watu shazi maana hapo wanakula vichwa kama vinyozi ila kwa watu wenye familia sehemu kama hizo hazifai kuishi.
Sinza,Tabata,Magomeni,manzese,tandale,kinondoni hapafai kuishi kama una familia.
Sehemu nzuri kuishi na familia ni za nje ya mji ,watoto wanakua na maadili mema ,sio kukua sehemu ambao kila baada ya nyumba bar au kila bar kuna chimbo "la Mwamposa".