Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Pale usiende tena.Kwa mayweather nilishawahi kula chips mbaya tofauti na wakisifia. Kumbe kuna mpaka mende [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Mrs Van
DuhMay weather studio nilikuta mende ndani siku hio usiku nilikuwa naona uvivu kwenda ameriacan chips.
Sijarudi tena
Mluga luga potea.WANAUME WA DAR KATIKA UBORA WENU.
endelea kushangaa.
zitaje na wewe sehemu zako unapoendaga kula chipsi.Good one,..ita nisaidia hii
Kwa sele bongeFacebook Kinondoni
HahahahaahWanaume Wa dar na chipsi zao...wanakuja subiri
young kilimanjaro
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mijitu ya mkoani inakasirika kweli ikiona bata za mjini. Kama vipi na nyie anzisheni uzi wenu wa vijiwe vya ming'oko Lindi, au Matobholwa Tabora, au mapanki Mwanza, au Mituro Moshi, au vijiwe vya urojo Zanzibar, au kuku shombo Dodoma.
Kumbe unapajua eehHapo temeke mikoroshini kwa madenge Karibu au pembeni ya mpomabiva ni hatareeee. Na vyuku vyao.
Ships na kuku tamu ni mamboz stendi ya zamani ya kisutu ni mwisho wa matatizo pale aisee
[emoji3]Mijitu ya mkoani inakasirika kweli ikiona bata za mjini. Kama vipi na nyie anzisheni uzi wenu wa vijiwe vya ming'oko Lindi, au Matobholwa Tabora, au mapanki Mwanza, au Mituro Moshi, au vijiwe vya urojo Zanzibar, au kuku shombo Dodoma.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wanaume Wa dar na chipsi zao...wanakuja subiri
young kilimanjaro
Nimekula sana biriani lakeKwa sele bonge
ewaaa..!!!! umeniwahi nami nilitaka kusema hivyohivyo..ila ngoja nijazie tu hapa,Wanaume Wa dar na chipsi zao...wanakuja subiri
young kilimanjaro
kula maugali sio sifaewaaa..!!!! umeniwahi nami nilitaka kusema hivyohivyo..ila ngoja nijazie tu hapa,
Hivi inakuwaje dume zima linasifia chipsi yai..? yaani kabisa mwanangu wa kike anapenda kununuliwa chipsi, mchepuko naye chipsi halafu bado eti dume zima na midevu yako nae eti unaulizia chipsi duh..kwa hali hii wanawake wa Dar wana haki ya kununua "mbo.o za miti"