Aisee naipenda ming'oko 😀 😀 😀 😀 nilipokwenda mtwara nikaikuta,kuja Lindi nikaikuta aisee huwa naenxa mbagala rangi 3 kuifataga nikawa na hamu nayo sanaMijitu ya mkoani inakasirika kweli ikiona bata za mjini. Kama vipi na nyie anzisheni uzi wenu wa vijiwe vya ming'oko Lindi, au Matobholwa Tabora, au mapanki Mwanza, au Mituro Moshi, au vijiwe vya urojo Zanzibar, au kuku shombo Dodoma.
Nilikwambia inbox kwa wanaume tu,sio wavulanaKumbe unapajua eeh
Ni noma sana hapo
Halafu njoo inbox tutete kidogo.
Mpaka Leo Mimi ni mdau mkubwa wa biriani na kuku wa ndimu jioniNimekula sana biriani lake
Salaale.Mpaka Leo Mimi ni mdau mkubwa wa biriani na kuku wa ndimu jioni
Kwenye ubora wako msela wa Dar..!!May weather studio nilikuta mende ndani siku hio usiku nilikuwa naona uvivu kwenda ameriacan chips.
Sijarudi tena
We jamaa kama ni ME,, basi nimeamini maneno ya watu. Unavifahamu vijiwe vya chips kama mlevi anavyozifahamu baa.Tutajeni sehemu wanapopika chips vizuri kwa hapa dar .
Maana kuna sehemu zingine unakula chips lakini hata usikii raha yake
Sehemu ninazo zijua mimi baadhi ni hizi
1)Njia panda ya majumba SITA pale Banana wanapaita kwa Salumu
2) Tabata kimanga pale stendi wanapaita kwa mpemba
3)Temeke mtaa wa Yombo karibu na Mpomabiva
4)Tandika katibu na stendi ya magari ya buza
5)Mwenge stendi ya zamani ya magari ya goms kwa kule ndani .
6)M city
7)Mikocheni A kwa mwarabu wa dubai
8)Kariakoo kuna vijiwe vingi tu
Sehemu nyingine malizieni
kapovu!!!Jf ya baba yako?
Duhh hapo umeuwa, ila mwanaume kujisifia kula chips nayo naona kama imekaa ndivyo sivyo!!!Mijitu ya mkoani inakasirika kweli ikiona bata za mjini. Kama vipi na nyie anzisheni uzi wenu wa vijiwe vya ming'oko Lindi, au Matobholwa Tabora, au mapanki Mwanza, au Mituro Moshi, au vijiwe vya urojo Zanzibar, au kuku shombo Dodoma.
umeharibu wewe!!! ni chips yai!! siyo chips kuku.Sisi wa mikoani yetu [emoji102] wanaume wa dar uwanja wenu wa kujidai na chips kuku zenu![emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji1]
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani umemaliza sina nyongeza hapo.ewaaa..!!!! umeniwahi nami nilitaka kusema hivyohivyo..ila ngoja nijazie tu hapa,
Hivi inakuwaje dume zima linasifia chipsi yai..? yaani kabisa mwanangu wa kike anapenda kununuliwa chipsi, mchepuko naye chipsi halafu bado eti dume zima na midevu yako nae eti unaulizia chipsi duh..kwa hali hii wanawake wa Dar wana haki ya kununua "mbo.o za miti"
Mhhhh!!!kula maugali sio sifa
chipsi ni chakula kama vyakula vingine tu .
Wanaume Wa dar na chipsi zao...wanakuja subiri
Acheni ushamba wa mkoa. Chipsi ni chakula kizuri tu. Wanaume wa mashambani mnalima viazi lakini hamjui kuvitengeneza, mnachojua tu ni kuvichemshaKumbe we kamwanaume cha dar. ndio maana. huku hapakufai nenda kwenye fesibuku yenu tu.
Kumbe we kamwanaume cha dar. ndio maana. huku hapakufai nenda kwenye fesibuku yenu tu.
Wanaume Wa dar na chipsi zao...wanakuja subiri
young kilimanjaro
hii ni special kwa wanaume wa Dar.
ushamba mzigo,chipsi zinaliwa dunia nzima,tembeeni mtoe tongotongo.kukaa sana bush nako sio kuzuri.WANAUME WA DAR KATIKA UBORA WENU.