nelo de nelo
Member
- Sep 10, 2024
- 89
- 104
- Thread starter
- #21
Russia Iran na turkey ndio watu wanaojua nn kinaendelea sis tunasubiri BBC na CNN nn wanasema wakati ukisoma quran tukufu na hadithi za mtume muhammad s.a.w alishawafunulia watu juu ya jambo hili na jinsi ya kuliepuka