Ibrahim daud
JF-Expert Member
- Feb 10, 2013
- 609
- 524
Habari za weekend!
Tokea Jana sehemu ya juu ya paja naskia Kama simu inaita yani vibration, nini hiki jamani?
Tokea Jana sehemu ya juu ya paja naskia Kama simu inaita yani vibration, nini hiki jamani?