Sehemu zenye fursa nyingi zaidi Tanzania.

Unaiachaje Katavi aisee!
 
Kahama...katoro...sehemu hizo pia fursa zipo
Yeah zipo sehemu nyingi kweli Sema I think hizo ni main kama nimesahau nyingine ni kwasababu ya errors na sometimes sipo very perfect kwenye comparison
 
,
Katavi mwanangu ni mwisho wa maneno. Kuke wilaya ya Tanganyika jamaa kutoka DRC ndiko wanakochukua ng'ombe na kuwapeleka Congo. Miaka mitano ijayo huko mashambani ndiko natakiwa nikapumzikie huko!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Unataka kuwa bushman
 
Niliwahi kuwa mwanza wallah nilijutia kwa nn nilienda kule, hivyo viwanda unavyovisemea ni kweli vipo ila kumejaa ukiritimba na Rushwa hatari
 
Niliwahi kuwa mwanza wallah nilijutia kwa nn nilienda kule, hivyo viwanda unavyovisemea ni kweli vipo ila kumejaa ukiritimba na Rushwa hatari
Mwanza ule mjin una pesa ni wewe tu uone kitu gani ulete kwa watu Chenye soko kwa wakati fulan
 
Inawezekana ikawa ni kweli lakini watu watakuamini vipi bila ushahidi wa wazi
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Bro tembea usikae sehemu moja ukienda kwenye hizo sehemu utaamini Tanzania umechangamka Sasa kama unapinga hadi takwimu za kweli means hujui fursa zilipo
 
Mkuu nimekaa kule miaka 3 biashara za kule asilimia 90 zinategemea ushirikina,ukinyanyuka kidogo tu ni either biashara yenyewe idondoshwe au we mwenyewe udondoshwe
Duh lakini watu wanaotoka sana kwa upande wa mwanza na watu wengine hawaamini ushirikina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…