Sehemu zenye fursa nyingi zaidi Tanzania.

Hiyo Dodoma umeiweka hapo Kwa hoja ipi ya msingi yakufanya Arusha iwe chini Dodoma hapana
 
Wapi kahama
 
Naomba kujua kuhusu fursa za Mazao zilizopo KATAVI.
Kule kuna mazao gani hasa ambayo ni Makubwa? Je, yanauzwa kwa mfumo wa stakabadhi ghalani? kipindi cha mazao ni muda gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…