soul provider
JF-Expert Member
- Jun 21, 2014
- 1,341
- 2,113
Hahaha acha masihala Kaka..
Labda pengine. Moja ya presenters niliokuwa nawakubali EATV hasa kipindi chake Cha USWAZI
alihamia tbc na kina jotiLabda pengine. Moja ya presenters niliokuwa nawakubali EATV hasa kipindi chake Cha USWAZI
Oh kwa hiyo kipindi kilipokufa naye akapotea mazimaalihamia tbc na kina joti
Labda majukumu ya ndoa yanamweka mbali na mediasijui alipotelea wapi huyu mtu
Sio uswazi ilitwa city soundHabari Wakuu!
Miaka ya nyuma huyu jamaa alikuwa anafanya kazi EATV kama mtangazaji kipindi Cha Uswazi, lakini pia alikuwa producer wa Ze comedy Show ya Akina masanja
Amepotelea wapi Sekion Davis kwa anayejua taarifa zake..
Ohooooo!!!
Asante kwa kunisahihisha