Ze General
JF-Expert Member
- May 10, 2014
- 1,508
- 1,253
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli aisee. Aliibeba original comedy kwa kiasi kikubwa !Jaamaa alikua talented sana,..
Uswazi alikuwa mussa husseinAsante kwa kunisahihisha
Unajifanya unamjua halafu hujui hata alikuwa anafanya kipindi gani, kipindi anafanya tv shows 'City Sound' ,Uswazi ilikuwa hata haijaanzaHabari Wakuu!
Miaka ya nyuma huyu jamaa alikuwa anafanya kazi EATV kama mtangazaji kipindi Cha Uswazi, lakini pia alikuwa producer wa Ze comedy Show ya akina Masanja..
Amepotelea wapi Sekion Davis kwa anayejua taarifa zake..
It was city sound kumbe na wewe ni muhenga bibie!!!Uswazi ipiiii???? Mi Namkumbuka enzi zile EATV na kipndi chake cha city sound Nilikuwa nakupenda kweli
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jamani kwani city sound miaka ya 80???si ilikuwa early 2000 jamaniiii[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]It was city sound kumbe na wewe ni muhenga bibie!!!
mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
2000's imekuwa kitambo bibie kwa waliowahi kwenda leba sasa wanasomesha[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jamani kwani city sound miaka ya 80???si ilikuwa early 2000 jamaniiii[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Movie gani hii?Ohooooo!!!![]()
![]()
-Ndumilakuwili-
Duh!!! Ni kweli2000's imekuwa kitambo bibie kwa waliowahi kwenda leba sasa wanasomesha
mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
[emoji41]Joseverest
Inaonekana unalo unalolifahamu kumsaidia mleta uzi, hebu funguka kidogo kutusaidia!![emoji12] [emoji12]Jamaa huyu toka Afunge ndoa na mtoto wa Kigogo mmoja, amekuwa hatoki Nyumbani kwake huko Kigamboni.....
Ila maisha yanakwenda...
Sent using Jamii Forums mobile app