Kwani alimjua kupitia kwenda kwake??Umeenda kumuulizia kwake ukamkosa?!
Mara ya mwisho alionekanaga maeneo ya kibiti ile kabla ya kuwa darfurJamaa alikubalika sana enzi zake
Akaja kuamua kukaa nyuma ya kamera za akina masanja.
Sasa kamera za akina masanja zimezima yuko wapi kwa sasa?
iyo irkua ni tamthilia ambayo irkua inalushwa ITV Kama ntakumbuka vizuri irkua inaitwa Mambo hayo,umo ndani seki arkua mtoto wakishukia baba Ake arkua AbiolaMovie gani hii?
Mara ya mwisho alikuwa Wasafi fm sijui kapotea wapi tena