gublod
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 367
- 166
HILO LIMEJIDHIHIRISHA BAADA YA SHULE YAKE KUONGOZA KWA SOMO LA HESABATI NCHI NZIMA NAWALIOFAULU NI WATOTO WA WANYONGE WALIOPO LINDIMTWARA RUFIJI NA MAFIA.
Kweli hapo umefuka, eti watoto wa wanyonge waliopo Lindi, Mtwara, Rufiji na Mafia na sio Bukoba. Ina maana mtu akitoka maeneo hayo ndio mnyonge. Katika hii taarifa yako hujajipanga, haijulikani unasifia shule au uwajibikaji wa mama Tiba
Kweli hapo umefuka, eti watoto wa wanyonge waliopo Lindi, Mtwara, Rufiji na Mafia na sio Bukoba. Ina maana mtu akitoka maeneo hayo ndio mnyonge. Katika hii taarifa yako hujajipanga, haijulikani unasifia shule au uwajibikaji wa mama Tiba