Sekondari za Vipaji maalum takribani miaka 40 tangu kuanzishwa kwake umaalum wake uko kwenye nini? Hatuoni ubunifu wowote

Kufaulu peke yake kunakufanya kuwa mgunduzi? Basi kama ndio hivyo ,nchi zilizo endelea zisize wekeza kwenye RnD Centers.
Bro ! Fanya project uone kama hautopata watu , kumbuka wako kwenye chain ya masomo ni rahisi kuonesha ujuzi wao sio kwamba wanatokea mtaani ..

Fanya project then ukiwa chuo wasilisha uone kama hautokuwa hazina .
 
Ndio wako Tanesco kule😀🙂🙂
From Ethopia to Arusha,Tanga.😀😀😀
 
umaalum wake nikuwawezesha tu kupata A ya kwenye makaratasi
 
où as-tu étudié
 
Bro ! Fanya project uone kama hautopata watu , kumbuka wako kwenye chain ya masomo ni rahisi kuonesha ujuzi wao sio kwamba wanatokea mtaani ..

Fanya project then ukiwa chuo wasilisha uone kama hautokuwa hazina .
Bro wewe unaongea nini ,hivi unaangaliaga hizi documentary za uvumbuzi? Nataka kufanye project ya Quantum Physics au hata ya maswala ya AI unazifanyia kwenye facility zipi?

Bro watafute vijana wanasoma masomo ya Science,uoe wanavyo struggle kupata bajeti ya kufanya final year project,msiongee tu kwa ground madogo wanastrugle wanatumia mpaka hela yao ya boom kuongezea kwenye project.

Ujue mpaka unaona computer ,Smartphones,AI any new technology, behind zimetumika bilions of dollar,ukiconvert ni trillions of Tz Shs. Hivi nani awekeze bil of dollars, wakati elimu yetu haina mzingira mazuri ya kujifunza,hamna RnD Centre.

Msiwe mnaongea ongea fuatilieni hizi gunduzi kuna documentary kibao ndipo mtajua haya mambo yana hitaji hela. Trump juzi tu hapa kasema kwenye maswala ya AI peke yake US kaweka 500Bil USD hivi unajua 500bil USd sawa na kiasi gani?

Acheni lawama zisizo eleweka,bado hatuna mifumo na mazingira mazuri ya elimu yatakayo wafanya vijana wawe wagunduzi. Huoni mpaka sasa hivi serikali yako bado ina hangaika na matundu ya choo.
 
sasa kwanini musimwambie mama zile golizake anazonunua hela awape hao ma dogo wa project
 
sasa kwanini musimwambie mama zile golizake anazonunua hela awape hao ma dogo wa project
Kwani wewe huwezi mwambia? Wewe unafikiri hizi vyuo na mashule havina wakaguzi wa serikali si wanaona.......

Acheni kulaumu vitu msivyo vijua, hamna romantic na akina Dotto magari na wajua vijana waliosoma hivyo vizuri wanamizigo mrefu,ila hawana ulimbukeni wa kupayuka kama akina Dotto magari.
 
Kiufupi hamna kipya ,projects zenu ni kucopy walizofanya wazungu...Hamna thamani kwa vile hamna kipya sokoni.

Fanya kazi acheni visingizia.!
 
Kiufupi hamna kipya ,projects zenu ni kucopy walizofanya wazungu...Hamna thamani kwa vile hamna kipya sokoni.

Fanya kazi acheni visingizia.!
Weka hela halafu uone watu kama watakopi? Hujawekeza unataka upate mavuno. Wewe unafikiri Trump kuweka USD 500m kwa AI mjinga?

Mnapayuka payuka kwa vitu msivyo vijua na kama hujui hata kukopi nayo ni akili kwani knowledge ya Reverse Engineering imetumika.
 
Mchawi ni kutokuweka pesa na maana kwenye tafiti. Bajeti ya taifa kwenye tafiti ni ndogo sana.
 
Umeandika ukweli mtupu. Kongole kwako mkuu.

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Kumbe mna njaa ya pesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…