Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
- Thread starter
-
- #21
Alikuwa na uwezo mkubwa sana. Je is there any innovation with him?Nishawahi kuwa na classmate alikua anameza kitabu aisee, namkubali akifika kwenye test au mtihani anamwaga kama aliscan, sasa hivi ni afisa mkubwa tu kule jwtz!
Kwa navyomfahamu hapana, labda kukariri kama ndo innovation yenyewe lakini ni mmoja wa wakurugenzi yani pale mmj!Alikuwa na uwezo mkubwa sana. Je is there any innovation with him?
Umeona shida ya elimu yetu????Nishawahi kuwa na classmate alikua anameza kitabu aisee, namkubali akifika kwenye test au mtihani anamwaga kama aliscan, sasa hivi ni afisa mkubwa tu kule jwtz!
Huoni division one na A'sTumejionea wenyewe kule china na mahala pengine kama ulaya Watoto wadogo wanaandaliwa kiwa Wanasayansi na mainjinia wabobezi. Watoto hao wanasukwa na kufinyangwa kiasi kwamba wanaanza kubuni na kuvumbua Mitambo na teknolojia za kipekee zenye mchango mkubwa ktk maendeleo ya kiuchumi kwenye nchi zao.
Hapa Tanzania mfumo wa Shule za Vipaji maalum umekuwepo kwa miaka mingi sasa.
Binafsi sikuwa na bahati ya Kujiunga na shule hizo hivyo nilitarajia pia kunufaika na Ubunifu/ innovations kutokana na kundi hili kubwa wenye vipaji Maalum/ special inteligence.
Tuna sekondari nyingi kama
1. Ilboru Arusha
2. Msalato Girls Morogoro
3.Mzumbe Boys Morogoro
4.Kibaha Boys Pwani
5. Tabora girls na Tabora Boys.
Ndio kusema Maelfu kwa Maelfu ya Wanafunzi waliopita humo hakuna hata wawili watatu walioonesha Ukipaji wao?
Tuseme basi Mtaji ni Mkubwa ku invest, hata Basi Kuwa Social influencer/ matumizi ya tech zilizopo je?
Tunaona Watu wenye elimu kiasi tu ndio wanaofaidi matumizi ya Technolojia na kunufaika na kuitangaza Tanzania.
Watu kama akina Maulid Kitenge, Kipanya, Zembwela, Diamond, Millard Ayo, Mwijaku, Baba Levo, Mobeto.
Angalau hawa hawakugundua chochote kama walivyo wale wa vipaji maalum ispokuwa wameweza kugundua matumizi sahihi ya teknolojia iliyopo.
Vipaji maalumu katika sekondari hizo ni vya mchongo au tunakwama Wapi?
Bonjour, Je M'apelle Bush Dokta habité à Makerere universite.
Bonvenué de discusio reun̈ion
Bila kujali wameibia mitihani?Hizo ni shule maalumu kwa waliopata alama za juu tu.
Huyo ni akili yake mwenyewe shule hazina walimu wa kufundisha hayoHuyu alitokea Shule Gani? Anastahili pongezi
Wanaanzisha kisha wanaua na kuisingizia Chadema wakati muuaji ni Lucas Mwashambwa.Makubwa haya!
1. Mazingira kwenye hizo shule zina/zilizoitwa vipaji maalumu.Unadhani ni jambo Gani?
Maghayo wako sasa amerudi kama Maghayo akaunti nyingine hapatikani tena.Tutalipeleka kwenye kikao cha chama tuone tunafanyaje.
Cc: Ghayo TheMongo Barbarian The Mongolian Savage adriz Mufti kuku The Infinity
Well, inawezekana walimu wanafanya hivi ili kuwa Test Umaalum wao?1. Mazingira kwenye hizo shule zina/zilizoitwa vipaji maalumu.
Hizi shule hazina utafauti wowote na shule za kata tulizonazo mitaani. Kwa maana ya style ya ufundishaji, nyenzo za kufundishia na hata aina ya walimu. Ni shule hizi hizi ambazo waalimu wanaoanekana darasani kwa nadra kama kwengine kote.
Hamna jambo ambalo lipo labda kibaha/Mzumbe ukalikosa Minaki au Pugu.
Suggest nini kifanyike?