Sawa msisahau mrejesho. Tujue limefika wapi.Tutalipeleka kwenye kikao cha chama tuone tunafanyaje.
Cc: Ghayo TheMongo Barbarian The Mongolian Savage adriz Mufti kuku The Infinity
Mada nzuri.Tumejionea wenyewe kule china na mahala pengine kama ulaya Watoto wadogo wanaandaliwa kiwa Wanasayansi na mainjinia wabobezi. Watoto hao wanasukwa na kufinyangwa kiasi kwamba wanaanza kubuni na kuvumbua Mitambo na teknolojia za kipekee zenye mchango mkubwa ktk maendeleo ya kiuchumi kwenye nchi zao.
Hapa Tanzania mfumo wa Shule za Vipaji maalum umekuwepo kwa miaka mingi sasa.
Binafsi sikuwa na bahati ya Kujiunga na shule hizo hivyo nilitarajia pia kunufaika na Ubunifu/ innovations kutokana na kundi hili kubwa wenye vipaji Maalum/ special inteligence.
Tuna sekondari nyingi kama
1. Ilboru Arusha
2. Msalato Girls Morogoro
3.Mzumbe Boys Morogoro
4.Kibaha Boys Pwani
5. Tabora girls na Tabora Boys.
Ndio kusema Maelfu kwa Maelfu ya Wanafunzi waliopita humo hakuna hata wawili watatu walioonesha Ukipaji wao?
Tuseme basi Mtaji ni Mkubwa ku invest, hata Basi Kuwa Social influencer/ matumizi ya tech zilizopo je?
Tunaona Watu wenye elimu kiasi tu ndio wanaofaidi matumizi ya Technolojia na kunufaika na kuitangaza Tanzania.
Watu kama akina Maulid Kitenge, Kipanya, Zembwela, Diamond, Millard Ayo, Mwijaku, Baba Levo, Mobeto.
Angalau hawa hawakugundua chochote kama walivyo wale wa vipaji maalum ispokuwa wameweza kugundua matumizi sahihi ya teknolojia iliyopo.
Vipaji maalumu katika sekondari hizo ni vya mchongo au tunakwama Wapi?
Bonjour, Je M'apelle Bush Dokta habité à Makerere universite.
Bonvenué de discusio reun̈ion
Okay Hongera sana. CocasticNikiwa m1 wa waliopita special schools, itoshe kusema kule ni kusoma sana, kukariri na kugombania u TO.
Ila kuna ka hype fulani kusoma special schools. Tchaos.
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Wewe ni Mjumbe?Tutalipeleka kwenye kikao cha chama tuone tunafanyaje.
Cc: Ghayo TheMongo Barbarian The Mongolian Savage adriz Mufti kuku The Infinity
Asante sana Kaka kwa mchango wako. Hii ni Mada nzuri ingependeza ukatoa na Mifano ya Watu unaowajua walionufaika na Mfumo huu wa elimu.Vipaji maalumu wengi walivyofika chuo wameendelea katika taaluma mbali mbali na pia wengi wapo na kampuni kadhaa..
Mimi nadhani umechangia wazo zuri tu hukuwa na haja ya kutukana watu.Uvivu wa kufikiri unafanya tunakuwa na jamii isiyo na misingi imara na iliyokosa fikra timamu. Leo mtu mzima ana praise wauza uchi na machawa kuwa ndio wenye mafanikio. Huu ni ugonjwa wa akili
Asante Mhandisi Mzalendo.Mada nzuri.
Kwa kuwa ume declear kuwa hukubahatika kuchaguliwa shule hizo basi moja kwa moja umekiri wengi huwajui na hujawahi wafuatilia.
BInafsi nawatambua vijana kadhaa waliopita shule hizo na wana mchango mkubwa kwa taifa katika nyanja mbalimbali.
Mfumo wa elimu zetu hazikutuwezesha kufanya gunduzi mbalimbali kwa sababu ya mazingira na vifaa. Lakini pia ugunduzi si mpaka urushe ndege. Matumizi sahii ya akili yako yanaweza kuleta matokeo chanya katika jamii.
Mfano juzi tumeona wanafunzi wa kibaha wakiwekeza mfumo wao wa kupiga kura kidigitali na kufanya uchaguzi.
Vipaji maalumu wengi walivyofika chuo wameendelea katika taaluma mbali mbali na pia wengi wapo na kampuni kadhaa....
Naweza kukutajia mbili tu. Anayeendesha AI ya kiswahili ni kipaji maalumu. Aliyeandika code za kampuni moja ya mawasiliano ni kipaji maalumu.
Nyerere ni kipaji maalumu n.k
Kwa namna ulivyotaja hao influencer wako ni dhahiri wewe ni mtu wa social media unayedanganywa na mafanikio ya picha.
Tatzo la watanzania wengi hudhania mafanikio ni hela nyingi au umaarufu.
Mimi nikuhakikishie tu. Kusanyiko la vilaza sio sawasawa na kusanyiko la vipaji maalumu. Kuna tofauti tu mtaonyesha kwenye kufikiri na kwenye kuamua.
Leo form 1 failure anaweza kutamba kuwa ana hela kuliko aliyesoma chuo. Lakini anasahau kuna watu behind walioweka mifumo imara inayofanya yeye apate hela.
Uvivu wa kufikiri unafanya tunakuwa na jamii isiyo na misingi imara na iliyokosa fikra timamu. Leo mtu mzima ana praise wauza uchi na machawa kuwa ndio wenye mafanikio. Huu ni ugonjwa wa akili.
Haya yameingiaje huku sasa Mr Hismastervoice?Wanaanzisha kisha wanaua na kuisingizia Chadema wakati muuaji ni Lucas Mwashambwa.
Hehehee na hii mbinu ipo?Bila kujali wameibia mitihani?
Maana tunaona namna baadhi ya shule zinavyopambana kuvujisha mitihani ili tu shule ionekane inafaulisha kwa ufaulu wa juu.
Wapo watoto wanaenda hizo shule zinazoitwa vipaji maalum hadi unashangaa maana ni wa kawaida kabisa sema tu amekutana na shule yake walanguzi na wavujishaji wazuri wa pepa.
😅😅😅Umeona shida ya elimu yetu????
Mwendo wakukariri
Hata Mimi kukariri kulinisaidia nikalamba four yangu saafi form four
Okay thank youKwa navyomfahamu hapana, labda kukariri kama ndo innovation yenyewe lakini ni mmoja wa wakurugenzi yani pale mmj!
Gugu kampuni inaitwa SARTIFY angalia co founder wake then gugu PAWA AI swahili ujue watu wako behind hiyo project.Asante sana Kaka kwa mchango wako. Hii ni Mada nzuri ingependeza ukatoa na Mifano ya Watu unaowajua walionufaika na Mfumo huu wa elimu.
Tusiwafiche, hakuna sababu ya kufanya siri. Let them be Rewarded angalau tu hata kwa kuwatambua. It is a motivation kwao.
Huenda hajavumbua Mashinery tool lakini akavumbua mfumo wa mahesabu ya fedha au kuandika.
Na mimi ninamnukuu mymaster.Haya yameingiaje huku sasa Mr Hismastervoice?
Sometimes unaweza ukawalaumu ila umewawekeza kwenye Mazingira gani? Mnafacility za kulea hizo vipaji, shule zote unazo zijua wewe za Serikali zina changamoto za walimu na vifaa vya ufundishaji.Huwezi linganisha na wenzetu wa Ulaya.Wenzetu ulaya shule zina facility zote kuanzia walimu, vifaa,maabara bado wana research centers za kitosha.Tumejionea wenyewe kule china na mahala pengine kama ulaya Watoto wadogo wanaandaliwa kiwa Wanasayansi na mainjinia wabobezi. Watoto hao wanasukwa na kufinyangwa kiasi kwamba wanaanza kubuni na kuvumbua Mitambo na teknolojia za kipekee zenye mchango mkubwa ktk maendeleo ya kiuchumi kwenye nchi zao.
Hapa Tanzania mfumo wa Shule za Vipaji maalum umekuwepo kwa miaka mingi sasa.
Binafsi sikuwa na bahati ya Kujiunga na shule hizo hivyo nilitarajia pia kunufaika na Ubunifu/ innovations kutokana na kundi hili kubwa wenye vipaji Maalum/ special inteligence.
Tuna sekondari nyingi kama
1. Ilboru Arusha
2. Msalato Girls Morogoro
3.Mzumbe Boys Morogoro
4.Kibaha Boys Pwani
5. Tabora girls na Tabora Boys.
Ndio kusema Maelfu kwa Maelfu ya Wanafunzi waliopita humo hakuna hata wawili watatu walioonesha Ukipaji wao?
Tuseme basi Mtaji ni Mkubwa ku invest, hata Basi Kuwa Social influencer/ matumizi ya tech zilizopo je?
Tunaona Watu wenye elimu kiasi tu ndio wanaofaidi matumizi ya Technolojia na kunufaika na kuitangaza Tanzania.
Watu kama akina Maulid Kitenge, Kipanya, Zembwela, Diamond, Millard Ayo, Mwijaku, Baba Levo, Mobeto.
Angalau hawa hawakugundua chochote kama walivyo wale wa vipaji maalum ispokuwa wameweza kugundua matumizi sahihi ya teknolojia iliyopo.
Vipaji maalumu katika sekondari hizo ni vya mchongo au tunakwama Wapi?
Bonjour, Je M'apelle Bush Dokta habité à Makerere universite.
Bonvenué de discusio reun̈ion
Mdogo wangu ni kipaji maalum yupo form 2. Huwezi kumfananisha na average mwanafunzi wa form 2 hata wa shule ya private. Dogo anafanya coding na pia hizi vipaji maalum zina mfumo mzuri na walimu wazuri sana wa kuendeleza uwezo wa mwanafunzi.Mada nzuri.
Kwa kuwa ume declear kuwa hukubahatika kuchaguliwa shule hizo basi moja kwa moja umekiri wengi huwajui na hujawahi wafuatilia.
BInafsi nawatambua vijana kadhaa waliopita shule hizo na wana mchango mkubwa kwa taifa katika nyanja mbalimbali.
Mfumo wa elimu zetu hazikutuwezesha kufanya gunduzi mbalimbali kwa sababu ya mazingira na vifaa. Lakini pia ugunduzi si mpaka urushe ndege. Matumizi sahii ya akili yako yanaweza kuleta matokeo chanya katika jamii.
Mfano juzi tumeona wanafunzi wa kibaha wakiwekeza mfumo wao wa kupiga kura kidigitali na kufanya uchaguzi.
Vipaji maalumu wengi walivyofika chuo wameendelea katika taaluma mbali mbali na pia wengi wapo na kampuni kadhaa....
Naweza kukutajia mbili tu. Anayeendesha AI ya kiswahili ni kipaji maalumu. Aliyeandika code za kampuni moja ya mawasiliano ni kipaji maalumu.
Nyerere ni kipaji maalumu n.k
Kwa namna ulivyotaja hao influencer wako ni dhahiri wewe ni mtu wa social media unayedanganywa na mafanikio ya picha.
Tatzo la watanzania wengi hudhania mafanikio ni hela nyingi au umaarufu.
Mimi nikuhakikishie tu. Kusanyiko la vilaza sio sawasawa na kusanyiko la vipaji maalumu. Kuna tofauti tu mtaonyesha kwenye kufikiri na kwenye kuamua.
Leo form 1 failure anaweza kutamba kuwa ana hela kuliko aliyesoma chuo. Lakini anasahau kuna watu behind walioweka mifumo imara inayofanya yeye apate hela.
Uvivu wa kufikiri unafanya tunakuwa na jamii isiyo na misingi imara na iliyokosa fikra timamu. Leo mtu mzima ana praise wauza uchi na machawa kuwa ndio wenye mafanikio. Huu ni ugonjwa wa akili.
100%Sometimes unaweza ukawalaumu ila umewawekeza kwenye Mazingira gani? Mnafacility za kulea hizo vipaji, shule zote unazo zijua wewe za Serikali zina changamoto za walimu na vifaa vya ufundishaji.Huwezi linganisha na wenzetu wa Ulaya.Wenzetu ulaya shule zina facility zote kuanzia walimu, vifaa,maabara bado wana research centers za kitosha.
Ila wapo wengi walio toka shule hizo,kwenye za Ulaya na wanafanya vizuri sana.
Yupo Shule gani? Naona ina mifumo na resources nzuriMdogo wangu ni kipaji maalum yupo form 2. Huwezi kumfananisha na average mwanafunzi wa form 2 hata wa shule ya private. Dogo anafanya coding na pia hizi vipaji maalum zina mfumo mzuri na walimu wazuri sana wa kuendeleza uwezo wa mwanafunzi.
HahahahNa mimi ninamnukuu mymaster.