Sekondari za Vipaji maalum takribani miaka 40 tangu kuanzishwa kwake umaalum wake uko kwenye nini? Hatuoni ubunifu wowote

Sekondari za Vipaji maalum takribani miaka 40 tangu kuanzishwa kwake umaalum wake uko kwenye nini? Hatuoni ubunifu wowote

Tumejionea wenyewe kule chini na mahala pengine kama ulaya Watoto wadogo wanaandaliwa kiwa Wanasayansi na mainjinia wabobezi. Watoto hao wanasukwa na kufinyangwa kiasi kwamba wanaanza kubuni na kuvumbua Mitambo na teknolojia za kipekee zenye mchango mkubwa ktk maendeleo ya kiuchumi kwenye nchi zao.

Hapa Tanzania mfumo wa Shule za Vipaji maalum umekuwepo kwa miaka mingi sasa.

Binafsi sikuwa na bahati ya Kujiunga na shule hizo hivyo nilitarajia pia kunufaika na Ubunifu/ innovations kutokana na kundi hili kubwa wenye vipaji Maalum/ special inteligence.

Tuna sekondari nyingi kama
1. Ilboru Arusha
2. Msalato Girls Morogoro
3.Mzumbe Boys Morogoro
4.Kibaha Boys Pwani
5. Tabora girls na Tabora Boys.

Ndio kusema Maelfu kwa Maelfu ya Wanafunzi waliopita humo hakuna hata wawili watatu walioonesha Ukipaji wao?

Tuseme basi Mtaji ni Mkubwa ku invest, hata Basi Kuwa Social influencer/ matumizi ya tech zilizopo je?

Tunaona Watu wenye elimu kiasi tu ndio wanaofaidi matumizi ya Technolojia na kunufaika na kuitangaza Tanzania.
Watu kama akina Maulid Kitenge, Kipanya, Zembwela, Diamond, Millard Ayo, Mwijaku, Baba Levo, Mobeto.

Angalau hawa hawakugundua chochote kama walivyo wale wa vipaji maalum ispokuwa wameweza kugundua matumizi sahihi ya teknolojia iliyopo.

Vipaji maalumu katika sekondari hizo ni vya mchongo au tunakwama Wapi?

Bonjour, Je M'apelle Bush Dokta habité à Makerere universite.

Bonvenué de discusio reun̈ion
Kumradhi
Msalato Girls ipo Dodoma siyo Morogoro
Morogoro Kuna Kilakala na Mzumbe.
 
Huko umeenda chini kabisa je umewahi kujiuliza SUA imekusaidia nini licha ya kuwa ni chuo kikubwa na cha muda mrefu hadi sasa? Je umenufaika nacho nini?
Niliwahi kusikia waligundua Namba ya Panya kugundua Magonjwa ya TB kwenye Sample za Makohozi. Hadi leo sijajua imefikia wapi ile project
 
Asante kwa maelezo ya kina Ndugu Natafuta Ajira.
Umetaja Lecturer na Daktari hata huku wapo.

Mada hii ilikuwa inajielekeza zaidi kwenye ubunifu ili kuendana na hadi ya Neno "Kipaji Maalum"
Kwenye izo izo fani zao kuna ubunifu wanaufanya. Taarifa zao hatuna kwa sababu hatuna utaratibu mzuri wa kufuatilia watu wetu uko nje wanafanya nini, labda mpaka wanapokutana na changamoto mbaya ndio tunaamka.

Mfano mzuri nemes raymond tarimo, mtanzania mwenzetu aliekufa kwenye vita ya ukraine na urusi. Yule ni mshkaji wangu kitambo na alipata scholarship ya kusoma IT kule urusi si ajabu hata mamlaka hazikua zinajua uwepo wake kule. Kama asingekutana na yaliyomkita isingejulikana uwepo wake kule.

Kitu kingine huwa hawa vipaji maalumu ambao wengi wao ni diaspora huwa hawapendi kujitokeza kwa sababu wanakwepa siasa za afrika.

Kuna mshkaji wangu mmoja ambae ni kama broo angu alinitangulia madarasa mawili pale azania, jamaa anaishi canada na yupo vizuri, katika kuwasiliana nikamuuliza kwanini asije kuwekeza bongo? aliniambia huku kuna masuala ya uraia pacha yanakwamisha, na usipokua puppet wa wanasiasa unafanyiwa vigisu sasa kwa mtu ambae hawezi kuwa chawa ni changamoto.


Trust me mzee baba, hawa finnest wa vipaji maalumu wapo uko google, nasa, harvard n.k wanafanya mambo makubwa tu
 
Labda ndo hawa
FB_IMG_1741522021361.jpg
 
Mfano mzuri nemes raymond tarimo, mtanzania mwenzetu aliekufa kwenye vita ya ukraine na urusi. Yule ni mshkaji wangu kitambo na alipata scholarship ya kusoma IT kule urusi si ajabu hata mamlaka hazikua zinajua uwepo wake kule. Kama asingekutana na yaliyomkita isingejulikana uwepo wake kule.
Uuh! He was Great Man then.
 
Tumejionea wenyewe kule china na mahala pengine kama ulaya Watoto wadogo wanaandaliwa kiwa Wanasayansi na mainjinia wabobezi. Watoto hao wanasukwa na kufinyangwa kiasi kwamba wanaanza kubuni na kuvumbua Mitambo na teknolojia za kipekee zenye mchango mkubwa ktk maendeleo ya kiuchumi kwenye nchi zao.

Hapa Tanzania mfumo wa Shule za Vipaji maalum umekuwepo kwa miaka mingi sasa.

Binafsi sikuwa na bahati ya Kujiunga na shule hizo hivyo nilitarajia pia kunufaika na Ubunifu/ innovations kutokana na kundi hili kubwa wenye vipaji Maalum/ special inteligence.

Tuna sekondari nyingi kama
1. Ilboru Arusha
2. Msalato Girls Morogoro
3.Mzumbe Boys Morogoro
4.Kibaha Boys Pwani
5. Tabora girls na Tabora Boys.

Ndio kusema Maelfu kwa Maelfu ya Wanafunzi waliopita humo hakuna hata wawili watatu walioonesha Ukipaji wao?

Tuseme basi Mtaji ni Mkubwa ku invest, hata Basi Kuwa Social influencer/ matumizi ya tech zilizopo je?

Tunaona Watu wenye elimu kiasi tu ndio wanaofaidi matumizi ya Technolojia na kunufaika na kuitangaza Tanzania.
Watu kama akina Maulid Kitenge, Kipanya, Zembwela, Diamond, Millard Ayo, Mwijaku, Baba Levo, Mobeto.

Angalau hawa hawakugundua chochote kama walivyo wale wa vipaji maalum ispokuwa wameweza kugundua matumizi sahihi ya teknolojia iliyopo.

Vipaji maalumu katika sekondari hizo ni vya mchongo au tunakwama Wapi?

Bonjour, Je M'apelle Bush Dokta habité à Makerere universite.

Bonvenué de discusio reun̈ion
System yetu ya hovyo
 
Kwenye izo izo fani zao kuna ubunifu wanaufanya. Taarifa zao hatuna kwa sababu hatuna utaratibu mzuri wa kufuatilia watu wetu uko nje wanafanya nini, labda mpaka wanapokutana na changamoto mbaya ndio tunaamka.

Mfano mzuri nemes raymond tarimo, mtanzania mwenzetu aliekufa kwenye vita ya ukraine na urusi. Yule ni mshkaji wangu kitambo na alipata scholarship ya kusoma IT kule urusi si ajabu hata mamlaka hazikua zinajua uwepo wake kule. Kama asingekutana na yaliyomkita isingejulikana uwepo wake kule.

Kitu kingine huwa hawa vipaji maalumu ambao wengi wao ni diaspora huwa hawapendi kujitokeza kwa sababu wanakwepa siasa za afrika.

Kuna mshkaji wangu mmoja ambae ni kama broo angu alinitangulia madarasa mawili pale azania, jamaa anaishi canada na yupo vizuri, katika kuwasiliana nikamuuliza kwanini asije kuwekeza bongo? aliniambia huku kuna masuala ya uraia pacha yanakwamisha, na usipokua puppet wa wanasiasa unafanyiwa vigisu sasa kwa mtu ambae hawezi kuwa chawa ni changamoto.


Trust me mzee baba, hawa finnest wa vipaji maalumu wapo uko google, nasa, harvard n.k wanafanya mambo makubwa tu

In addition hata mleta uzi anaweza fanya innovation sio jukumu la waliosoma hizo shule tu exclusively.
 
Kuna mshkaji wangu mmoja ambae ni kama broo angu alinitangulia madarasa mawili pale azania, jamaa anaishi canada na yupo vizuri, katika kuwasiliana nikamuuliza kwanini asije kuwekeza bongo? aliniambia huku kuna masuala ya uraia pacha yanakwamisha, na usipokua puppet wa wanasiasa unafanyiwa vigisu sasa kwa mtu ambae hawezi kuwa chawa ni changamoto.
Hili ni swala muhimu sana. Kumbe tunaweza kuona jinsi Siasa zetu zinakuwa kikwakzo.
 
Tumejionea wenyewe kule chini na mahala pengine kama ulaya Watoto wadogo wanaandaliwa kiwa Wanasayansi na mainjinia wabobezi. Watoto hao wanasukwa na kufinyangwa kiasi kwamba wanaanza kubuni na kuvumbua Mitambo na teknolojia za kipekee zenye mchango mkubwa ktk maendeleo ya kiuchumi kwenye nchi zao.

Hapa Tanzania mfumo wa Shule za Vipaji maalum umekuwepo kwa miaka mingi sasa.

Binafsi sikuwa na bahati ya Kujiunga na shule hizo hivyo nilitarajia pia kunufaika na Ubunifu/ innovations kutokana na kundi hili kubwa wenye vipaji Maalum/ special inteligence.

Tuna sekondari nyingi kama
1. Ilboru Arusha
2. Msalato Girls Morogoro
3.Mzumbe Boys Morogoro
4.Kibaha Boys Pwani
5. Tabora girls na Tabora Boys.

Ndio kusema Maelfu kwa Maelfu ya Wanafunzi waliopita humo hakuna hata wawili watatu walioonesha Ukipaji wao?

Tuseme basi Mtaji ni Mkubwa ku invest, hata Basi Kuwa Social influencer/ matumizi ya tech zilizopo je?

Tunaona Watu wenye elimu kiasi tu ndio wanaofaidi matumizi ya Technolojia na kunufaika na kuitangaza Tanzania.
Watu kama akina Maulid Kitenge, Kipanya, Zembwela, Diamond, Millard Ayo, Mwijaku, Baba Levo, Mobeto.

Angalau hawa hawakugundua chochote kama walivyo wale wa vipaji maalum ispokuwa wameweza kugundua matumizi sahihi ya teknolojia iliyopo.

Vipaji maalumu katika sekondari hizo ni vya mchongo au tunakwama Wapi?

Bonjour, Je M'apelle Bush Dokta habité à Makerere universite.

Bonvenué de discusio reun̈ion
Kama MSALATO ipo Morogoro basi sawa
 
Hao ndo wanakuendeshea maisha mkuu,

Wamejaa mawizara yote, wamejaa mataasisi yote makubwa,

Kama haujui Hao ndo muhimili wa watanzania, sio wote ila like 20% wanafanya vzr na wanazibeba saana taasisi wanazozifanyia kazi
 
In addition hata mleta uzi anaweza fanya innovation sio jukumu la waliosoma hizo shule tu exclusively.
Kweli kabisa, kila mtu kwenye field yake anaweza kufanya innovation. Uwe dalali, bodaboda, mhasibu, mgavi, n.k unaweza kufanya innovation kwaiyo kabla ya kuwaangalia wengine jiangalie wewe kwanza umeongeza nini kwenye mchezo.

Mtu kama Jeff bezos yule ni winga tu alijiongeza na amazon yake
 
Back
Top Bottom