Sekondari za Vipaji maalum takribani miaka 40 tangu kuanzishwa kwake umaalum wake uko kwenye nini? Hatuoni ubunifu wowote

Soma mada kwanza uache kupaniki ,naona unaleta stori za magroup ya Whatsapp ,endelea kutafuta ajira kama wenzio 😅 😅
Hii mada ilituhusu zaidi sisi ambao tumesoma izo shule maalumu tulete shuhuda, nyie ambao kwenye mitihani mlikua mnapata namba za viatu mna trauma za ukilaza wenu hamwezi kusema chochote hapa zaidi ya kitembea na biti za doto magari na musukuma
 
Hii mada ilituhusu zaidi sisi ambao tumesoma izo shule maalumu tulete shuhuda, nyie ambao kwenye mitihani mlikua mnapata namba za viatu mna trauma za ukilaza wenu hamwezi kusema chochote hapa zaidi ya kitembea na biti za doto magari na musukuma
Sasa wewe mwenyewe unatafuta ajira utamsaidia nani?

Shuhuda za kwenye magroup ya Whatsapp ,wewe mwenyewe ni failed unatafuta ajira mpaka kesho😅
 
Sasa wewe mwenyewe unatafuta ajira utamsaidia nani?

Shuhuda za kwenye magroup ya Whatsapp ,wewe mwenyewe ni failed unatafuta ajira mpaka kesho😅
User name ya jf isikusumbue kijana. Nipo njema mfukoni na kichwani. Mimeajiri vijana kadhaa ofisini kwangu naitwa boss. Mabanda niliyosimamisha o-level pale azania na a-level kule mzumbe nina uhakika kwenye historia ya ukoo wenu mzima hakuna anaenikaribia.
 
😅😅😅Unatafutiwa connection kwenye magroup ya Whatsapp...Top ya matajiri hampo kwani mko wapi?

Boss labda wa kibanda cha mpesa.
 
😅😅😅Unatafutiwa connection kwenye magroup ya Whatsapp...Top ya matajiri hampo kwani mko wapi?

Boss labda wa kibanda cha mpesa.
Vilaza acheni husda bhana. Wote tulifanya mtihani mmoja na hamkukatazwa kupiga first division kama sisi
 
Vilaza acheni husda bhana. Wote tulifanya mtihani mmoja na hamkukatazwa kupiga first division kama sisi
Sio tajiri wewe maskini tu ,bado unajitafuta elimu haijakusaidia ,unalialia😅😅😅...Niko mbali wala siombi ajira na connection.

Pure nimewin nikiwa bado fresh gradaute ,no connection kama unavyolialia ...Sina magroup miaka yote nasimama alone .
 
Vilaza acheni husda bhana. Wote tulifanya mtihani mmoja na hamkukatazwa kupiga first division kama sisi
Kwanza ushapona masikio?Nakuonea huruma sana hujitambui

Watu tunaoweza kukusaidia unaleta ego zako za kishamba .

 
TAtizo la masikio bado sijapona, licha ya kutafuta matibabu katika hospital kubwa ilishindika, niliambiwa so far hakuna tiba ya tatizo langu. Ni jambo ambalo lilinirudisha nyuma sana kitaaluma na kunikatisha kwenye masuala mengi sana

Kama kawaida ya mwerevu huwa hakosi mbinu ya kukabiliana na changamoto. Nikatumia akili yangu ile ile iliniwezesha kupiga division 1 darasani na kuja na mkakati wa nini nifanye. So far maisha yanaenda vizuri niaajiri mpaka vijana ambao ni wazima kabisa na huwa najitahidi kutafuta watu wenye changamoto kama yangu na kuwasaidia kwa kuwaonyesha njia sahihi ya kupita maana najua exactly nini wanachopitia.

Ukiwa na akili itakusaidia kwenye masuala mengi sio kupata division A tu darasani. Changamoto kama yangu ungekutana nayo kilaza kama wewe nina uhakika sasa hivi ungekua ombaomba mtaani kama sio ushajikatia tamaa ya maisha.
 
😅😅😅Miaka 30 na A zako unatafuta ajira ,we kilaza kabisa ,mimi nimetoka chuo 23 nikatusua first batch nikaingia mzigoni...Wewe umekaa miaka saba mbele bado unaona ramani hazisomeki.

Leo unajiita tajiri ,hauna kumbukumbu ya ulichoandika nyuma acha kupiga nyeto 😅😅...Aina ya wasomi wajinga tuliokuwa tunaongelea ..

Kiufupi bado sana hata akili yako ,endelea kushobokea watu upate ajira .
 
Hiki nacho nikipaji aisee.
 
Tunapita kwenye changamoto tofauti but the end justfy the means. Embu fikiria fikiria unamaliza tu form 4 unabeba jukumu la kujitegemea. Baba na mama hawapo.

kuanzia hapo nimefight mwenyewe kujisomesha, kutengeneza maisha yangu from nothing. Bado changamoto ya mawasiliano hapo. Ofcourse njia haiwezi kuwa rahisi au fupi. Kwa mapoto ya mwanaume kuanza kuona mwangaza akiwa 30's ni kawaida sana.

Hakuna popote niliposema mimi ni tajiri mdogo angu. Kumiliki nyumba, gari na kikampuni ambacho nimeajiri vijana 6 tu bado sijafika hatua ya kuitwa tajiri
 
Well Done Bro
 
Punguza kiburi ,kuwa n kumbukumbu ..Kuna sehemu unahitaji msaada wewe vimba tu 🤣.
 
Punguza kiburi ,kuwa n kumbukumbu ..Kuna sehemu unahitaji msaada wewe vimba tu 🤣.
Offcourse maisha ni kusaidiana, hakuna binadamu anajikamilisha kwa kila kitu. Kizuri ni kwamba sina shida ndogo ndogo kwenye maisha yangu. Hata kama tulipiga division A sisi sio invincibles kama mnavyotaka tuwe. Kuna sehemu pia tunakwama but we tackle our challenges smartly
 
Msalato Girls Morogoro?
 
Bila connection yote ni bure, nchi ya ajabu sana hii
Suala la connection ni janga la kitaifa. Mimi nina kiofisi changu hapa mjini unakuta ndugu ananifuata tu anaomba kazi bila kuleta CV au mpango wa kuonyesha output gani ataongeza, yaani anafikiri kwa sababu ni ndugu basi nitampachika tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…