Sekondari za Vipaji maalum takribani miaka 40 tangu kuanzishwa kwake umaalum wake uko kwenye nini? Hatuoni ubunifu wowote

Kwa hiyo miaka 30 ulikuwa unatafut ajira🤣
 
Mnaresearch Center hata moja ya Nuclear Physics?Hivi unajua hizi Radioactive Material zinavyo kuwa handled?

Haya mambo hayaoti kama uyoga,wawekee facility,jenga Research Centers kwa kila kada, hakikisha shule zote zina walimu na vifaa vya kutosha, weka na hela kwa ajili ya hizo projects za Research halafu uone kama watu watashindwa kufanya Innovation.

Research Center ya IBM ya maswala ya Quantum Computer, gharama ya kile kituo na facility zake ni 5B USD.Huku tunahangaika na matundu ya choo kwenye shule zetu.

Kuna vijana kutoka hizo shule wapo Boing, Google, Apple, Amazon nk ni hawa kutoka hizo shule.
 
Una mazingira ya kuwafanya wawe wagunduzi? Hapa kwenyewe Mnaresearch Centers ngapi? Mnafikiri vitu vinaibuka kama uyoga bila kuwekeza.

Hebu kafuatile gharama za Research Centers Ulaya ,ndipo utagundua huku bado ,sasa hivi bado tuna hangaika na matundu ya choo. IBM wana research center gharama yake ni 5B USD.
 
n kwel bhn wanafunzi waliosoma vipaji wanajiweza kiakili uo ndo ukwel tukatae tukubal........lkn licha ya ivo piah kuna wengne hawakwenda vipaji licha ya kuwa na marks za kuwapeleka huko......maana shule za vipaji n chache..........kuna wengne n vipanga lkn wakapelekwa private na kuna sisi wa kawaifa tuliosoma za kata............
ila wakuu tugange ya mbele tuamke aisee haiwezekani ninagoogle hapa wanasema AFRICA CONTRIBUTES 1.4 % TO THE GLOBAL SCIENTIFIC KNOWLEDGE
 
Ndio uwezo wetu kwenye elimu zao. Elimu zao vipimo vyao, Labda wakitaka tu contribute MIHOGO tunaweza kuongoza globally.

Watafute vitu tunavyo viweza kisha watushindanishe, siyo kutushindanisha vitu ambavyo hatuviwezi.
 
Hizo ni shule maalumu kwa waliopata alama za juu tu.
Kupata alama za Juu pia ni kielelezo cha uzuri wa mwanafunzi.

Tatizo la msingi la Tanzania ni uwekezaji mdogo kwenye sekta ya Elimu hasa Tafiti na ubunifu.. ndio maana watanzaia ukikutana nao neo kubwa wanaloambiana ni "Tafuta hela" na hela wanayatafuta ni kubadili mboga
 

Word. Tunapenda sana kuwapa wengine majukumu na lawama huku sisi tumekaa tu.
 
Kuita shule za vipaji ni makosa makubwa.

Hizo ni shule za wanafunzi wenye ufaulu mikubwa .

Na wengiwao ufaulu wao umetokana na kusongoka sana kukariri sana madesa.
 
Chai
 
Mdogo wangu ni kipaji maalum yupo form 2. Huwezi kumfananisha na average mwanafunzi wa form 2 hata wa shule ya private. Dogo anafanya coding na pia hizi vipaji maalum zina mfumo mzuri na walimu wazuri sana wa kuendeleza uwezo wa mwanafunzi.
Chai
 
Si kweli ,kwani wamefaulu vip ?
 
Walitutupiga kitu kizito: Haikuwa vipaji maalum bali ilikuwa ufaulu wa juu.
Kuna tofauti ya kipaji na kupata ufaulu wa alama (marks) za juu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…