luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Wadau kwema, niwapongeze kwa kufanikiwa kuiona siku mpya hakika Tumepata kibali cha siku mpya.
Katika pita pita zangu ktk.mfumo wa fursa za ajira utumishi wa umma, nimekutana na kitu ambacho kimenifanya niwaze na kutilia shaka uweledi wa sekretarieti.
Nimeambatanisha picha za moja ya nafasi za ajira ambazo utumishi wali tangaza majuzj hapa. Nafasi na mkufunzi, ukitazama iyo nafasi ni inamtaka mtu ambae ni msomi ktk kada ya utunzaji na uifadhi wa mali asili, iwe wanyamapori, Útalii,mazingira n.k fani zinazohusiana na maliasili
Lkn ajabu hapo utumishi wame highlight wapate msomi ambae ni community development, rural development, ambapo in reality sio expert wa mambo ya conservation ,
Kipitia nafasi hii hakika nimetilia shaka umakini wa mfumo wao.wanaotumia kupata watu.
Bila shaka wadau na nyie mtakuwa mna observation kuhusiana na mfumo wa sekretarieti ya ajira ktk utumishi wa umma.
Katika pita pita zangu ktk.mfumo wa fursa za ajira utumishi wa umma, nimekutana na kitu ambacho kimenifanya niwaze na kutilia shaka uweledi wa sekretarieti.
Nimeambatanisha picha za moja ya nafasi za ajira ambazo utumishi wali tangaza majuzj hapa. Nafasi na mkufunzi, ukitazama iyo nafasi ni inamtaka mtu ambae ni msomi ktk kada ya utunzaji na uifadhi wa mali asili, iwe wanyamapori, Útalii,mazingira n.k fani zinazohusiana na maliasili
Lkn ajabu hapo utumishi wame highlight wapate msomi ambae ni community development, rural development, ambapo in reality sio expert wa mambo ya conservation ,
Kipitia nafasi hii hakika nimetilia shaka umakini wa mfumo wao.wanaotumia kupata watu.
Bila shaka wadau na nyie mtakuwa mna observation kuhusiana na mfumo wa sekretarieti ya ajira ktk utumishi wa umma.