Sekretarieti ya Bunge: Kuna mapungufu katika Mkataba wa Bandari na DP World; ukomo wake uwekwe wazi

Kwa mkataba huu, hata Yesu akarudi bado huu mkataba utaendelea kuwamilikisha waarabu Bandari zetu.
 
Pongezi kwa Sekretarieti ya BUNGE kwa kuyaona Mapungufu ya Mkataba wa CCM na DPW

Kazi iendelee
 
Kwa skendo hii nii vyema serikali ikaachia ngazi. Haina tena uhalali wa kuendelea kuongoza nchi hii tena.
 
Hili sio la kuamini sana, wanaweza wakaja wakapinga, hata kama wao wametoa, ilimradi tu wasionekane wameshindwa. Sasa kutumia nguvu kote waje wakiri baada ya kelele nyingi?
 
Tafadhali nakuomba tuheshimiane, mimi sina urafiki na wewe wala mjinga mwenzako yeyote yule.

Shika adabu yako.

[emoji1787][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 

Mbona sioni web site or any other social media wamepost ? Jamani jambo hili ni zito sana tunaomba mwenye taarifa zaidi apost humu jamvini haraka !
 
Hili sio la kuamini sana, wanaweza wakaja wakapinga, hata kama wao wametoa, ilimradi tu wasionekane wameshindwa. Sasa kutumia nguvu kote waje wakiri baada ya kelele nyingi?
wapinge na hii

 
Kwa huo utumbo uiouleta ambao hauna tarehe wala saini?

Unatupotezea muda, tunafikiri cha maana, kumbe uharo.


Hapo hata data siwashi. Wadanganye wajinga wenzako.
 
Mkuu ukisoma sehemu ya 5, unaona kuwa bunge limehitaji ufafanuzi toka serikalini kwa lugha laini...

5.0. Maoni na Ushauri Kutokana na uchambuzi tuliofanya hapo juu, ni maoni na ushauri wetu kuwa, Bunge lipate ufafanuzi kutoka Serikalini katika maeneo machache yafuatayo: (Hayo uliyotaja)...

 
Mpaka sasa hakuna Media inayozungumzia hii ishu ni hapa JF tuu. anyway, nataman kilichosemwa hapa kiwe kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…