Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Hahahahaa Faiza kama Faiza, sema unataka kuziona, nimeanzisha uzi ili zitumwe, nitaku-tag wala usihofuHauna lolote, huu ni uongo mtou.
Hauna chochote nawadanganye wajinga wenzako.
Wajinga ndiyo waliwao.
We ajuza ingia ndani ulale wazee wenzako wamepumzika sahiviHauna lolote, huu ni uongo mtou.
Hauna chochote nawadanganye wajinga wenzako.
Wajinga ndiyo waliwao.
Habari ziwafikie Sheikh Mwaipopo na kitengeTumelumbana weee, tumeelezana weee, Kuna wale vichwa maji wakajifanya wajuaji kuliko hata wajuaji wenyewe. Haya Sasa huu hapa Waraka wa bunge na kwa kifupi wamekubali kuwa....
1. Huu ni Mkataba, hakuna mahali wameandika Makubaliano kama akina Silaa (Mbunge) alivyowachanganya
2. Wamekubali kuwa "hakuna ukomo" wa mkataba huo
3. Wamekubali na kubaini kuwa "mkataba huo hauvunjiki"
4. Kuanza Kwa Early project activities kabla ya BUNGE kuweka baraka
5. Shughuli za migogoro kufanyika South Africa, yaani mgogoro wowote
6. Serikali kukosa "haki" ya kuvunja Mkataba, ni mkataba sio Makubaliano
7. Hakuna muda wa mkataba
8. Serikali KUZUIWA kuingia Makubaliano na MTU au taasisi yoyote kuhusu Bandari
9. Serikali ya Dubai "kutokuonyesha" wazi nani Mwenye mamlaka ya kusaini
Hahahaha zile Simbilisi zije hapa Sasa! Mkataba wa kijinga kuwahi kutokea
Kuna kila dalili za kuukana huu warakaInshort Sekretalieti ya Bunge imegusa mulemule ambapo wadau wamekuwa wakisema! na sio kama wapate ufafanuzi ila waishauri Serikali iachane na mkataba huu kabisa ikirudi irudi tena mchakato uanze upya kabisaa.
Cross exams kama hizo huez elewa lazima utafute chaka!!Acha kupaparika!
Weka link ya hiyo video mkuu.Ile video nimeangalia nimetamani kulia, yule ndo professor kweli...?
Haya ni majangili tupuMabunge saiv yataanza tumeishauri serikali mkataba unamapungufu wimbo unageuka
Tafadhali nakuomba tuheshimiane, mimi sina urafiki na wewe wala mjinga mwenzako yeyote yule.hahahaahaha leo kama umepaniki rafiki kipenzi cha roho yangu, kulikoni? ni huu waraka tu?
Tupo hapa, kuna nini cha maana hapo?Wale wanaounga mkono waje sasa
Kwa uzoefu wangu hiyo ni mamlaka ya bunge kabisaAuthenticity ya hii Nyaraka ?
Sio kwamba nasema ni Fake ila kuna uwezekano hata kama ni real kesho wakairuka kwamba sio yao
Astaghafirurahiii!!!!Mwarabu hanaga hiana anaweza akawaomba nyuma akawasamehe
Mmechelewa jamvini karamu imeshaliwa.FaizaFoxy njoo na insha zako kutetea ubaradhuli.
Hii fedheha itamtafuna Samia na serikali yake milele.
Kwa kila Aliesaini na kupigia debe ule mkataba Mungu amlaani milele.
Rafiki yangu mwemaTafadhali nakuomba tuheshimiane, mimi sina urafiki na wewe wala mjinga mwenzako yeyote yule.
Shika adabu yako.
DP World wametoa hongo ya Tsh 100 bilioni, ndiyo hizo wamelambishwa kina Faiza Foxysasa itakuaje?...si tunasikia kuna baadhi ya wanasiasa wamekula pesa ndefu ya mwarabu?....wataitemaje?.
mamaTafadhali nakuomba tuheshimiane, mimi sina urafiki na wewe wala mjinga mwenzako yeyote yule.
Shika adabu yako.
Mkuu asante ila ujue sekreterieti ya bunge siyo bungeTumelumbana weee, tumeelezana weee, Kuna wale vichwa maji wakajifanya wajuaji kuliko hata wajuaji wenyewe. Haya Sasa huu hapa Waraka wa bunge na kwa kifupi wamekubali kuwa....
1. Huu ni Mkataba, hakuna mahali wameandika Makubaliano kama akina Silaa (Mbunge) alivyowachanganya
2. Wamekubali kuwa "hakuna ukomo" wa mkataba huo
3. Wamekubali na kubaini kuwa "mkataba huo hauvunjiki"
4. Kuanza Kwa Early project activities kabla ya BUNGE kuweka baraka
5. Shughuli za migogoro kufanyika South Africa, yaani mgogoro wowote
6. Serikali kukosa "haki" ya kuvunja Mkataba, ni mkataba sio Makubaliano
7. Hakuna muda wa mkataba
8. Serikali KUZUIWA kuingia Makubaliano na MTU au taasisi yoyote kuhusu Bandari
9. Serikali ya Dubai "kutokuonyesha" wazi nani Mwenye mamlaka ya kusaini
Hahahaha zile Simbilisi zije hapa Sasa! Mkataba wa kijinga kuwahi kutokea
Title na No.1 havijakaa vizuri,ila tumemuelewa.Hata hivyo rekebisha No.1,najua title ni vigumu.Tumelumbana weee, tumeelezana weee, Kuna wale vichwa maji wakajifanya wajuaji kuliko hata wajuaji wenyewe. Haya Sasa huu hapa Waraka wa bunge na kwa kifupi wamekubali kuwa....
1. Huu ni Mkataba, hakuna mahali wameandika Makubaliano kama akina Silaa (Mbunge) alivyowachanganya
2. Wamekubali kuwa "hakuna ukomo" wa mkataba huo
3. Wamekubali na kubaini kuwa "mkataba huo hauvunjiki"
4. Kuanza Kwa Early project activities kabla ya BUNGE kuweka baraka
5. Shughuli za migogoro kufanyika South Africa, yaani mgogoro wowote
6. Serikali kukosa "haki" ya kuvunja Mkataba, ni mkataba sio Makubaliano
7. Hakuna muda wa mkataba
8. Serikali KUZUIWA kuingia Makubaliano na MTU au taasisi yoyote kuhusu Bandari
9. Serikali ya Dubai "kutokuonyesha" wazi nani Mwenye mamlaka ya kusaini
Hahahaha zile Simbilisi zije hapa Sasa! Mkataba wa kijinga kuwahi kutokea
Hauna lolote, wewe unajibaraguza tu.Hahahahaa Faiza kama Faiza, sema unataka kuziona, nimeanzisha uzi ili zitumwe, nitaku-tag wala usihofu
kuna kila dalili za kuukana huu waraka