#COVID19 Sekta ya Afya yaanza utafiti ikiwemo kubaini waliochanjwa wamepata Kinga kiasi gani

#COVID19 Sekta ya Afya yaanza utafiti ikiwemo kubaini waliochanjwa wamepata Kinga kiasi gani

"hivi umeshawahi kuona wapi chanjo inafanyiwa utafiti kwa mwaka mmoja" - dkt molell katika kipindi cha ajenda startv.leo hii anakuambia chanjo ni salama.je tumuelewe molel yupi?
Wameshachukua chao hao mafala. Hawa hata wakiambiwa watudunge sumu ya kutumaliza within few years watatekeleza sababu ni watu selfish kupita maelezo.
 
Waziri mwenyewe muongo.
Kamati ya Corona yenyewe waongo.
Ije hawa watafti wa copy and paste?

Nyie kuleni tu hayo mafungu ya Corona,Ila mujue Mungu siku moja atawahukumu kwa uovu wenu,mko tayari kuangamiza watu kwa kutoa data za uongo.
 
Kwahiyo watu wamechanjwa halafu utafiti ndiyo unafuata! Tunakukumbuka Magufuli.
 
Najua watapika majibu ya huo utafiti ili kuturubuni tulishakubaliana HATUCHANJI!!!!!
 
Back
Top Bottom