Sekta ya afya yazidi kuimarika chini ya Serikali ya Rais Samia

Sekta ya afya yazidi kuimarika chini ya Serikali ya Rais Samia

powercert_Tz

Member
Joined
Jul 19, 2022
Posts
45
Reaction score
44
Serikali ya awamu ya sita imekua na mwendelezo mzuri sana sekta ya afya, imejenga zahanati 786, na vituo vya afya 471, pia imekarabati na kuboresha huduma katika hospitali za almashauri 154, Bila kusahau mkoa wa kigoma ambao kimaendeleo ulisahaulika sana, nao umepata mashine ya CT-scan kwa mara ya kwanza.

Mpaka kufikia sasa hospital zote za rufaa za mikoa zinamashine hiyo inayotumika kufanya vipimo vya ndani ya mwili. #mamayukokazini
 
RAIS SAMIA AANDIKA HISTORIA NYINGINE KIGOMA Mkoa wa Kigoma umepata mashine ya CT-Scan kwa mara ya kwanza. Sasa hospitali zote za rufaa za mikoa zina mashine hiyo inayotumika kufanya vipimo vya ndani ya mwili. #MamaYukoKazini
 
Back
Top Bottom