Sekta ya nyumba imeanza kufufuka kwa kasi chini ya Rais Samia Mama wa Uchumi

Real estate ilidorora hapa dar kwasababu ya serikali kuhamia dodoma and not either way.


Mbona hujiulizi kwanini dodoma real estate ilishamiri na viwanja vilipanda bei baada ya serikali kuhamia huko.


Umewahi kujiuliza real estate itakuwa hivyo hivyo dodoma kama serikali ikihamia mbeya au iringa
 
Hakuna mahala nimesema tabu zimemalizika ila nasema kujenga ni kazi kuliko kuharibu .

Uchumi uliharibika Kwa miaka 6 sio rahisi kujengeka Kwa miaka 2 ila Hali ni nzuri zaidi Sasa kuliko hapa awali.
Hali ni nzuri kukiwa na mfumuko wa bei hali ni nzuri wafanyabiashara wakihodhi mafuta na serikali haiwezi sema kitu. Hali ni nzuri gharama za maisha zimepanda thamani ya pesa imeshuka na vipato havijaongezeka mzee upo serious kweli? Kama vipi andika namba za simu na mahali ulipo unastahili teuzi
 
Wewe nyumbu unaujua mfumuko wa bei kweli? Tanzania Kuna mfumuko wa bei?
 
Wewe nyumbu unaujua mfumuko wa bei kweli? Tanzania Kuna mfumuko wa bei?
Usitumie nguvu kubwa kutaka kila mtu afikiri sawa na mawazo yako. Unajibu kila mtu umeleta uzi soma mawazo ya watu kama hawako sahihi ww jiweke sahihi. Usisahau kuweka namba na mahali ulipo teuzi zipo karibu.
 
Usitumie nguvu kubwa kutaka kila mtu afikiri sawa na mawazo yako. Unajibu kila mtu umeleta uzi soma mawazo ya watu kama hawako sahihi ww jiweke sahihi. Usisahau kuweka namba na mahali ulipo teuzi zipo karibu.
Jibu swali unaelewa maana ya mfumuko wa bei? Vinginevyo tafuta wajinga wenzio ndio mjazane ujinga.
 
Wewe nyumbu unaujua mfumuko wa bei kweli? Tanzania Kuna mfumuko wa bei?
Na sijaongelea mfumuko wa bei tu japo hilo swala lipo na tissii wetu wanatumia nguvu kubwa kunyamazisha watu wasiseme, sijaona ukisema mafuta au nayo yapo mtaani kama kawaida? Uchawa usikupofushe unajimwambafy kwenye jf ukorudi pangoni mwako unalala njaa na vikenge vyako😂😂
 
Una akili timamu? Yaani ya Bandari yasemwe ila wewe nyumbu uzuiwe kuzungumzia mfumuko wa bei si ndio?

Nimekwambia tafuta wajinga wenzio mjazane ujinga , I rest my case.
 
Jifunze kuandika kwanza kijana
 
Hamna lolote mnamfagilia Sana kuliko uhalisia

Amkeni-Ney wa Mitego
Au siyo? Wivu utakuua 😁😁
 

Haya yoote tunakubalina na wewe, ishu yetu ni moja tu. Mkataba urekebishwe uwe katika mode ya win win situation. Ila ukibaki kama ulivyo, basi uwanufaishe na ndgu zetu wa Zanzibar na bandari zao ziwepo kwny mkataba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…