Sekta ya nyumba imeanza kufufuka kwa kasi chini ya Rais Samia Mama wa Uchumi

Sekta ya nyumba imeanza kufufuka kwa kasi chini ya Rais Samia Mama wa Uchumi

Bei ya cement ingepungua tungeku mbali

Kuna faida kubwa zaidi kwenye finished house kuliko mfuko a cement
 
Naendelea kuwakumbusha tuu kwamba miaka 6 ya Uongozi wa Awamu ya 5 sekta ya nyumba "Rea estates" ilidorora,Kudoda na kuporomoka kwa kasi ya mwanga hadi kufikia nyumba nyingi huko Dar kuwa empty na matangazo ya benki kupiga bei nyumba yalijaa mitaani na wanunuzi hakuna sababu uchumi iliporomoka na pesa hakuna.

Aidha bei ya ardhi na nyumba ilishuka na biashara hii kiujumla ilivurugika na ikafikia mahala Ukiwa na kiwanja au nyumba kama dhamana banks zikawa zinakataa au unapewa hela kiduchu.

Ni katika awamu ile ndio Posta Mpya ilibakia magofu huku majumba mengi ya ghorofa yakikosa wapangaji nankubakia tupu.

Ujenzi wa miradi mikubwa ya makazi ulisimama mfano Kawe, Morocco Square, Kigamboni ECO Village, magorofa ya mashirika ya pensions nk, Shirika kama NHC, kampuni za ukandarasi wa majengo zilijifia.

Punde si punde Mungu akasikia kilio akamleta Rais Samia Mama wa Uchumi na Mwanamageuzi wa kweli (Reformists) akapiga chini mipango ya Kijima na Kijamaa kwenye uendeshaji wa nchi, akafungua uchumi na kurekesha Imani ya wafanyabiashara na wawekezaji hatimaye uchumi ukaanza kurejea kule kwa enzi ya Jakaya.

Sasa hivi kwa kutumia mfano mmja tuu wa Shirika la Nyumba la Taifa NHC kimeanza tena kupata faida na kufufua miradi yake yote iliyokuwa imekwama.

Hongera sana Rais Samia wewe ndio Mama wa Uchumi unaandika historia na alama ya kudumu kwenye mioyo ya Watanzania maana kila sekta inafurahia uwepo wako.

My Take
Ogopa sana Wajamaa, ujamaa ni umaskini na Utapeli.

=====

View attachment 2707848

Shirika la Kimataifa la Fedha (IMF) limeipongeza serikali ya Tanzania kwa kuimarisha utulivu wa kiuchumi wakati ambapo dunia ilikuwa inapitia changamoto mbalimbali ikiwemo janga la Ugonjwa wa Virusi vya Korona (UVIKO-19), vita vya Urusi na Ukraine na mabadiliko ya tabianchi.

Pongezi hizo zimetolewa na Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa IMF, Bo Li baada ya kumaliza ziara yake nchini ambapo amesema “jitihada za haraka za serikali ya Tanzania zilisaidia kudhibiti mfumuko wa bei na kulinda uchumi dhidi ya athari za vita nchini Ukraine.”

Licha ya mafanikio hiyo, taasisi hiyo imeihimiza Tanzania kuimarisha ukusanyaji wa mapato ya ndani ambayo yatakuza uwezo wa Serikali katika kugharamia huduma za kijamii na kuongeza uwekezaji katika elimu, afya, maji na sekta nyingine muhimu.

Li akizungumza na wawakilishi wa sekta binafsi, asasi za kiraia na wadau wengine wa maendeleo ameeleza kuvutiwa sana na nguvu na uhai wa uchumi wa Tanzania.

Tanzania ni moja ya nchi chache barani Afrika zenye kiwango cha chini zaidi cha mfumuko wa bei ambapo kwa miezi sita mfululizo umekuwa ukishuka kutoka asilimia 4.9 Januari hadi asilimia 3.6 Juni mwaka huu.

=======
Ujenzi wa Nyumba 560 za mradi wa Samia Housing Scheme, unaoendelea Kawe, Dsm, umefikia ghorofa ya nne kwa ujumla.

Kwa mujibu wa mmoja wa wasimamizi wa mradi huo Mhandisi George Shanel, kinachoendelea hivi sasa #SHS kwa ujuma, ni usukaji wa nondo, maboksi ya kushikia zege (form work), umwagaji zege, nguzo, beam na slabs kutoka ghorofa ya tatu kwenda ya nne.

aidha, ameongeza kuwa kingine kinachoendelea ni ujenzi wa kuta za tofali kwaajili ya kutenganisha vyumba ghorofa ya pili kufuatia kukamilika kwa ghorofa ya kwanza.

Kazi nyingine inayoendelea ni Uwekaji wa mifumo ya umeme na maji ghorofa ya chini (Ground floor), upigaji wa plasta kwenye kuta za ndani ghorofa ya chini (finishing).

Mradi ulianza Oktoba 2022 unatarajiwa kuisha mapema mwakani.


Mama yuko kazini
Magufuli si mjamaa, hakuwahi kuwa mjamaa, sera zake zilikuwa sa Sukuma Gang!
 
Akili kutokuwanayo mzigo,magufuli alitowa ushauli tena nakumbuka wakati anafunguwa jengi la nssf akwawambie kujenga viwanda nibora zaidi ya majumba,ukijenga kiwanda kinaleta ajila nyingi, mass wajinga tulimuelewa kwamba kiwanda kinaanzia mtengeneza material,msafilisha material.mchakata material.nasamsambaza bidhaa
We Kwa akili zako Parastatals zinaweza kujenga viwanda? Mbona hatukuona hivyo viwanda zaidi ya vyerehani?

Viwanda vinajengwa na private sector ambayo alisababisha ikafa.
 
We Kwa akili zako Parastatals zinaweza kujenga viwanda? Mbona hatukuona hivyo viwanda zaidi ya vyerehani?

Viwanda vinajengwa na private sector ambayo alisababisha ikafa.
Kweli we kilaza kweli, unajuwa maana ya ushauli
 
Yule Mwendazake mnamlaumu Bure,Kila siku nawaambia Ujamaa ni umaskini ujamaa ni utaahira ,,ogopeni sana watu wa hivyo popote mkiwaona
Hata huyo Samia anachofanya ni ujamaa tuu, ni serikali ya hovyo tuu ndio inajihususha na biashara ya nyumba, wawaachie private sector wafanye kazi yao wapige hela uchumi ukue, kazi ya serikali ni kuhakikisha private sector inafuata rules zote za ujenzi zilizowekwa, kukusanya kodi na kujenga barabara
 
Naendelea kuwakumbusha tuu kwamba miaka 6 ya Uongozi wa Awamu ya 5 sekta ya nyumba "Rea estates" ilidorora,Kudoda na kuporomoka kwa kasi ya mwanga hadi kufikia nyumba nyingi huko Dar kuwa empty na matangazo ya benki kupiga bei nyumba yalijaa mitaani na wanunuzi hakuna sababu uchumi iliporomoka na pesa hakuna.

Aidha bei ya ardhi na nyumba ilishuka na biashara hii kiujumla ilivurugika na ikafikia mahala Ukiwa na kiwanja au nyumba kama dhamana banks zikawa zinakataa au unapewa hela kiduchu.

Ni katika awamu ile ndio Posta Mpya ilibakia magofu huku majumba mengi ya ghorofa yakikosa wapangaji nankubakia tupu.

Ujenzi wa miradi mikubwa ya makazi ulisimama mfano Kawe, Morocco Square, Kigamboni ECO Village, magorofa ya mashirika ya pensions nk, Shirika kama NHC, kampuni za ukandarasi wa majengo zilijifia.

Punde si punde Mungu akasikia kilio akamleta Rais Samia Mama wa Uchumi na Mwanamageuzi wa kweli (Reformists) akapiga chini mipango ya Kijima na Kijamaa kwenye uendeshaji wa nchi, akafungua uchumi na kurekesha Imani ya wafanyabiashara na wawekezaji hatimaye uchumi ukaanza kurejea kule kwa enzi ya Jakaya.

Sasa hivi kwa kutumia mfano mmja tuu wa Shirika la Nyumba la Taifa NHC kimeanza tena kupata faida na kufufua miradi yake yote iliyokuwa imekwama.

Hongera sana Rais Samia wewe ndio Mama wa Uchumi unaandika historia na alama ya kudumu kwenye mioyo ya Watanzania maana kila sekta inafurahia uwepo wako.

My Take
Ogopa sana Wajamaa, ujamaa ni umaskini na Utapeli.

=====

View attachment 2707848

Shirika la Kimataifa la Fedha (IMF) limeipongeza serikali ya Tanzania kwa kuimarisha utulivu wa kiuchumi wakati ambapo dunia ilikuwa inapitia changamoto mbalimbali ikiwemo janga la Ugonjwa wa Virusi vya Korona (UVIKO-19), vita vya Urusi na Ukraine na mabadiliko ya tabianchi.

Pongezi hizo zimetolewa na Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa IMF, Bo Li baada ya kumaliza ziara yake nchini ambapo amesema “jitihada za haraka za serikali ya Tanzania zilisaidia kudhibiti mfumuko wa bei na kulinda uchumi dhidi ya athari za vita nchini Ukraine.”

Licha ya mafanikio hiyo, taasisi hiyo imeihimiza Tanzania kuimarisha ukusanyaji wa mapato ya ndani ambayo yatakuza uwezo wa Serikali katika kugharamia huduma za kijamii na kuongeza uwekezaji katika elimu, afya, maji na sekta nyingine muhimu.

Li akizungumza na wawakilishi wa sekta binafsi, asasi za kiraia na wadau wengine wa maendeleo ameeleza kuvutiwa sana na nguvu na uhai wa uchumi wa Tanzania.

Tanzania ni moja ya nchi chache barani Afrika zenye kiwango cha chini zaidi cha mfumuko wa bei ambapo kwa miezi sita mfululizo umekuwa ukishuka kutoka asilimia 4.9 Januari hadi asilimia 3.6 Juni mwaka huu.

=======
Ujenzi wa Nyumba 560 za mradi wa Samia Housing Scheme, unaoendelea Kawe, Dsm, umefikia ghorofa ya nne kwa ujumla.

Kwa mujibu wa mmoja wa wasimamizi wa mradi huo Mhandisi George Shanel, kinachoendelea hivi sasa #SHS kwa ujuma, ni usukaji wa nondo, maboksi ya kushikia zege (form work), umwagaji zege, nguzo, beam na slabs kutoka ghorofa ya tatu kwenda ya nne.

aidha, ameongeza kuwa kingine kinachoendelea ni ujenzi wa kuta za tofali kwaajili ya kutenganisha vyumba ghorofa ya pili kufuatia kukamilika kwa ghorofa ya kwanza.

Kazi nyingine inayoendelea ni Uwekaji wa mifumo ya umeme na maji ghorofa ya chini (Ground floor), upigaji wa plasta kwenye kuta za ndani ghorofa ya chini (finishing).

Mradi ulianza Oktoba 2022 unatarajiwa kuisha mapema mwakani.

View: https://twitter.com/dailynewstz/status/1698608211597684998?t=go0aNjSxAp7fMmfkI2qxww&s=19


Mama yuko kazini

Wanasema mradi mpya wa kawe pale ulipokuwepo uwanja wa mpira zile ghorofa zinazofumuka kwa haraka ni mali ya Abdul, ni maneno yanayoendelea huko mtaani. Kama kuna ukweli au la, ni wakati wa mleta mada kuja na ufafanuzi wa kina.
 
Sawa tuu kwani Kuna tatizo?
Wanasema pia hata pale pembeni ya Aga Khan ni mali ya Abdul. Inaonekana dogo ni tajiri sana tena kwa muda mfupi tu.

Waswahili tunapenda sana habari za kusingizia viongozi, nakumbuka hata Mama Sitti Mwinyi walisema ni mmiliki wa lile jengo linalotazama na Maktaba Kuu pale kwenye kona ya kuelekea Posta Mpya.
 
Wanasema pia hata pale pembeni ya Aga Khan ni mali ya Abdul. Inaonekana dogo ni tajiri sana tena kwa muda mfupi tu.

Waswahili tunapenda sana habari za kusingizia viongozi, nakumbuka hata Mama Sitti Mwinyi walisema ni mmiliki wa lile jengo linalotazama na Maktaba Kuu pale kwenye kona ya kuelekea Posta Mpya.
Kuna shida mahali?
 
Kwani mwana umepewa bei gani upigie debe usichokijua? Watu hawapingi uwekezaji isipokuw mkataba urekebishwe. Wewe unadhani hao Dubai wana njaa au wanatafuta tonge la wajukuu zao, wakti wewe mtumwa mweusi unapambana rupee vipande viwili vya sasa lakn hujali Hatma ya wajukuu zako.

prof shivji Bingwa wa sheria kasema hapana, mchumi Assad hajui sheria ila Udini unamtoa kwenye reli
Kuna bandari zaidi ya tatu zinakwenda kupata waendeshaji wapya, na kote huko mikataba ni mibovu?. Profesa Shinji kaingiza chaka watanzania wengi kwa kudai mkataba hauna ukomo wakati ukomo unakuwepo kwenye mikataba ya biashara.

Unakuja wakati wa nchi kufaidika na bandari zetu kwa kuleta waendeshaji wenye uwezo na wenye CV zinazojitosheleza, ule wakati wa kuatamia mali zetu huku tukiendelea kusota kwa umaskini umeshapita.
 
Back
Top Bottom