Sekta ya nyumba imeanza kufufuka kwa kasi chini ya Rais Samia Mama wa Uchumi

Sekta ya nyumba imeanza kufufuka kwa kasi chini ya Rais Samia Mama wa Uchumi

Haya yoote tunakubalina na wewe, ishu yetu ni moja tu. Mkataba urekebishwe uwe katika mode ya win win situation. Ila ukibaki kama ulivyo, basi uwanufaishe na ndgu zetu wa Zanzibar na bandari zao ziwepo kwny mkataba.
Kwani mkataba una shida gani?
 
Naendelea kuwakumbusha tuu kwamba miaka 6 ya Uongozi wa Awamu ya 5 sekta ya nyumba "Rea estates" ilidorora,Kudoda na kuporomoka kwa kasi ya mwanga hadi kufikia nyumba nyingi huko Dar kuwa empty na matangazo ya benki kupiga bei nyumba yalijaa mitaani na wanunuzi hakuna sababu uchumi iliporomoka na pesa hakuna.

Aidha bei ya ardhi na nyumba ilishuka na biashara hii kiujumla ilivurugika na ikafikia mahala Ukiwa na kiwanja au nyumba kama dhamana banks zikawa zinakataa au unapewa hela kiduchu.

Ni katika awamu ile ndio Posta Mpya ilibakia magofu huku majumba mengi ya ghorofa yakikosa wapangaji nankubakia tupu.

Ujenzi wa miradi mikubwa ya makazi ulisimama mfano Kawe, Morocco Square, Kigamboni ECO Village, magorofa ya mashirika ya pensions nk, Shirika kama NHC, kampuni za ukandarasi wa majengo zilijifia.

Punde si punde Mungu akasikia kilio akamleta Rais Samia Mama wa Uchumi na Mwanamageuzi wa kweli (Reformists) akapiga chini mipango ya Kijima na Kijamaa kwenye uendeshaji wa nchi, akafungua uchumi na kurekesha Imani ya wafanyabiashara na wawekezaji hatimaye uchumi ukaanza kurejea kule kwa enzi ya Jakaya.

Sasa hivi kwa kutumia mfano mmja tuu wa Shirika la Nyumba la Taifa NHC kimeanza tena kupata faida na kufufua miradi yake yote iliyokuwa imekwama.

Hongera sana Rais Samia wewe ndio Mama wa Uchumi unaandika historia na alama ya kudumu kwenye mioyo ya Watanzania maana kila sekta inafurahia uwepo wako.

My Take
Ogopa sana Wajamaa, ujamaa ni umaskini na Utapeli.

=====

View attachment 2707848

Shirika la Kimataifa la Fedha (IMF) limeipongeza serikali ya Tanzania kwa kuimarisha utulivu wa kiuchumi wakati ambapo dunia ilikuwa inapitia changamoto mbalimbali ikiwemo janga la Ugonjwa wa Virusi vya Korona (UVIKO-19), vita vya Urusi na Ukraine na mabadiliko ya tabianchi.

Pongezi hizo zimetolewa na Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa IMF, Bo Li baada ya kumaliza ziara yake nchini ambapo amesema “jitihada za haraka za serikali ya Tanzania zilisaidia kudhibiti mfumuko wa bei na kulinda uchumi dhidi ya athari za vita nchini Ukraine.”

Licha ya mafanikio hiyo, taasisi hiyo imeihimiza Tanzania kuimarisha ukusanyaji wa mapato ya ndani ambayo yatakuza uwezo wa Serikali katika kugharamia huduma za kijamii na kuongeza uwekezaji katika elimu, afya, maji na sekta nyingine muhimu.

Li akizungumza na wawakilishi wa sekta binafsi, asasi za kiraia na wadau wengine wa maendeleo ameeleza kuvutiwa sana na nguvu na uhai wa uchumi wa Tanzania.

Tanzania ni moja ya nchi chache barani Afrika zenye kiwango cha chini zaidi cha mfumuko wa bei ambapo kwa miezi sita mfululizo umekuwa ukishuka kutoka asilimia 4.9 Januari hadi asilimia 3.6 Juni mwaka huu.

=======
Ujenzi wa Nyumba 560 za mradi wa Samia Housing Scheme, unaoendelea Kawe, Dsm, umefikia ghorofa ya nne kwa ujumla.

Kwa mujibu wa mmoja wa wasimamizi wa mradi huo Mhandisi George Shanel, kinachoendelea hivi sasa #SHS kwa ujuma, ni usukaji wa nondo, maboksi ya kushikia zege (form work), umwagaji zege, nguzo, beam na slabs kutoka ghorofa ya tatu kwenda ya nne.

aidha, ameongeza kuwa kingine kinachoendelea ni ujenzi wa kuta za tofali kwaajili ya kutenganisha vyumba ghorofa ya pili kufuatia kukamilika kwa ghorofa ya kwanza.

Kazi nyingine inayoendelea ni Uwekaji wa mifumo ya umeme na maji ghorofa ya chini (Ground floor), upigaji wa plasta kwenye kuta za ndani ghorofa ya chini (finishing).

Mradi ulianza Oktoba 2022 unatarajiwa kuisha mapema mwakani.


Mama yuko kazini
Ni kichaa peke yake anaweza kuelewa ulichokiandika hapa. Yaan umekuja kumpigia chapuo sa100 na kumponda mtangulizi wake. Ni kweli posta ilibaki magofu?? Wewe ni kichaa????
 
Ni kichaa peke yake anaweza kuelewa ulichokiandika hapa. Yaan umekuja kumpigia chapuo sa100 na kumponda mtangulizi wake. Ni kweli posta ilibaki magofu?? Wewe ni kichaa????
Kwani posta haikubakia magofu tupu yasiyo na wapangaji?

Kwani Yale majengo ya nssf posta yalimalizika?
 
Naendelea kuwakumbusha tuu kwamba miaka 6 ya Uongozi wa Awamu ya 5 sekta ya nyumba "Rea estates" ilidorora,Kudoda na kuporomoka kwa kasi ya mwanga hadi kufikia nyumba nyingi huko Dar kuwa empty na matangazo ya benki kupiga bei nyumba yalijaa mitaani na wanunuzi hakuna sababu uchumi iliporomoka na pesa hakuna.

Aidha bei ya ardhi na nyumba ilishuka na biashara hii kiujumla ilivurugika na ikafikia mahala Ukiwa na kiwanja au nyumba kama dhamana banks zikawa zinakataa au unapewa hela kiduchu.

Ni katika awamu ile ndio Posta Mpya ilibakia magofu huku majumba mengi ya ghorofa yakikosa wapangaji nankubakia tupu.

Ujenzi wa miradi mikubwa ya makazi ulisimama mfano Kawe, Morocco Square, Kigamboni ECO Village, magorofa ya mashirika ya pensions nk, Shirika kama NHC, kampuni za ukandarasi wa majengo zilijifia.

Punde si punde Mungu akasikia kilio akamleta Rais Samia Mama wa Uchumi na Mwanamageuzi wa kweli (Reformists) akapiga chini mipango ya Kijima na Kijamaa kwenye uendeshaji wa nchi, akafungua uchumi na kurekesha Imani ya wafanyabiashara na wawekezaji hatimaye uchumi ukaanza kurejea kule kwa enzi ya Jakaya.

Sasa hivi kwa kutumia mfano mmja tuu wa Shirika la Nyumba la Taifa NHC kimeanza tena kupata faida na kufufua miradi yake yote iliyokuwa imekwama.

Hongera sana Rais Samia wewe ndio Mama wa Uchumi unaandika historia na alama ya kudumu kwenye mioyo ya Watanzania maana kila sekta inafurahia uwepo wako.

My Take
Ogopa sana Wajamaa, ujamaa ni umaskini na Utapeli.

=====

View attachment 2707848

Shirika la Kimataifa la Fedha (IMF) limeipongeza serikali ya Tanzania kwa kuimarisha utulivu wa kiuchumi wakati ambapo dunia ilikuwa inapitia changamoto mbalimbali ikiwemo janga la Ugonjwa wa Virusi vya Korona (UVIKO-19), vita vya Urusi na Ukraine na mabadiliko ya tabianchi.

Pongezi hizo zimetolewa na Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa IMF, Bo Li baada ya kumaliza ziara yake nchini ambapo amesema “jitihada za haraka za serikali ya Tanzania zilisaidia kudhibiti mfumuko wa bei na kulinda uchumi dhidi ya athari za vita nchini Ukraine.”

Licha ya mafanikio hiyo, taasisi hiyo imeihimiza Tanzania kuimarisha ukusanyaji wa mapato ya ndani ambayo yatakuza uwezo wa Serikali katika kugharamia huduma za kijamii na kuongeza uwekezaji katika elimu, afya, maji na sekta nyingine muhimu.

Li akizungumza na wawakilishi wa sekta binafsi, asasi za kiraia na wadau wengine wa maendeleo ameeleza kuvutiwa sana na nguvu na uhai wa uchumi wa Tanzania.

Tanzania ni moja ya nchi chache barani Afrika zenye kiwango cha chini zaidi cha mfumuko wa bei ambapo kwa miezi sita mfululizo umekuwa ukishuka kutoka asilimia 4.9 Januari hadi asilimia 3.6 Juni mwaka huu.

=======
Ujenzi wa Nyumba 560 za mradi wa Samia Housing Scheme, unaoendelea Kawe, Dsm, umefikia ghorofa ya nne kwa ujumla.

Kwa mujibu wa mmoja wa wasimamizi wa mradi huo Mhandisi George Shanel, kinachoendelea hivi sasa #SHS kwa ujuma, ni usukaji wa nondo, maboksi ya kushikia zege (form work), umwagaji zege, nguzo, beam na slabs kutoka ghorofa ya tatu kwenda ya nne.

aidha, ameongeza kuwa kingine kinachoendelea ni ujenzi wa kuta za tofali kwaajili ya kutenganisha vyumba ghorofa ya pili kufuatia kukamilika kwa ghorofa ya kwanza.

Kazi nyingine inayoendelea ni Uwekaji wa mifumo ya umeme na maji ghorofa ya chini (Ground floor), upigaji wa plasta kwenye kuta za ndani ghorofa ya chini (finishing).

Mradi ulianza Oktoba 2022 unatarajiwa kuisha mapema mwakani.


Mama yuko kazini
Ni kweli 👍👍👍💯💯
 
Wewe na Prof.Assad yupi ni mwelewa? Ndio Mwambukusi kawadanganya? 😂😂

Kwani mwana umepewa bei gani upigie debe usichokijua? Watu hawapingi uwekezaji isipokuw mkataba urekebishwe. Wewe unadhani hao Dubai wana njaa au wanatafuta tonge la wajukuu zao, wakti wewe mtumwa mweusi unapambana rupee vipande viwili vya sasa lakn hujali Hatma ya wajukuu zako.

prof shivji Bingwa wa sheria kasema hapana, mchumi Assad hajui sheria ila Udini unamtoa kwenye reli
 
Kwani mwana umepewa bei gani upigie debe usichokijua? Watu hawapingi uwekezaji isipokuw mkataba urekebishwe. Wewe unadhani hao Dubai wana njaa au wanatafuta tonge la wajukuu zao, wakti wewe mtumwa mweusi unapambana rupee vipande viwili vya sasa lakn hujali Hatma ya wajukuu zako.

prof shivji Bingwa wa sheria kasema hapana, mchumi Assad hajui sheria ila Udini unamtoa kwenye reli
Wewe unakijua kipi? Kwa taarifa Yako wafanyabiashara wanataka hata kesho DP World aje ni nyie wapuuzi ambao hamjui hata kinachofanyika bandarini ndio mnaongea ujinga wenu hapa.
 
Wewe unakijua kipi? Kwa taarifa Yako wafanyabiashara wanataka hata kesho DP World aje ni nyie wapuuzi ambao hamjui hata kinachofanyika bandarini ndio mnaongea ujinga wenu hapa.

Hata sisi wapuuzi tunataka dp aanze kesho, ombi letu ni ama mkataba wao na bandari urekebishwe kama haiwezekani basi na bandari zenu za Zanzibar zijumuishwe kwny mkataba.
 
Hata sisi wapuuzi tunataka dp aanze kesho, ombi letu ni ama mkataba wao na bandari urekebishwe kama haiwezekani basi na bandari zenu za Zanzibar zijumuishwe kwny mkataba.
Hakuna kitakachobafilika na mkataba utaenda kama ulivyopangwa, umbumbumbu wenu usiwe kero Kwa wengine
 
Dikteta magufuli aliharibu uchumi
WB IFM waliipeleka tanzania uchumi wa kati tena kipindi kigumu cha Corona wakati uchumi wa mataifa mengi ulisinyaa,Wwe kidampa kula kulala unasema Magufuli aliaribu uchumi,leta takwimu unashangiria uchumi wa mafisadi wachache nenda vijijini uone watu wanavyoteseka maji amna umeme shida watu wanakula vumbi.
 
WB IFM waliipeleka tanzania uchumi wa kati tena kipindi kigumu cha Corona wakati uchumi wa mataifa mengi ulisinyaa,Wwe kidampa kula kulala unasema Magufuli aliaribu uchumi,leta takwimu unashangiria uchumi wa mafisadi wachache nenda vijijini uone watu wanavyoteseka maji amna umeme shida watu wanakula vumbi.
Wewe uchumi wako ulifika wa kati? Acha porojo actual situation mtaani Kila mtu alikuwa anaijua.

Kwanza ukionekana Inajenga unazna kufuatiliwa ubambikiwe kesi ya Kodi.
 
Wewe uchumi wako ulifika wa kati? Acha porojo actual situation mtaani Kila mtu alikuwa anaijua.

Kwanza ukionekana Inajenga unazna kufuatiliwa ubambikiwe kesi ya Kodi.
Nimekwambia leta takwimu, uchumi sio maneno eti kuona jirani kajenga kibanda eti uchumi umekua,hata wakati wa Magufuli majengo pale Morocco na posta yalijengwa,majengo yalikwama niya NHC kwasababu Magufuli aliwanyima dhamana ya Serikali kwenda kukopa mikopo,akisema wajitegemee maana wanafanya biashara, Sasahivi shilling imeporomo zaidi ya dollar alafu unasema Magufuli aliaribu uchumi tafuta chenji ya dollar kipindi cha Magufuli linganisha na Sasahivi uone
 
Nimekwambia leta takwimu, uchumi sio maneno eti kuona jirani kajenga kibanda eti uchumi umekua,hata wakati wa Magufuli majengo pale Morocco na posta yalijengwa,majengo yalikwama niya NHC kwasababu Magufuli aliwanyima dhamana ya Serikali kwenda kukopa mikopo,akisema wajitegemee maana wanafanya biashara, Sasahivi shilling imeporomo zaidi ya dollar alafu unasema Magufuli aliaribu uchumi tafuta chenji ya dollar kipindi cha Magufuli linganisha na Sasahivi uone
Kwanza mada inahusu nini? Umesoma maelezo na mifano hapo Juu? Kwa kutumia mfano wa miradi ya NHC iliyokwama wewe kwako unaona uchumi ulifaulu?
Screenshot_20230322-182232.jpg
 
Back
Top Bottom