Selasini: Tumemfikisha Mbatia Takukuru kwa kuuza Nyumba 2 za ghorofa na Shamba ekari 45 mali ya NCCR

na hataondoka atafia humo kwa kuogopa mambo kama hayo.huwezi kuwa mjasiriamali na ukaongoza chama.hapo uje tu ni lazima mali za chama zitakwapuliwa.
Inategemea na level ya ujasiliamali. Machinga ni hatari lakini mjasiriamali kama Dangote atafuja mali ipi kwa mfano. Level ya Mbowe sio machinga, ile level kama yako unajijua ni shida
 
Angalia na wewe ukifukuzwa watakufikisha huko huko Takukuru
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…